Jammu Africa
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 530
- 59
Nasikitika sana m2 mwenye tuhuma kuingia ikulu hata kama masingiziwa. (Kumbuka ikulu ni mahali patakatifu). Ucheleweshaji wa kura ni hatari sana mahali popote. Ndio maana wenzetu hawachelewi kupongezana mara anapoona mwenzake kashinda maana anona uhalali
I see bloodbath.God forbid
Uuuuuuuuummmmmm,,,,which one??????You see bloodpath then,,,,,
god forbid?????????If there is any,,,he,she cannot,,the way he ,,she
didn't (God),,,,,,,, in 2007,,,,but,,this is 2013 with,,a different
environment,,different political alignments.
Utangojea lakini ng'ooooo,,,,hata CNN ilituma ngenge la ma
journalist lakini by now,,,,wameanza kufa roho.
Iko kile kilichofanya wa Kenya wapigane.
Nimeshangazwa na wengi na haswa hawa
wazungu(mabepari) ambao nilifikiri ati ni
super smart kumbe ni ngozi nyeupe tuu lakini
wengi ni bongo lala.
Hehehehe,,,hata hauna habari yakwamba ni wa Kikuyu
na wa Kalenjin ambo walikatana na mapanga na
sasa wako pamoja.
Ama,,,,ninani na nani atakae pigana????????
Mwisho,,,vita vya 2007 vilianza baada
ya kusekana yakwamba rais Kibaki
alikua ameiba kura.
Mara hii,,,ninani atakae iba kura?????
Uhuru Kenyatta,,deputy prime minister
amuibie prime minister Raila Odinga????
Si ni kichekesho,,,hehehehehehe,,,,,
Ama,,,,IEBC?????????????????????????????:A S shade:[/QUOTE
Hebu kamata glass ya maji ya baridi unywe kaka maana mipovu inavyokutoka unaweza vunja hata keyboard hapo ulipo!
Nasikitika sana m2 mwenye tuhuma kuingia ikulu hata kama masingiziwa. (Kumbuka ikulu ni mahali patakatifu). Ucheleweshaji wa kura ni hatari sana mahali popote. Ndio maana wenzetu hawachelewi kupongezana mara anapoona mwenzake kashinda maana anona uhalali
"Ukabila ni dosari ndogo ndogo". Hujasikia watu hapa janvini wanadai siasa za Kenya ni nzuri zaidi ya siasa za Tanzania.
Mkuu ungesoma vizuri ujumbe wangu ungeelewa nilikuwa nina maana ipi, ndiyo maana nikaweka inverted commas kwenye hilo neno. Kuna watu walikuwa wanasema matatizo yaliyojitokeza ya ukabila ni madogo madogo ambayo hayawezi kuathiri siasa za Kenya.Sio dosari ndogo mkuu,walichinjana hawa watu kwa hiyo dosari unayosema ndogo
Magari ya M4C yaliyokwenda kumsaidia ODINGA hayajarudi? Hii dhambi ya kuwasakizia wengine kuwa wanaeneza ukabila ndiyo itakayowatafuna hata hawa wachagga wetu, subirini tu 2015 na sera yao ya umajimbo kmbe inatumika tu kama kufuniko, lengo hasa ni kutaka kuutukuza ukaskazini, kwishne Odinga bado Ninyi. Hayo magari yenu sijui mtayapitishia wapi?
Kwanza natowa shukrani zangu kwa wana jamii wote,mimi ni shabiki mpya,lakini napendezewa sana na mijadala yenu,hasa kuhusu siasa za kenya.nikiwa kama mkenya namuunga mkono huyu ndugu,ya kwamba ukabila ndio uliombeba Uhuru,umegonga ndipo,ndugu,100%,kama ni sera tungempa kura peter keneth,lakini nina wahusia ndugu zangu wa TZ,mumshukuru sana mwalimu kwa kuwaweka watanzania kama kaka na dada.wakenya tuna waonea wivu.nawatakia kheri Wabongo.alamsik.Pamoja na kufanya uchaguzi kwa amani lakini dosari kubwa ktk uchaguzi wa Kenya ni ukabila. wananchi wengi wamepiga kura kwa kuangalia makabila yao badala ya sera za wagombea.
Uhuru Kenyatta anaongoza kwa kura hadi sasa kwa kuwa tu anatoka kabila la Wakikuyu ambao ni wengi kuliko kabila jingine. Raila Odinga kabila lake la Wajaluo si kubwa kuweza kumuunga mkono na kushinda.
Mzee Jommo Kenyatta ambaye anadaiwa kupalilia ukabila nchini humo kwa kuwabeba Wakikuyu aliwahi kunukuliwa akisema "Jaluo Jinga Jeusi haiwezi ongoza Kenya"
Na hicho ndicho kinachomcost Odinga. KILA LA HERI KENYA.
Analysis ndogo niliyoifanya inaonyesha kuwa kenya bado ni tribalistic country. Ukiangalia pattern ya kura zilizopigwa utaona. Kenyata hakupata kura nyingi magharibi na odinga hakupata kura nyingi central province lakini upande wa coast wengi wamempigia odinga [lakini iweleweke pia coast kuna westerners wengi sana after nairobi. kwa kina mudavadi, siyo odinga wala kenyata aliyepata kura hukoPamoja na kufanya uchaguzi kwa amani lakini dosari kubwa ktk uchaguzi wa Kenya ni ukabila. wananchi wengi wamepiga kura kwa kuangalia makabila yao badala ya sera za wagombea.
Uhuru Kenyatta anaongoza kwa kura hadi sasa kwa kuwa tu anatoka kabila la Wakikuyu ambao ni wengi kuliko kabila jingine. Raila Odinga kabila lake la Wajaluo si kubwa kuweza kumuunga mkono na kushinda.
Mzee Jommo Kenyatta ambaye anadaiwa kupalilia ukabila nchini humo kwa kuwabeba Wakikuyu aliwahi kunukuliwa akisema "Jaluo Jinga Jeusi haiwezi ongoza Kenya"
Na hicho ndicho kinachomcost Odinga. KILA LA HERI KENYA.
mbona kunaelekea kunuka tena.