Ukabila una nguvu kuliko udini

Ukabila una nguvu kuliko udini

Mimi ni Mkatoliki, ila nina marafiki wengi Waislam, kuliko hata Wakristo. Na kiufupi huwa wananifundisha vitu vingi sana kuhusu Uislam.

Sema kuna wachache wa humu jamii forums, huwa wana itikadi za Ki boko haram.
 
Back
Top Bottom