Filipo Lubua
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 339
- 578
Sasa ulitaka tamko lile watoe wakati gani??
Sasa ulitaka tamko lile watoe wakati gani??
Naona kamanda na wewe unasukumwa na misukumo ya hisia zilezile... Umelisikiliza tamko lenyewe?!! Toa hoja yako ndo uulize swali, kama hutoi hoja hutaeleweka uulizapo swali. Tunajadili kwa wema si kwa magomvi.... Toa mawazo yako pia
Mkodoleaji,
mimi mwenyewe hapa nilipo nina opinions zangu kibao kuhusu yanayoendelea kwenye uchaguzi wa Kenya lakini siwezi kuyaandika mpaka mshindi wa mwisho atangazwe. Sasa kama mtu asiyekuwa na umuhimu kama mimi ninajua na kuogopa madhara ya kutamka opinions kuhusu uchaguzi kabla haujawa concluded, je itakuwaje viongozi wa chama cha mgombea mkuu wasiheshimu?
Hata hivyo yule jamaa aliyetoa tamko wakati anaondoka alitabasamu, na kwa mimi ilinionyesha kuwa hali haijawa tense kihivyo baada ya kuona anatabasamu.
Tuombe Mungu udini uishie kwenye kuchinja tu, ukifikia kwenye uchaguzi mbona tutakuwa wakimbizi, sisi wenye majina ya asili ndo inaweza kuwa nafuu yetu.... Kenya Ukabila ... Tanzania Udini ... Which is worse?
Matokeo yanaonyesha tofauti. Sehemu zenye turn out kubwa zilikuwa ni around 25%. Mtu mmoja kumverify kupiga kura ilikuwa inachukua mpaka masaa mawili. Yule aliyetumia 40min ndiye aliyetumia muda mfupi, so watu wengi wameondoka bila kupiga kura.
Thats almost one and the same thing only that some here would rather paint it differently.... Kenya Ukabila ... Tanzania Udini ... Which is worse?
Lubua wala sijasukumwa na hisia wale ni watu wanaotoa malalamiko, sasa sidhani kama unaweza kusema muda gani unafaa kwa malalamiko. Kwa sababu wanaweza kutoa baadaye mwingine akasema kwa nini hamkutoa wakati matokeo yameanza kutoka. Suala la kupigana litakuja kutokana na siasa za ukabila zilizojijenga kule kwao. Yaani kila mtu anaona mtu wao anafaa kuwa Rais
Pamoja na kufanya uchaguzi kwa amani lakini dosari kubwa ktk uchaguzi wa Kenya ni ukabila. wananchi wengi wamepiga kura kwa kuangalia makabila yao badala ya sera za wagombea.
Uhuru Kenyatta anaongoza kwa kura hadi sasa kwa kuwa tu anatoka kabila la Wakikuyu ambao ni wengi kuliko kabila jingine. Raila Odinga kabila lake la Wajaluo si kubwa kuweza kumuunga mkono na kushinda.
Mzee Jommo Kenyatta ambaye anadaiwa kupalilia ukabila nchini humo kwa kuwabeba Wakikuyu aliwahi kunukuliwa akisema "Jaluo Jinga Jeusi haiwezi ongoza Kenya"
wacha wivu
Magari ya M4C yaliyokwenda kumsaidia ODINGA hayajarudi? Hii dhambi ya kuwasakizia wengine kuwa wanaeneza ukabila ndiyo itakayowatafuna hata hawa wachagga wetu, subirini tu 2015 na sera yao ya umajimbo kmbe inatumika tu kama kufuniko, lengo hasa ni kutaka kuutukuza ukaskazini, kwishne Odinga bado Ninyi. Hayo magari yenu sijui mtayapitishia wapi?
Hakuna anayeshinda uchaguzi Kenya bila ukabila.
Tuombe Mungu udini uishie kwenye kuchinja tu, ukifikia kwenye uchaguzi mbona tutakuwa wakimbizi, sisi wenye majina ya asili ndo inaweza kuwa nafuu yetu.
Magari ya M4C yaliyokwenda kumsaidia ODINGA hayajarudi? Hii dhambi ya kuwasakizia wengine kuwa wanaeneza ukabila ndiyo itakayowatafuna hata hawa wachagga wetu, subirini tu 2015 na sera yao ya umajimbo kmbe inatumika tu kama kufuniko, lengo hasa ni kutaka kuutukuza ukaskazini, kwishne Odinga bado Ninyi. Hayo magari yenu sijui mtayapitishia wapi?
Kwa ujumla, uchaguzi wa Kenya umegubikwa na ukabila na hili si la kumtupia lawama mgombea mmoja tu. Odinga naye yumo humo, katika mkumbo huo huo. Anagombea si tu kwa sababu anadhani anaweza kuiongoza Kenya, bali pia kwa sababu anadhani ni wakati wa Wajaluo kuongoza. Bado huo ni ukabila na huo ndio pia unaomfanya naye asipate kura.
Chama chake kimetoa tamko baya sana muda mchache uliopita. Japokuwa mambo waliyoyaongea mengine yana mashiko, nadhani kwa ajili ya amani na usalama usingekuwa wakati wa kutoa tamko kama lile. Lile tamko laweza kuwachochea watu wakaanza machafuko.
Siasa za ukabila zinaletwa sana Tanzania na Serikali ya CCM. Ngoja waendelee kuupalilia nchini kwetu tuone nasi watatufikisha wapi. Tumwombe Mungu, siasa za sasa zimekuwa chai ya moto, ukinywa lazima upulize. Zinachoma
Kenya is for Kenyans, kwa vyovyote vile yatasemwa mengi!
Pamoja na kufanya uchaguzi kwa amani lakini dosari kubwa ktk uchaguzi wa Kenya ni ukabila. wananchi wengi wamepiga kura kwa kuangalia makabila yao badala ya sera za wagombea.
Uhuru Kenyatta anaongoza kwa kura hadi sasa kwa kuwa tu anatoka kabila la Wakikuyu ambao ni wengi kuliko kabila jingine. Raila Odinga kabila lake la Wajaluo si kubwa kuweza kumuunga mkono na kushinda.
Mzee Jommo Kenyatta ambaye anadaiwa kupalilia ukabila nchini humo kwa kuwabeba Wakikuyu aliwahi kunukuliwa akisema "Jaluo Jinga Jeusi haiwezi ongoza Kenya"
Na hicho ndicho kinachomcost Odinga. KILA LA HERI KENYA.