Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

Kenya wamechagua Rais ambae ni chaguo lao, Odinga ni sawa na Tschavangirai wa Zimbabwe, ni kIbaraka wa Mabwanyenye wa Ulaya na Marekani. Hongereni Kenya

The Hague wanapelekwa wale walokataa kuwa Vibaraka.Hongera Ndugu Uhuru Jomo Kenyata! walisahau kuwa kura zinapigwa na wa Kenya wala sio jumuia ya kimataifa wala kina Ocampo wa The Hague

Halafu Ocampo hajui hata kuhesabu, badala aanze na moja yeye akarukia namba nne...
 
Bado mkuu, lets keep our finger crossed wasije wakalianzisha tena.
 
Washaenda mahakamani na saa tisa majaji watakutana kuzungumzia kuhusu kuzuia matokeo kuhesabiwa
 
Hakuna mshindi, uchaguzi unarudiwa. Kumbuka Uhuru amepata 49.5% na Raila amepata 44.5%. Hakuna aliyepata 50%+1vote kama katiba inavyosema. Ngoma bado.

Not so fast mkuu, huenda urudiwe awe usirudiwe maana zimebaki karibu 60 constituency ambazo hazijahesabiwa
 
SIRI YA USHINDI WA UHURUKENYATTA, MSHINDI WA UCHAGUZI WA URAISKENYA 2013
1. Ukubwa wakabila lake ambalo linaundwa zaidi ya asilimia 30 ya wakenya wote.
Hii ni idadi kubwa kabisaya kura ambazo zinazidi maeneo yote yenye ushawishi kwa Raila
2. Kuungana naRuto
1.kikuyu ni 22%
2.Luhya
3.Kalenjin (Ruto)
4. Luo 11%
 
Inasemekana wakenya wamekelwa na uamuzi wa US NA EU kuwa watawekewa vikwazo wakimpa uraisi UHURU bse wako na kesi ICC.
So wakaamua kumsukumia kura UHURU ie LIWALO NA LIWE WAZUNGU HAWAWEZI KUTUCHAGULIA RAISI PERIOD
 
Kenya wamechagua Rais ambae ni chaguo lao, Odinga ni sawa na Tschavangirai wa Zimbabwe, ni kIbaraka wa Mabwanyenye wa Ulaya na Marekani. Hongereni Kenya

The Hague wanapelekwa wale walokataa kuwa Vibaraka.Hongera Ndugu Uhuru Jomo Kenyata! walisahau kuwa kura zinapigwa na wa Kenya wala sio jumuia ya kimataifa wala kina Ocampo wa The Hague

Hivi soko la MILAA za pale MERU liko wapi?Uhuru hawezi toboa bila support ya Jumuiya za Kimataifa.Tukifanya hivyo tutamtwisha mzigo ambao hawezi beba.
 
Duh! kauli za wenzetu, hata hawajui tofauti ya utani, ushabiki na uhalisia.Nilifikiri utofauti wetu is just borders
Acha upotoshaji wa ki-TZ wewe!!

Kuna constituencies kama 60 hivi hazijaleta matokeo na kati ya hizo kwenye ngome ya UhuRuto kuna kama 31 hivi achilia mbali zile kura anazookotaokota kwenye ngome ya Jaluo. Tusihitimise kamba uchaguzi unarudiwa huu, bado sana mpaka dakika 90 ziishe hiyo ni kama Liverpool mkuu (usijiaminishe tumeshinda huku bado kuna dk 5) utapigwa goli wewe!!! Oooooh!!
 
Kama JK alivyoweka familia yake, wanawake wasio na sifa, maswahiba na wa dini yake akiamini hawatamkosoa na still wasimwangushe!. Yako wapi?

Jamani tumefika lini huku? hili dudu tulichekealo likituuma tusilalamike, tuangalie credibility mambo ya ukanda, ukabila, udini n' so forth tuachane nayo hayana maana we will be the looser.
 
