Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Hiyo mimba hujapewa na chadema mtafute mwenye mimba yakeChadema mnayumbayumba Sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mimba hujapewa na chadema mtafute mwenye mimba yakeChadema mnayumbayumba Sana!
Wapinzani wa bongo wanataka katiba mpya ili nao waonje madarakaIngekuwa Kenya raila angeitisha maandamano ya kutaka mamlaka za uwajibishaji hapa kwetu uteuzi zichukue hatua dhidi ya wezi wa kodi za wananchi.
Bahati mbaya kwa sasa hatuna mpinzani wa kuweza kufanya ya Raila. Hivi ni nini mbadala wa upinzani hapa kwetu kinachoweza kuchukua nafasi ya upinzani kushinikiza serikali kuçhuku hatua?
Wewe umeshajifungua?Hiyo mimba hujapewa na chadema mtafute mwenye mimba yake
CCM wajanja sana, baada ya kuona Upinzani unanunulika kupitia Mwendazake na zile slogan za kuunga juhudi,naona Mama yeye ana wanunua Wapinzani kupitia slogan ya Maridhiano!!Ingekuwa Kenya raila angeitisha maandamano ya kutaka mamlaka za uwajibishaji hapa kwetu uteuzi zichukue hatua dhidi ya wezi wa kodi za wananchi.
Bahati mbaya kwa sasa hatuna mpinzani wa kuweza kufanya ya Raila. Hivi ni nini mbadala wa upinzani hapa kwetu kinachoweza kuchukua nafasi ya upinzani kushinikiza serikali kuçhuku hatua?
Hapana mbona POAC/PAC ya Zitto 2009-2015 walitimuliwa mawaziri/manaibu zaidi ya 10 (Ukiachana na Tegeta Escrow) so ni kweli kwamba PAC ikiwa na mpinzani serious basi inakua na makali.
Zinafanyiwa kazi bunge la January nachoongelea MAPENDEKEZO hayana ukali Sababu hamna upinzani tokea 2020 so sijaji contradict. I Repeat Nlichosema ripoti ni matumizi ya bunge (Hili hufanyika bunge la January) ila tatizo kwa Sasa PAC haina mpinzani so haitoi "mapendekezo" makali.
Pesa ya walipakodi ila sio ya serikali.... Bajeti huwa inapendekezwa na serikali then wabunge wanapitisha. Ila ya CAG PEKEE haipendekezwi na serikali Bali kamati ya bunge Sasa contradiction Iko wapi? Hii inafanywa Ili serikali isije minya fungu la anayemkagua yaani NAO. Ungekua makini ungelijua hili!!
Maana unataka kusema hawakuchaguliwa na wananchi ndio maana nikasema whether iwe JPM au wananchi it doesn't matter mwisho wa siku hao ndio wamepewa dhamana ya kujadili ripoti ya CAG not otherwise.
Naku quote sababu ni mjadala kama hupendi basi kacomment PM. Kingine kutag mtu asome mchango wangu sio replies zako, coz why would I need assistance debating with an average mind like you? Hata basics tu za auditing Wala parliamentary guidelines hujui!! Give me a break!!
Wapinzani wa bongo wanataka katiba mpya ili nao waonje madaraka
- Unazungumzia POAC ya Zitto, mbona huzungumzii za kabla na baada yake? jibu linarudi palepale, wanalindana, kumbe hata wakiamua kufanya kama walivyofanya kwa Zitto, bado wanafanya kwa mapenzi yao, ajabu mjuaji unadanganyika!.
- Naona unaendelea kupoteza muda tu, unasema zinafanyiwa kazi bunge la January blah blah.. wakati hapo juu umeshaandika iliyowahi kufanyiwa kazi seriously ni ya Zitto pekee..!!
- Unadai pesa ya walipakodi sio ya serikali..., wakati serikali ikishakusanya ndio inaamua ipeleke wapi, ndio maana pesa nyingine wanazichezea kama tulivyoona this time kwenye ripoti ya CAG, open up your mind!
