Ukabila ni jambo lisilo semwa sana nchini lakini lipo sana kazini/maofisini

Upo kweli ila Sio mkubwa kama unavyo ukuza wewe... tena ni watu wa kanda fulani ndo wanahiyo tabia.. lakini mamlaka zikiamua kuwashughulukia, unaacha maramoja.....
 
Kwa kweli Wachagga unawaonea tu ila hata wakiwa 100 ofisini na wewe pekee ni Mndengereko utapendwa nao sana na utoenjoy, shida ni Wahaya, Wasukuma na Wanyakyusa, itabidi uhame haraka hapo.
 
Hi
Shida hii ipo kubwa mno hasa ukiajiriwa ndo utaiona ukiwa mtaani unaweza usijue kwa maneno wanyotoa wahusika!
Yo kitaalamu inaitwa instructional discrimination na ndio mbaya kuliko apartheid hii nishaulizwa jhpiego wakati nimefika kwa top are you mshomile ohh are you muslim?? Yaani nitakufa nayo hii
 
Mm
Ningepinga jina lolote la kikabila mtu angekua na majina mawili ya kizungu au kiarabu la mwisho lazima aitwe tanzania mfano fatuma juma tanzania Peter Albert tanzania
 
Wao sio wabaya kama wengine na kwa sababu wapo ofisi nyingi watu hufikiri ni wakabila.
 
Pwani wako hivyo ukiwa mkristo na siyo kabila lao funga biashara yako
Hapa ndio umeharibu uzi wako woooote kwa kusema uwongo,

Labda useme udini unakusumbua, ila kwa ukabila hilo halipo pwani kabisaaaa bwashee, hakuna watu wakarimu na wanawapokea wageni hata kutoka inje ya invhi na kuishi nao vizuri na kwa wema kama wa pwani,

Na ndio maana leo dar es salaam inamilikiwa na wageni watupu, wenyeji wameenda inje ya mji,
Matokeo yake wanaambiwa eti wavivu

Uislamu ni uadilifu, na hili hutalikuta kwa wasio waislamu

Inchi hii ungesema imejaa udini kwenye ajira tungekuelewa vizuri zaidi, na ubaguzi mwingi upo baraaaaaa
 
Unazungumzia Dar mimi nimesema pwani. Dar unayoisemea wewe wenyeji hawapo Tena. Mimi nimeishi pwani kisarawe huko najua Kila rangi nasio nimeishi kisarawe mini vijijinj huko.

Pwani ni wabaguzi sana kidini sasa wala usiseme
 
Juzi kati hapa kuna boss mmoja ana kampuni yake binafsi aliniomba nikamsaidie kuwafanyia interview vijana flani wa kike na kiume,ktk ile panel tulimpitisha binti mmoja wa kike aliekua kavaa ushungi na ana jina la kiislamu kwa sababu ndie aliyeweza kujibu maswali vizuri na pia alikua na uzoefu wa ile kazi,tulivyompelekea yule boss jina la yule binti cha kushangaza akamkataa eti kisa ni muislamu,akasema yeye kwenye office yake hataki watu waislamu hivyo akasema tumchukue candidate number mbili aliyekua mkristo.
Kwa kweli nilihudhunika na kushangaa sana.
 
Haikuwa bahati yake .
 
Mijitu toka bara huko ndio inaendekeza udini na ukabila,mingine imekaribishwa dar sasa hivi inaanzisha kampeni dar es salaam ibadilishwe jina,wenye mji wao wanawachora tu
 
Ona sasa, si nimesema mimi, udini tu basi, halafu wanajifichia kwenye ukabila
Udini unawasumbua
 
Unazungumzia Dar mimi nimesema pwani. Dar unayoisemea wewe wenyeji hawapo Tena. Mimi nimeishi pwani kisarawe huko najua Kila rangi nasio nimeishi kisarawe mini vijijinj huko.

Pwani ni wabaguzi sana kidini sasa wala usiseme
Soma hapo post #132

Kwa pwani udini na ubaguzi unawasingizia,
Jamaa wanaishi na kila mtu vyema sana, wako poa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…