Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #101
Huyu atakuwa mnuo au mchomeNimemquote jamaa hapo juu anasema eti hao hawana ukabila ni wapambanaji tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu atakuwa mnuo au mchomeNimemquote jamaa hapo juu anasema eti hao hawana ukabila ni wapambanaji tu
SikupingiUkabila umetamalaki sana nchini hasa kipindi hiki Cha samia
Niliwahi kusikia wachaga walikuwa hawapandi basi tofauti na la Mtei ama Machame express.SINA UHAKIKANaunga mkojo hoja mkuu..ukabila umeongezeka sana kipindi hiki..iwe ofisini,shambani au migodini ni ukabila tu..tunakoelekea tutakuwa tunapanda usafiri wa makabila.
Hii tabia inataka kuenea sana mahospital. Kuna mshikaji wangu aliajiliwa hospital inayotuhudumia sisi nikamtambulisha hadi kwa wife sasa nikienda kupata matibabu anakuita fulani ingia....Aisee niliona aibu sana akarudia zaidi ya mara2 ndo nikaingia halafu nikamwambia jamaa yangu pale kuna wamama wana watoto halafu watoto wanaumwa serious zaidi ya mimi.Kuna hospital moja kubwa kanda ya kati, kama huna mtu unae mjua kutibiwa na kwa mbinde sana. Upo mlangoni nurse au dakitari ana pita na watu wake kuingia ndani!!
Nadhani ataangalia Nyashi kutoka kwenye kabila lake vilevile mkuu au unawasema wachaga wasiokuwa na nyashi wana ubapa kama konyagi kubwa au sio mkuu?Vipi kupendelea mademu wenye nyash kubwa na rangi nyeupe nayo mi ubaguzi?
Maana matangazo ya siku hizi kuona black beauty shughuli kweli kweli
Hii iko wazi kabisaHasa kaskazini wana ukabila wazi wazi kama mkuu wa ofisi ni kutoka kaskazini na kama wewe sio wa kaskazini wala usijisumbue kuomba kazi hutapata.
Taasi ni vyema zikatajwa ili tupime kwa mzani sawaHivi unashindwa nini kutaja!!!
Wewe mwenyewe hujiamini halafu uko front kuwasema wanaojiamini.
Sasa ukimfichia siri huyo mkabila umefanya la maana?
Hata vyuoni , wakuu wa idara, semior lecturers kama sio Mwaisa basi MangiNchi bado ina udini na ukabila sana,,, makazin huko mpaka mitaani, kuna sehem ukifungua biashara wakijua wewe sio mkabila wao hawaji kununua,,, hasa hii mikoa iliyodumaa kimaendeleo
Inauma sana.Kuna dada mmoja siku chache tu zilizo pita nilimkuta analia nikamuuliza nini shida rafiki akaniambia kitengo chetu ukabila umezidi asee yaani nabaguliwa hadharani kabisa imagine mpo meeting watu wansema kilugha!Kuna kampuni huko Arusha mwaka Fulani ofisi karibia staff wote ni wameru na wachaga ilikuwa kampuni ya Sola Hadi kero kwa wengine tusiokuwa wa huko kaskazini
Inatangazwa internal job watu wanatoka external wanapewa kazi na haijulikani usahili kafanya lini na wapi kisa ni kabila lao anapewa shavu yalitushinda wengi tukaamua kuacha na kwenda kujiajiri mtaani.
Unahoja.Kwa hili tutaunga mkono kuliko kumuunga mkono mbowe kwa uozo uliokuwepo.Mmeishaambiwa ''no reform no election'' lakini utakuta makamanda wakitangulia unakuta nyuma yao wapo wanawake na watoto wao wa kike,ninyi mmelala nyumbani mnasubiri kuja kulia lia kwenye mitandao.Hamkuwaona vijana wenzenu kenya walivyopinga udhalimu wa bunge kwa vitendo,hadi ile sheria kandamizi ikafutwa?
Nyie mnakalia kwenda kwenye mabanda ya kubeti alafu unataka mabadiliko??
''Asiyefanya kazi asile''
Mbona mchaga wangu mie ana nyashNadhani ataangalia Nyashi kutoka kwenye kabila lake vilevile mkuu au unawasema wachaga wasiokuwa na nyashi wana ubapa kama konyagi kubwa au sio mkuu?
Bwashee 😂Mimi toka nimeoa mtoto wangu wa kichaga naona ukabila hakuna. Manake nilipokelewa kifalme kwao
Sina shaka nalo hili hata kidogonenda Kcmc ukaone pale kama hq ya kina Mangi, tena wao imefikia hatua wewe kama sio wa ukoo fulani wewe hutoboi
UKABILA NA UDINI HAUFAIUpo sahihi kabisa.
Sio kwa Sekta binafsi tu hata Serikalini, akiingia mkuu mpya anaanza kupanga safu yake kwa kuhamisha na kuingiza watu wake.
Hii haileti afya kiutendaji.
Nachukia sana ukabila na udini.
Eee wapo kwa uchache wao mkuu huenda ukichunguza kwa uzuri ni chotara hilo ila ukikutana na manka pure (pure breed) bila kitambi hujaniambiaMbona mchaga wangu mie ana nyash
Wachaga wako na matako tuu Tena wengi sana, shapeless wapo wengi sana!Eee wapo kwa uchache wao mkuu huenda ukichunguza kwa uzuri ni chotara hilo ila ukikutana na manka pure (pure breed) bila kitambi hujaniambia
Hata hapa wana wowo sio mchezo. ni utani tuWachaga wako na matako tuu Tena wengi sana, shapeless wapo wengi sana!
Mimi mara ya kwanza kusikia mchaga Hana shepu nashangaa maake familia yetu pande zote wako poa, Tena sana, ko kuja kusikia hawana shepu ety ndo hawana matako nilicheka sana😂
😂😂 Afu mwisho wa siku makabila mengi yapo km wachaga tuu, japo tofaut ni ndg ndg!Hata hapa wana wowo sio mchezo. ni utani tu
Hali halisi ndo hiyo sio hapo tuMwanangu unayosema ni kweli tupu nafanya kazi sehemu fulani naona kabisa kama wananitenga flani hivi kuna deals sipewi kwa kuwa tu sio mvaa msalaba. Dah
Kazi napangiwa zile mbovu kabisa hadi sometimes huwa nakatwa kwenye ratiba ila kwa wao wanaona kama sijui kumbe najua kila kitu mana kuna mdau humo kwenye ofisi tunafahamiana vyema sana.
Unapewa kazi za hivyo ndio ukazifanye ila kwa kuwa sisi ni watu wa ISTIGHFAR hizo hizo mbovu ndio tunapata maisha humo humo WAVAA MISALABA WANAKUWEKEA KINYONGO WANAONA UNAPATA KULIKO WAO.
nchi ngumu sana hii.!!!!