Mtanzania Halisia
New Member
- Feb 25, 2013
- 1
- 0
Kama mambo yenyewe ndo hayo kulikua na haja gani ya kutumia pesa nyingi kuweka hiyo system wakati inaweza kuvurugwa na watu tena wachache tu. Hili ni tatizo kubwa kwa nchi za Afrika, kuamua kuingia kwenye mfumo ambao hawajajipanga vizuri kuweza ku control risks. Ha ha ha sijui Afrika tulilaniwa na nani. Eh mungu tunusuru waafrika katika janga baya hili. Nawaombea Amani wakenya wote na Wa Afrika kwa ujumla.
Mi naona hata hapa kwetu Tz tujifunze na tusikubali mfumo huo wa kujumlisha kura 2015, bali twende kwa hardcopy!
Afadhali tumeyaona Kenya kabla ya 2015.
Mnaonaje wadau?
Ukabila umezidi competence..
I still am sure that Uhuru is too young for that office.
I stand to be corrected.
Hakuna mshindi, uchaguzi unarudiwa. Kumbuka Uhuru amepata 49.5% na Raila amepata 44.5%. Hakuna aliyepata 50%+1vote kama katiba inavyosema. Ngoma bado.
Hakuna mshindi, uchaguzi unarudiwa. Kumbuka Uhuru amepata 49.5% na Raila amepata 44.5%. Hakuna aliyepata 50%+1vote kama katiba inavyosema. Ngoma bado.
Ukabila umezidi competence..
I still am sure that Uhuru is too young for that office.
I stand to be corrected.