Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Najua hii topiki haitokuwa poplar na baadhi ya watu humu ndani na hata wenye website lakini potelea mbali

Je ni kweli wizara hizo zimejaa makabila ya Wachagga,Wanyakyusa na wahaya?

mimi nilikuwa siamini mpaka pale NILIPO ambiwa kuwa kuna UKABILA wa hali ya juuu kule Ikulu NA vile vile namba mbili kwa UKABILA ni TRA je kuna ukweli katika haya?

Japo kuna watu wanasema kuwa ni udini lakini sumu ambayo hatuko tayari hata kuijadili ni hii ya ukabila na ndio inayoturudisha nyuma je mnakubaliana nayo?


hilo ni kweli pia umesahau TANROADS na JESHI LA POLISI hasa kwa WAKUU WA MIKOA means RPC fuatilia wengi ni WACHAGA na OCD's utajionea wanaopanda vyeo kila cku ni Chagga's inatisha kisa IGP ni mchaga
 
SIKU hizi watu wengi wanawabatiza na kuregistre watoto shule kwa kutumia majina ambayo hayana tribal indication mfano RICHARD SIMON au MASOOD KHAMIS kukwepa tribal vitimiztion ambayo kwa sasa tukubali tukate ipo tena sana,mtu akiona jina mfano Richard Kagaruki hata kwenye short list hawekwi au Moses Otieno-anajua Jaluo,Moses Masanja-anajua Msukuma,Edwin Atupele-Anajua Mnyakyusa,Moses Mkumbo-anajua Manyaturu,Moses Ngonyani-anajua Mungoni,Moses Chubwa anajua Muha,Moses Kapele-anajua Mfipa,Moses Tarimo anajua Mchaga etc etc,ili kuwanusuru watoto wenu na any future victimization avoid kutumia majina yenye tribal indication wakati unawa register shule
 
Kalamu,
Ninakubaliana nawe.
Mkjj,
kiujumla si kwamba ninapinga mawazo yako lakini ni kuwa hiyo elements ya ukabila kwa sasa unachipuka kwa kasi ingawa tunajifanya hatuioni kwa sababu si tunaoguswa,pengine ndiyo tunaofaidika na mfumo huo ambao unakuwa kwa kasi !.Lakini tukijifanya kama wanasiasa wa ccm ambao wanaogopa kusema kweli kwa kuogopa kuvifaidisha vyama vya upinzani si muda mrefu,tutajuliana kwa makabila!.kibaya zaidi pale ambapo taasisi ya umma inapogeuka kuwa NGO,Hivyo si dhani kama taasisi hiyo inaweza kufikisha malengo yake kwa umma wote.Pengine kwa sasa tufukie vichwa vyetu mchangani kama alivyo sema mzee kalam.

Nimefuatilia sana hizo wizara zilizotajwa kuwa zinaoongoza kwa ukabila, lakni sijaona Wizara ya mali asili, na utalii hususan TANAPA
Sijaona NSSF ikitajwa na BOT. Huko nako wamejaa wahaya, wachaga na wanyakusa?

Nawasilisha.


Before you judge others, start with yourself
 
Mkjj,
Kwanza ninawapa pongezi wanajambo wote kwa kukata issue!.mimi nimsomaji wa siku nyingi toka bcs lakini si mchangiaji.Lakini hii maada imenikumba hata mimi katika harakati zangu za maisha ya kazi,nilipokuwa ndani ya mfumo wa serikali
Hili swala ni gumu kwa kuangalia kwa inje,nikiwa na maana ya kuwa kama mtu si mwajiriwa wa serikali au shirika la umma lolote.
unachokisema ni sahihi kwa wakati huo,lakini kwasasa hivi makabila mengi wamesoma,lakini kwa sababu waliotangulia ni wa makabila hayo,basi kazi zitakwenda kwa kuangalia kama muombaji anatoka kwenye kabila lake au laa.hapa ninamaana hakuna usawa,hata hizo nafasi za shule zitakwenda kwa mfumo huo.kwa hiyo labda tujadili nia mbadala lakini ukweli ndiyo huo kwa mtu ambaye yupo ndani ya mfumo wa serikali unaona hili,lakini kwa mtu ambaye haupo ndani ya mfumo huo unaweza usikubaliane na mtoa hoja.Ninaomba kutoa .01%

Nakubali ndiyo hali halisi sasa!
 
