Jamal Malinzi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 710
- 650
Jamal Malinzi,afadhali umekuja ingawa umechelewa sana kuja kujibu hizi hoja za wadau wa soka hapa JF
Vigezo vya Katibu mkuu wa TFF anapaswa kuwa na masterS degree hata waliopita (Mwakalebela na Osiah) walikuwa na masters degree,imekuwaje mmempa kazi Celestine Mwesigwa ambaye hana hicho kigezo?
Nachelea kuongelea watu ambao walishatumikia shirikisho,kwa uteuzi uliofanywa na kamati ya utendaji,trust me,ulikuwa ni uteuzi sahihi.
Last edited by a moderator: