Curious Naturally
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 528
- 523
Kumbe kipimo chetu cha kufanyia comparison of efficiency attained ni Marekani!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du !!!
Wizi wa kura computerised!
KUFICHULIWA KWA SIRI KUBWA ZA UCHAKACHUAJI WA MATOKEO YA
UCHAGUZI MKUU NCHINI KENYA YASABABISHA MATOKEO YOTE
YA URAIS KUSITISHWA MARA MOJA KUTANGAZWA
Matangazo ya kura za urais nchini Kenya zasitishwa ghaflla mpaka hapo kesho tangu KUFUJA KWA UCHAKACHUAJI MKUBWA wa matokeo na Injinia asiye mwaminifu pale makao makuu ya kampuni ya simu nchini humo SafariCom.
Kila mahali hadi hivi sasa ni watu kuchanganyikiwa hasa katika kundi lililokua likipendelewa na hayo matokeo ya kuchonga. Pamoja na yote, watu wengi wameonyesha kushangazwa sana na matamshi ya Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Kinana, kule kukimbilia kwake kuhimiza vyama vikubali matokeo ilhali akifahamu kashfa hii nzito tayari imesababisha tume kushitisha matangazo zaidi ya matokeo.
Sote tuendelee kuwaombea majirani zetu kamwe wasisukumwe tena kwenye vitendo vya umwagaji damu kwani Mwenyekiti wa Tume ameweka wazi kwamba kamwe hatoendelea tena kuyatumea matokeo toka SafariCom.
Naam, kwa taarifa zaidi hatua hiyo ya tume imeelezewa kufikiwa kufuatia kwa kujulishwa kwao kutokea kuchezewa kwa kiasi kikubwa hivyo kaahidi kutangaza matokeo rasmi hapo kesho moja kwa moja toka kwenye makaratasi toka mashinani.
CHAIN OF CRISIS MEETINGS AFTER SAFARICOM ENGINEER 'DOCTORING'
2013 ELECTION RESULTS IS EXPOSED AT LAST
The whole SECRET IS OUT with regard to a THORN IN DOCTORING eletoral results in Kenya's 2013 Elections.
The SafariCom Chief Executive Director has released a MOST DAMNING SECRET on how one of his company's Engineers had been busy changing the election results send to the electoral body via SafariCom.
The Engineer who has been maliciously busy changing grassroots election results in favour of 'one of our own' had lately sparked suspicion and skepticism in his boss and the entire unsuspecting public following his deliberate move to re-programme a gap between the leading lights in that country's political scene as well as the pace at which he divulges the altered statistics to the National Panel at the Bomas of Kenya.
If it were not Safaricom top leadership's ethical wish to see the results from the grassroots reach Bomas of Kenya without any re-engineering, perhaps another lase of countrywide disharmony would have exploded t this displeasure.
The CEO is reported raised 'very serious concerns' on on the fact that provisional election results are grossly different from what his company has so far received from various grassroot poll centres in the country.
To this end, many surprises are on the way yet to be witnessed. Mind you, this is a cream piece of information only shared with JF members.
Two People have been arrested in regard to Hacking of IEBC
Sources indicate that the I.E.B.C realized that their system had been hacked into. The programmer was given instruction to input a permanent difference between UHURU and RAILA with more than 400,000 votes.
It had been realized that it could not be changed under any circumstances (after being programmed), unless they posted the data a fresh. 2 guys have been arrested, while 2 others are on the run.
There is a lot of scrutiny at BOMAS and people are on high alert. Any form of inaccurate tally is put aside and INDIVIDUALS involved personally HELD RESPONSIBLE
Having detected this at around 3pm yesterday, the Commission had no option but to fully go manual. It would have been worse had it not been detected.
The figures are already changing. Poll results the main TVs are showing is old data.
