Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

Natoa tamko kuwa " Vikao vyote vya TFF vitaendeshwa kwa Lugha ya Kihaya atakaye kiuka agizo hili consider yourself fired"
Mimi ndio Nshomire bhana
 
Tulikosea sana kumpa hii nafasi huyu Malinzi..ni juha kabisa huyu bwana..anajaza wahaya tff halafu hataki tumuulize...ok miaka 4 siyo mingi utashangaa ushashindwa kabla ya kuanza Malinzi
 
Tatizo siyo ukabila je hao watu wanasifa na vigezo vya kuwa katika hiyo nafasi
 
Inawezekana hao wote wakawa na vigezo vinavyotakiwa lakini taswira (impression) inayojengwa hapa si nzuri na Malinzi anapaswa kufahamu ukweli huu.
 
Mwl nyerere aliwataja hawa wakipata madaraka tuu basi hadi ofisini wanaongea kilugha but sio mbaya ngoja tuone utendaji wao....
 
Jamal Malinzi maswali yangu nilokuuliza umeshindwa kuyajibu??au umeyapuuzia???au ndo uhaya wenyewe huo unaosemwa hapa???
 
Last edited by a moderator:
Jamal Malinzi maswali yangu nilokuuliza umeshindwa kuyajibu??au umeyapuuzia???au ndo uhaya wenyewe huo unaosemwa hapa???

Pole sana mkoroshopori, huo ndiyo uhaya wenyewe! Na bado, tutakoma. Lkn nawaonea huruma wafanyakazi wa tff ambao siyo wahaya maana watabaguliwa na kunyanyaswa sana
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkoroshopori, huo ndiyo uhaya wenyewe! Na bado, tutakoma. Lkn nawaonea huruma wafanyakazi wa tff ambao siyo wahaya maana watabaguliwa na kunyanyaswa sana

Nadeclare, NALISUKUMA but tuwaache kwanza tuone utendaji wao i e their tribalism will be judged by the outcome at the end of MALINZI'S REGIME
 
Last edited by a moderator:


chasuzy kamwe usimdharau mzee Dalali,ana historia kubwa na mpira wa nchi hii na moja ni kuiongoza klabu ya simba ikachukua ubingwa wa nchi hii bila kupoteza mechi,he has something to offer Tanzania football hata kama ni P7.

Mkuu jamali malinzi naamini soka letu kwa sasa linatakiwa liongozwe kisayansi zaidi,kwa simba kuchukua ubingwa bila kufungwa kwa soka la tanzania lililojaa rushwa !siwezi kuona kama yalikuwa mafanikio ya kujivunia,kwani baada ya kuchukua ubingwa simba ilifika wapi katika klabu bingwa afrika?wewe ndiye ulikuwa unawaangukia akina mzee Akilimali na wenzake kila yanga inapotaka kucheza na simba ata yanga kukwama kuwa kampuni ni hawa wazee wenye mawazo ya karne ya 19 uliowatumia,sasa leo yanga ina nini cha kujivunia.La ukabila naliondoa ila la kulipiza visasi na urafiki mkuu bado sijakuelewa,nakupa muda nione hayo mafanikio ila mimi naamini Soka letu ndio ninaelekea kuzimu
 
Hadi sasa hao wateule unawaonaje? Kuna lililoharibika so far?
Maswali unayouliza hayana mashiko kabisa. Ni bahati mbaya sasa umekosa hata chembe ya hekima na busara katika kufanya shughuli hiyo ya umma. Ingekuwa ni kampuni yako binafsi hakuna ambaye angepiga kelele lakini kwa kuwa unakalia ofisi ya umma, just count on me, you wont take time. Hiyo dosali ita-spoil integrity yako muda si mrefu. Sijui kwa nini wahaya mmeshindwa kuepukana na tabia hii mbaya!!!
 
Hadi sasa hao wateule unawaonaje? Kuna lililoharibika so far?

