benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,533
- 3,187
Mwaka wa fedha 2020/21
Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) kuhusu ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa mwaka wa fedha 2020/21 zinaonesha kuimarika ikiwa ni kielelezo kuimarika kwa usimamizi wa fedha katika ngazi hiyo.
Halmashauri zilizopata Hati Zinazoridhisha (Hati Safi) zimeongezeka kutoka Halmashauri 124 (67%) mwaka wa fedha 2019/20 hadi Halmashauri 178 (96%) mwaka 2020/21.
Halmashauri zilizopata Hati Zenye Shaka zimepungua kutoka Halmashauri 53 (29%) mwaka 2019/20 hadi Halmashauri 6 (3%) mwaka 2020/21.
Halmashauri zilizopata Hati Mbaya zimepungua kutoka Halmashauri 8 (4%) mwaka 2019/20 hadi Halmashauri 1 (1%) mwaka 2020/21.
Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) kuhusu ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa mwaka wa fedha 2020/21 zinaonesha kuimarika ikiwa ni kielelezo kuimarika kwa usimamizi wa fedha katika ngazi hiyo.
Halmashauri zilizopata Hati Zinazoridhisha (Hati Safi) zimeongezeka kutoka Halmashauri 124 (67%) mwaka wa fedha 2019/20 hadi Halmashauri 178 (96%) mwaka 2020/21.
Halmashauri zilizopata Hati Zenye Shaka zimepungua kutoka Halmashauri 53 (29%) mwaka 2019/20 hadi Halmashauri 6 (3%) mwaka 2020/21.
Halmashauri zilizopata Hati Mbaya zimepungua kutoka Halmashauri 8 (4%) mwaka 2019/20 hadi Halmashauri 1 (1%) mwaka 2020/21.