Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

Hadi sasa hao wateule unawaonaje? Kuna lililoharibika so far?

Suala sio kuharibika.. ni mteule mwesiga kukosa vigezo.. ishu ni kwanini hamkufuata qualifications mlizoainisha ktk kuchagua katibu mkuu.

Si kheri msingeweka hivyo vigezo!
 
Wanajamvi nina swali nahitaji majibu.
Lile suala la ukabila lililovuma baada ya uchaguzi TFF ndo lishapotezewa au wadanganyika wamekubali matokeo?
 
We nawe?. Huna la kuchangia hadi uzue yasiyo na maana. Ulitaka wawepo Wahindi na Wakikuyu ndio isiwe ukabila. Tumechoka na watu wanaopenda kufanya MICRO MANAGEMENT KWA TAASISI ZA WATU WENGINE.
 
Unashangaa ukabira TFF? VipTRA,TBC n.k??
 
Hahahahahaha, tutafika tu ni suala la muda.ngoja tuwe likizo kidogo ktk soka.
 
Wewe tatzo lako ni wahaya au unataka kuona soka la Tz likiwa juu. sasa km hao wahaya wanaweza kulipaisha soka le2 siwaache tu! We na Eddo nyote ni mapu.........!

Hyo elimu ya kukuza michezo kwa wahaya tuu inatolewa wapi?
 
Wahaya waanzie kaitaba, maana hapo Bukoba pana figisu vibaya mno
 
Jamal malinzi gumzo lake lingine ni like liloenda kugombea kimyakimya kagera kwa kuandaa wapga kura wake hata wadau wa soka hawakujua kilichotokea wakasikia taarifa za kutangazwa. Hata hilo la ukabila ni damu ya kihaya ilivyo, najua malinz hawez kusikia kwakuwa hawa bwana wana dharau sana
 
Poleni sana ambao hamkulijua hili Tenga alilitambua mapema mkamdharau.Huu ni utaratibu wa kawaida tu ukiweka Boss wa kihaya popote pale tegemea wanaofuatia chini wote watakuwa wahaya hata kama hawana sifa zinazostahili. Wajukuu zangu hawa huwa wana kawaida ya kujenga himaya. na ndio kisa cha makampuni ,mawizara na mataasisi mengi kuporomoka kwani hakuna wa kumwajibisha mwenzake
Hongera kwakuwa unawajua vizur hawa bwana, nmewah kufanya kazi kwao nliishi kama mbwa hakuna wazo limewahi pokelewa pale nlipokuwepo zaidi niliambulia chuki na ubaguzi usio na maana
 
Unashangaa ukabira TFF? VipTRA,TBC n.k??
Usingekuwa Rweye ungetoa jibu tofauti... Lakini kama wewe ni Rweye lazima ujibu kama ndugu yako anavotoa povu hapa kama yupo kijiwe cha kahawa
 
Mabwenga binafsi yananiboa sana, nawapenda dada zao tu
 
Rais Malinzi muhaya
Katibu mpya wa TFF ni Mhaya,
Mkurugenzi wa sheria na utawala ni Mhaya,
Mshauri wa masuala ya kiufundi ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya maadili ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya Uchaguzi ni Mhaya

Huu ni ukabila na kubinafsisha chama kikanda

Jamali Malinzi tunajua ulikimbia JF baada ya kukupa hoja hii,tunaomba utujibu kokote,kwa nini mnaleta ukabila TFF?
 
siasa za Uyanga na Usimba ndizo zinazodumaza mpira Tanzania. period!

hizi timu mbili zikikufwa (na ninaomba sana zikufishwe na zioze kabisa!) hakutakuwa na wa kutuchezea Sub-Sahara Africa.
 
Back
Top Bottom