Tangazo lilisomeka "HAKUNA KAZI"
By Utawala-
chini yake likasomeka "IMBOMBO ILIPO"
 
Tufichue hayo maovu ili yakome kwa wahusika kuona aibu wakiwekwa hadharani.
 
shule imefanyaje? Unataka kutuambia kwamba watu wa makabila fulani wamejazwa katika taasisi hizo kwa sababu wao pekee wamesoma? Ah, hiki ni kichekesho kingine. Kipeleke kwa akina mpoki, siyo sehemu serious, iliyojaa ma-brain kama jf. Kwa taarifa yako, kama kuna mambo yanahatarisha usalama wa nchi, hilo ni mojawapo!

kama huamini kuwa kuna makabila yameenda skuli kuliko nyie hebu fanya utafiti wako kwa wachaga na wahaya.at least utajua ukweli
 
Ukabila upo sana kwenye kupiga simu wengine inasema not reachable hasa sisi
 
Hongera kwa ufafanuzi huo ili watu waelewe tulipotoka kihistoria na mabo jinsi yalivyo hiv sasa
 
kama huamini kuwa kuna makabila yameenda skuli kuliko nyie hebu fanya utafiti wako kwa wachaga na wahaya.at least utajua ukweli

not now,kwa karne iliyopita sawa!!Now days kuna muamko wa elimu every part of our country!!lazima tukubaliane tu ukweli ukabila upo sana,kibaya zaidi hadi kwenye sekta binafsi kama benki n.k
 
Mbona ni jambo la kawaida ndani ya nchi hii swala la ukabila kazini????????? ANGALIA IDARA YA MAHAKAMA....MAHAKIMU WAFAWIDHI NI WAHAYA NA WACHAGGA PIA UONGOZI WA JUU WAHAYA KIBAO.....WASAJILI NA HATA MA ACCOUNTANTS, MAMBO YA AJABU SANA TUACHE HAYA TUFUATE SIFA NA UWAJIBIKAJI......
 
Ni kweli we hv to admit hawa jamaa walitutangulia na wapo wengi wenye shule in comparison with Makabila mengine na ndo tayari wapo kw system hivyo ni ngumu kufikia uwiano ulio sawa ukizingatia yako makabila zaidi ya 120 hapa nyumbani,so lets take it az a challenge tuwapeleke wanetu shule ili huko mbeleni na wanetu wasiishie kulalamika.. Thats my take
 
Hayo makabila wamissionary walinvest uko na ndo maana wameenda shule vya kutosha!

Kuna mtu akanidokeza kula hao ni wala ndizi na kuna association kati ya ulaji wa ndizi na AKILI ingawa bado natafiti nkipata majibu ntashare na wana jamvi.

So habari ndo iyo alafu iyo mijitu ikiwa madarakani inajiamini na uwezo wa kufanya maamuzi magumu wanao wapo waliodiriki ata kupingana na JK enzi izo.IN UJASIRI WA HALI YA JUU maana JK alikuwa anatisha!
 
Unapozungumzia ukabila unatumia vigezo gani?

Kama utasema Wachaga ni wengi,na wakati huo wewe ni unatokea katika kabila ambalo ni dogo au unatokea katika kabila ambalo watu wake wamechelewa kupata elimu mapema.

Tukizungumzia ukabila tutazame vitu 2. Kwanza ni ukubwa wa kabila husika. Pili ni elimu kama watu wengi katika kabila hilo wamepata.
Sasa ukizungumzia makabila kama Wachaga au Wanyakyusa na hata Wasukuma;utaona kuwa makabila hayo ndio makabila makubwa,kwa maana kuwa yana idadi kubwa ya watu.

Pili ukizungumzia upande wa elimu,utaona kuwa mkoa wa kilimanjaro hususani maeneo wanayotokea Wachaga utakuta elimu ilichukua nafasi tangu kipindi kirefu hususani kabla na hata baada ya kupata uhuru.
 
Unapozungumzia ukabila unatumia vigezo gani?
Kama utasema Wachaga ni wengi,na wakati huo wewe ni unatokea katika kabila ambalo ni dogo au unatokea katika kabila ambalo watu wake wamechelewa kupata elimu mapema.
Tukizungumzia ukabila tutazame vitu 2. Kwanza ni ukubwa wa kabila husika. Pili ni elimu kama watu wengi katika kabila hilo wamepata.
Sasa ukizungumzia makabila kama Wachaga au Wanyakyusa na hata Wasukuma;utaona kuwa makabila hayo ndio makabila makubwa,kwa maana kuwa yana idadi kubwa ya watu.
Pili ukizungumzia upande wa elimu,utaona kuwa mkoa wa kilimanjaro hususani maeneo wanayotokea Wachaga utakuta elimu ilichukua nafasi tangu kipindi kirefu hususani kabla na hata baada ya kupata uhuru.

Wachangiaji umu jamvini, mmeshawahi kuchukua takwimu darasani hasa vyuoni, Law, bussiness, education, engineering na etc watu wa kwenu mnaobaguliwa mlikuwa wangapi?. Halafu njoo na ukabila ambao hata mzazi gani ampaye nyoka mwanaye aombaye samaki, na mwenye nacho huong.....
 
Ukabila upo sehemu nyingi na utaendelea kuwepo kwa vile watu wenye mitazamo chanya ya kuuondoa wanazidi kwisha. Kizazi hiki na vijavyo ndiyo vyenye majukumu ya kusema HAPANA kwa kila aina ya kubaguana kwa kipato,kidini, kikabila, rangi, jinsia n.k. Tukitaka tutaje kila sehemu na maovu yake ya kibaguzi Tanzania imechafuka kuanzia Serikalini, Taasisi za Umma na Sekta binafsi!
 