Inasemekana wakenya wamekelwa na uamuzi wa US NA EU kuwa watawekewa vikwazo wakimpa uraisi UHURU bse wako na kesi ICC.
So wakaamua kumsukumia kura UHURU ie LIWALO NA LIWE WAZUNGU HAWAWEZI KUTUCHAGULIA RAISI PERIOD
Kama wataamua kwa jazba itawacost sisi bado tunahitaji sana Jumuiya hizi za Kimataifa.Kenya ikiwekewa vikwazo uchumi wake utaumia sana na itawagharimu.Ni bora Uhuru achukue nchi kisha awaombe kukaa pamoja watatue tofauti zao.Kumbuka hawa hawana Permanent friend but wana permanent interest.
 
Mnaomlaumu Uhuru kwamba kachaguliwa kwa sababu ya ukabila mnamuonea tu yeye ndo Kenya ilivyo, ukiona kura alizopata maeneo ya Kisumu utamwonea huruma na hapo ndo unaweza kusema wajaluo wana ukabila zaidi kuliko wakikuyu bahati mbaya tu ni wachache lakini wangekuwa wengi kama walivyo wakikuyu sasa hivi mchezo ungekuwa umeshaisha na Raila angekuwa rais mteule.
 
Alafu huwa nawaza yaani kama kweli UHURU ni culprit wa yale mauaji iweje alambe kura zote izo
Something ficious apa au ndo huo ukabila?
 
Matokeo bado hayajatangazwa rasmi nyie tayari mmeshampata mshindi. Si kutafuta vurugu? Acha tume itangaze. Kwanza kura zinaonyesha bado mshindi hajapatikana.
 
Kama wataamua kwa jazba itawacost sisi bado tunahitaji sana Jumuiya hizi za Kimataifa.Kenya ikiwekewa vikwazo uchumi wake utaumia sana na itawagharimu.Ni bora Uhuru achukue nchi kisha awaombe kukaa pamoja watatue tofauti zao.Kumbuka hawa hawana Permanent friend but wana permanent interest.

Sasa hivi Wazungu wanaogopa mno kuweka vikwazo vya ovyo ovyo, Vi-China vinatishia maisha yao, maana wanajua fika kama nchi husika ikipata support ya China itakuwa imekula kwao!! Acha wananchi wampe Uhuru tuone jeuri ya wazungu, Tumb..ff zao wamezidi kuamua mambo ya nchi zingine huku nao uchumi wao uko mahututi!!
 
Mnaomlaumu Uhuru kwamba kachaguliwa kwa sababu ya ukabila mnamuonea tu yeye ndo Kenya ilivyo, ukiona kura alizopata maeneo ya Kisumu utamwonea huruma na hapo ndo unaweza kusema wajaluo wana ukabila zaidi kuliko wakikuyu bahati mbaya tu ni wachache lakini wangekuwa wengi kama walivyo wakikuyu sasa hivi mchezo ungekuwa umeshaisha na Raila angekuwa rais mteule.

Hapo kwenye red! Ohaya na gwane ong'wise!

Yaani jamaa anapewa mpaka kura 85 mara 97 kati ya maelfu ya kura? Kama siyo ukabila ni nini hicho? Kwa Wakikuyu unakuta RAO anapata mpaka kura 3,000. Hapo nakubaliana na wewe Wajaluo ndo wana ukabila sana. Hii kuna uzi siku moja nilichangia humu ndani kwamba wanaomwunga mkono RAO hawawajui vizuri Wajaluo, kuna shirika moja aliachiwa Mjaluo huko Kenya ambalo lina ofisi hata hapa TZ, jamaa alihakikisha nafasi zote za maana anawaondoa wale wa makabila mengine na kujaza wa kabila lake. Sasa hivi shirika limekuwa la Wajaluo, hata consultancy ambazo walikuwa wanapata hata makabila mengine sasa hivi hawazipati wanapewa Wajaluo tu!!

Chezeo Luo Union wewe!!!
 
Back
Top Bottom