Ukaguzi wa CAG usiozingatiwa ni wa nini?

Kwahio shida ipo kwenye KUKAGUA tusikague au kwenye Kufuatilia ? Wafuatiliaji hawafuatilii ?

Ieleweke kuwa lengo la mada hizi ni kutoa ujumbe na ujumbe huwafikia walengwa. Siyo hadithi za Kaluma Kenge.

Neuro, utakumbuka kama hivi tuliwasema ocean road. Tiba sasa saa tano asubuhi tayari. Wakati ule 2000 - 2200 mgonjwa yuko pale tangia 0700. Jambo la kheri kabisa.
 
Kwani mkuu wewe na mumeo hamuwezi kuwa wapinzani?
 
Kwakweli. !! Yaani anabweka tu haumi ! Duh 🙄!
 
Bunge wanasema wanaisubiri ripoti ili waijadili !! Tusubiri tuone !! Tunalikumbuka Bunge la Mzee wa spidi na viwango !! R.i.p !
 
Ripot zake hufanyiwa kazi Kwa siri, baadhi ya mapendekezo
Ripoti inayotolewa hadharani na kutekelezwa kwa siri ina faida gani?Tutajuaje kama inatekelezwa kweli? Je niikukuuliza kuwa unajua siri gani ya ripoti iliyowahi kufanyiwa kazi?
 
Acha ujinga wako, sio kila anayekosoa Serikali ni chadema. Humu wamo wazalendo wa Kweli wanaoumia nchi yao kubakwa na hawa mafisadi!
Akikuelewa utupe mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…