Haaah, haaaaah, mwaga sera reporter wetu. Kwa hiyo habari hazijawafikia wananchi?ni wananchi wa makaburini au hawahawa walio hai
Tupe source mkuu, hizi story za namna hii kila anayeshindwa anaweza kuzitengeneza ili kupata huruma ya jamii.
Please, kwa maslahi ya wakenya na kwa ustawi wa wakenya acheni kueneza uvumi wa aina hii, ambao utasababisha hasira zisizo za lazima na kupelekea kuuana kama kwa mwaka 2007.
Tafadhari kama hakuna reliable source, tusiendelee kuweka kwenye mitandao habari hizi.
Mkuu LUKOLO,
Ni kweli kabisa maana JamiiForums yetu ni ya viwango na hivyo ''Vyanzo/source'' ya habari inatokea wapi ni muhimu.
Maana mitandao ya kijamii Kenya mingi wakati huu wa uchanguzi wa 2013 Kenya imefungiwa kwa kukosa viwango vyetu vya JamiiForums ya Tanzania.
Hivyo inawezekana jamaa zetu waKenya wamekosa mahali pa kupandikiza taarifa zisizo sahii kupitia JamiiForums.
Uwezo Tunao, hutoshi kuwa source, vinginevyo utuambie kwamba wewe ni mfanyakazi wa safari com au ni mmoja kati ya wajumbe wa tume ya uchaguzi. Sawa inawezekana kumetokea matatizo katika mtandao na kusababisha matokeo kuchelewa, lakini huu uvumi usienezwe ilihali hakuna uthibitisho. Mtasababisha maafa, hebu wahurumieni wanawake, wazee na watoto watakaopoteza maisha bila hatia.
Mfa maji haishi kutapatapa, hizi ni kauli za mshindwaji. Ni mbaazi akikosa maua. Hii inatokana na hoja tu ya kwamba, kwenye server kama ma engineer wamebadili data huyo mkurugenzi kazitowa wapi data halisi na kuzichapa kwa hard copy.
Source????
Hii mahali pake ni kwenye jukwaa la Shigongo until proven otherwise......
Kwa wafuatiliaji wa uchaguzi wa 2007 huyu Raila ndiye wa Kwanza kuwaruhusu wafuasi wake waingie mitaani. Leo hii ameanza tena, wafuasi wake wameanza chokochoko mapema kuweka mabandiko kwenye mitandao ya kijamii wakiwaandaa wafuasi kisaikolojia kuwa wanaweza kuonewa. YETU MACHO ILA DUNIA ITAMJUA SOON.
Mkuu, ndio sababu sikuoni viwanja! Huyo KM kaingia choo cha kike!
Two People have been arrested in regard to Hacking of IEBC
Sources indicate that the I.E.B.C realized that their system had been hacked into. The programmer was given instruction to input a permanent difference between UHURU and RAILA with more than 400,000 votes.
It had been realized that it could not be changed under any circumstances (after being programmed), unless they posted the data a fresh. 2 guys have been arrested, while 2 others are on the run.
There is a lot of scrutiny at BOMAS and people are on high alert. Any form of inaccurate tally is put aside and INDIVIDUALS involved personally HELD RESPONSIBLE
Having detected this at around 3pm yesterday, the Commission had no option but to fully go manual. It would have been worse had it not been detected.
The figures are already changing. Poll results the main TVs are showing is old data.
Tanzania tunatisha sanaaa !
Matokeo ya Musoma (thousands miles away )yalipatikana mapema sana Dar es salaam makao makuu, kuliko ya Tabata segerea (just few miles) away..
I dont think so. Conspiracy theories zimeshaanza. Mlitaka ashinde LAIRA? Akishinda Kenyatta, system imekuwa hacked!!! watu wengine bana!!
Kenya wako juu sana kwenye IT sisi Tanzania tunaringia uchawi
Oneni maajabu jamani, Uhuru alikuwa anaongoza ki digital tangu day one, lakini sasa Odinga anaoongoza ki analogia
Two People have been arrested in regard to Hacking of IEBC
......