- Thread starter
- #61
Kwahio shida ipo kwenye KUKAGUA tusikague au kwenye Kufuatilia ? Wafuatiliaji hawafuatilii ?
Ieleweke kuwa lengo la mada hizi ni kutoa ujumbe na ujumbe huwafikia walengwa. Siyo hadithi za Kaluma Kenge.
Neuro, utakumbuka kama hivi tuliwasema ocean road. Tiba sasa saa tano asubuhi tayari. Wakati ule 2000 - 2200 mgonjwa yuko pale tangia 0700. Jambo la kheri kabisa.