Ndugu mleta mada,ata mimi mwanzoni nilifikiria hivyo hadi nilipofanya utafiti na kugundua yafuatayo:
1.Hiyo mikoa yote uliyoitaja ni maarufu kwa kilimo cha kahawa,wakoloni walipokuja walikuwa wahitaji kahawa mno,lakini wenyeji wa mikoa hiyo hawakuwa tayari kulima kwa kiwango walichotaka wakoloni,matokeo yake wakoloni wakaweka vivutio vya kuwafanya natives wawe na mwamuko wa kulima cash crops ili wapate fedha,moja wapo ya kivutio ilikuwa ni kufungua shule za nguvu zitakazovutia wakulima kupeleka watoto wao na hivyo kuitaji fedha na kwingineko mkoa wa Kagera,mtot wa mkulima wa kahawa alikuwa analipa ada nafuu na wakati mwingine anasomeshwa na chama cha ushirika,matokeo ya hii attitude ya quid pro quo watu wa mikoa hii walikuwa na hamas ya kusoma sana na hata kufikia mashindo ya mzazi gani watoto wake wamesoma zaidi,hii ni tofauti na mikoa mingine kama Kigoma ambayo wakoloni walitaka iwe labour reserve -sehemu ya kupata vibarua na manamba na kwa makusudi kabisa hawakutaka wala ku encourage wenyeji wa mikoa ya labour reserve kwenda shule kwani kama wangesoma wasingekubali kuwa manamba.hali hii iliendelea hadi late 60s baba wa taifa alipoingila kati na kufanay juhudi za makusudi kudidimiza elimu na maendeleo kwenye mikoa iliyokuwa imetangulia na kuinua iliyokuwa nyuma,japo haikusaidia sana lakini ilipunguza gap ambalo ndilo unalozungumzia,mikoa iliyokuwa nyuma ilipewa pass mark ndogo sana na ufaulu kwenda sekondari ulikuwa raisi sana na mikoa iliyokuwa mbele iliwekewa pass mark kubwa ili wanafunzi wengi wasiende sekondari.Kama kuna mfuatiliaji iki ni kile kipindi amabcho watu wa mikoa hiyo iliyokuwa mbele waliokuwa wanaishi kwenye mikoa iliyokuwa na pass mark ndogo walikuwa wanachukua watoto hata wasio na undugu nao na kuwapeleka kumalizia daras la saba kwenye mikoa yenye pass mark ndogo na hivyo ku-defeat purpose ya Goverment kwa kiasi fulani.
 
Nimefuatilia sana hizo wizara zilizotajwa kuwa zinaoongoza kwa ukabila, lakni sijaona Wizara ya mali asili, na utalii hususan TANAPA
Sijaona NSSF ikitajwa na BOT. Huko nako wamejaa wahaya, wachaga na wanyakusa?

Nawasilisha.

Before you judge others, start with yourself

Mkuu una maana gani kwa kusema wamejaa! Yaani wamewekwa pale bila SIFA zaidi ya UKABILA-Watanzania tumebobea katika fani za kutunga porojo na uzushi.
 
Mtz.
Human resource & adminstration yupo mtu wa kilimanjaro hapo ajira haendi kwingine. halafu fuatilia watendaji wa chini ya hawa policy makers.

fuatilia RRO/MANAGERS, fuatilia officers in charges wa long room(Dar),na boarders, then utapata jibu vipi kilimanjaro walivyothibiti idara hii nyeti.

nakupa zaidi RRO wa airport alikuwa Kimaro ambaye ni mchagga,

RRO long room alikuwa sabuni nae kilimanjaro, ukienda officer in charge majahazi alikuwepo Lyimo nae mchagga akaja Mushi nae mchagga, na ukienda RRO BANDARINI alikuwepo mzee Maleko mchagga bandari iko chini yake kabla yake alikuwepo Foyi nae mchagga,RRO wharf alikuwepo Kisaka mchagga ambaye sasa ni deputy commissioner,hawa ndio watendaji wanaopitisha ushuru.

na documents zote za bandari Dar lazima zinapitia kwa head declaration officer(HDO) MR. MCHIRA huyu nae kilimanjaro,

officer in charge wa container terminal bandari dar,ni mr. steven mchagga,
officer in charge border ya Tunduma ni mr, Niko ni mchagga na ukienda border ya Namanga kuna mr. Mosi nae mchagga,

hawa ndio watendaji pitieni muone kama kuna usawa. na aliyetoa statement ya kuthibitisha ukabila(ukilimanjaro) ni MManda ambaye ni mchagga yeye alisema tusishangae TRA twende jeshini kwanza.yeye aliye huko hakupinga kama hakuna uchagga na ukilimanjaro. tizameni benki kuu nako

Mswahili umemaliza
 
Back
Top Bottom