Yaani wewe Ni kituko, ulishaambiwa kwamba we Ni mkabila then unauliza "niliowateua unawanaje"?? Sisi tumewaona Ni wahaya watupu kitu ambacho hakikubaliki katika nchi ya makabila zaidi ya 125 iweje wewe uone wahaya Tu ndo wenye sifa?? Dumb nut;!!!!!
 
Mkuu naomba umualike huyo so called KUMWEMBE kwenye huu mjadala.

hivi huu ujinga alio uandika ndio una huita uchambuzi?hivi katika hili amechambua nini?
Kusema wote wahaya ndio uchambuzi?
Sikujua huyo Mwembe kama ni mjinga kiasi hiki.

Aiseee. Kumbe na wewe unaumia siyo? Unakinajisi chadema ni ya wachagga, halafu huku tff unajifanya unajenga hoja.
 
Malafyale you think so? Tuombe uhai.

Malinzi no excuse for your barbaric action!Haiwezekani watz karibia million 50 wenye qualification wawe kutoka wenu Kanyigo tu!Hii haikubaliki kabisa na umetuabisha sana sisi tuliokuamini sana!

Without any doubt,Mwesiga kapata nafasi hiyo sababu ni mhaya mwenzako tu na hii ni very shame Jamal Malinzi!Kijana wako huyu Yanga ilimshinda na kibaya zaidi HANA QUALIFICATION mlizozitaja wenyewe!Hana MBA huyu Mweiga bali ana Bachelor tu tena ya International Relationship!

Kingine kikubwa nilichokiona kwako Malinzi ni kisasi!Yyt aliyekupinga kwenye njia yako ya kuwania nafasi hii hata awe mzuri vipi HUMPI nafasi!Hatuendi hivyo kwenye kazi za kitaasisi!Obama alipingwa sana na Mama Clinton lkn aliposhinda alimpa madaraka tena makubwa maana aliamini anafaa!JK KAWAPA nafasi watu kibao waliokuwa kambi tofauti!Wewe ni mtu wa kisasi tuuu

Acha ubabaishaji na fukuza hawa WAHAYA wenzako then leta team diversified itakayochukua Tanzania nzima na wenye qualification!
 
Tatizo siyo ukabila je hao watu wanasifa na vigezo vya kuwa katika hiyo nafasi

Katibu Mkuu Mwesiga HANA SIFA!Ukiingia website ya TFF inasema Katibu lzm at least awe na MBA lkn huyu jamaa ana Bachelor tu tena ya International relationship!

Huyu kapata nafasi sababu ni mahaya tu!Shame on you Malinzi
 
niqqas hoe nakuomba uwe na subira, i know exactly what i am doing, sijaingia TFF bila mpango kazi.

Hamna lolote tutakalo pata jipya toka kwako maana kwenye ethics tayari umevurunda!Ingawaje sheria inakuruhusa kumchagua hata kaka yako Dioniz kuwa Katibu Mkuu lkn sometimes ethics zina nguvu kama tu sheria!Umeshindwa kuliona la ethics then unatuambia hapa kuwa tutegemee lolote la maana toka kwako?No way maana Management Laws zinasema kuwa UKIKOSEA MWANZO UTAKOSEA HADI MWISHO!!

Mashindano ya kwanza chini ya utawala wako ni Challenge Cup mwezi uliopita Kenya na TUMEPIGWA,nitakuwa nakubandikia kila tukitolewa na HATUTAPATA lolote la maana toka kwako nakuhakikishia!
 
Poleni sana ambao hamkulijua hili Tenga alilitambua mapema mkamdharau.Huu ni utaratibu wa kawaida tu ukiweka Boss wa kihaya popote pale tegemea wanaofuatia chini wote watakuwa wahaya hata kama hawana sifa zinazostahili. Wajukuu zangu hawa huwa wana kawaida ya kujenga himaya. na ndio kisa cha makampuni ,mawizara na mataasisi mengi kuporomoka kwani hakuna wa kumwajibisha mwenzake
 
Siamini kama ni wewe mheshimiwa Malinzi ndie ulieandika maneno haya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…