Mtanzania Halisia
New Member
- Feb 25, 2013
- 1
- 0
Kama mambo yenyewe ndo hayo kulikua na haja gani ya kutumia pesa nyingi kuweka hiyo system wakati inaweza kuvurugwa na watu tena wachache tu. Hili ni tatizo kubwa kwa nchi za Afrika, kuamua kuingia kwenye mfumo ambao hawajajipanga vizuri kuweza ku control risks. Ha ha ha sijui Afrika tulilaniwa na nani. Eh mungu tunusuru waafrika katika janga baya hili. Nawaombea Amani wakenya wote na Wa Afrika kwa ujumla.