- Kama ulikuwa unajua hawakuchaguliwa na wananchi, kule mwanzo usingesema "tuliwachagua" mpaka ukafanya nikuulize nani aliyewachagua, kuwa makini na unachoandika, usiwe kigeugeu..
The rest about ordinary mind nonsense... you better quit; coz seriously naona umekuwa unanisumbua tu kuni quote na vihoja vyako vyepesi claiming umesomea uchumi, wakati huwezi hata kutofautisha kile ulichosomea darasani na kinachotendeka field!, nipo nje ya box more than u msomi!.
And by the way, who told you nataka darasa lako la uchumi kwenye jukwaa la siasa?! Pathetic.
Siri yann mzee? Huoni huo usiri ndio upigaj wenyewe!!Ripot zake hufanyiwa kazi Kwa siri, baadhi ya mapendekezo
Hoja hapo ni kwamba bajeti ya CAG Inapendekezwa na bunge ila bajeti zingine ZOTE zinapendekezwa na Serikali Sasa Kuna siasa Gani hapo wakati ni uhalisia. Huwezi mtuhumiwa ukaandaa bajeti ya anayekuja kukukagua itaondoa makali ya ukaguzi. Sasa siasa ikwapi hapo?Kwamba, "Pesa ya walipakodi ila sio ya serikali...."
Hilo ni siasa zisizomsaidia mtu yeyote. Labda tu, kama ni kwa ajili ya mabishano yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
Na ndio maana kamati za PAC na LAAC zinapaswa kuwa chini ya upinzani maana Hana maslahi ya Moja kwa Moja na chama tawala so anakagua kwa weledi. Na nimesema kwa ushahidi kwamba between 2009 na 2015 mawaziri sio chini ya 10 waliondolewa kwa ripoti za CAG baada ya mapendekezo ya PAC. So kumbe inawezekana kabisa hii kamati ikawa na makali kama ikiwa A. Chini ya Upinzani B. Mpinzani makini (maana sio Kila mpinzani ni makini).Hapa napo itakuwa labda una maana wananchi kupata haki ni kudra za mola. Kwamba awepo si mpinzani tu, bali awe serious vinginevyo imekula kwao?
Kufanikisha mawili hayo huoni kuwa yahitaji matambiko ya aina yake?
Aisee mkuu usinilishe maneno... Kwanini umeikata hiyo sentesi yangu? Mimi naongelea uhalisia sio siasa, kiuhalisia wananchi huchagua wabunge ila mkuu hapo alipinga ndio nikasema WHETHER JPM or Wananchi (Ili kumpa benefit of doubt) waliwachagua it doesn't matter maana kisheria wao ni wabunge hivyo ndio pekee wenye mandate ya kushughulikia ripoti ya CAG. Sasa hapo uongo ni upi? Au unadhani hata tusipowatambua sheria itaacha kuwatambua?hawakuchaguliwa na wananchi ndio maana nikasema whether iwe JPM au wananchi it doesn't matter ..."
Kumbuka mapema ulikuwa umetupa lawama kwa wananchi kuwa wao ndiyo waliowachagua wabunge hao.
Wewe ndio huelewi mjadala umeanzia wapi, huyo mkuu alimlaumu CAG kula mshahara wa Bure ndio nikamjibu yeye sio kazi yake kuchukua hatua Bali BUNGE. Ndio nikamwambia bunge la Sasa LINACHUKUA hatua maana ripoti huwa lazima ijadiliwe tatizo ni MAPENDEKEZO huwa sio makali sababu limehodhiwa na CCM. Mbona hoja inaeleweka wazi kabisa kwamba shida ni dominance ya CCM bungeni ndio inafanya haya meaning solution ni kuongeza wapinzani makini Ili uwajibikaji uwepo kama tu US au UK.Tambua hapa pana wezi wametajwa. Kuna yule polisi aliyekimbia na mabilioni. Hadi sasa hakuna jina wala picha yake. Anatafutwa kweli huyo? Iko mifano kadhaa ya hayo. Yote yanahitaji mpinzani serious na mijadala bungeni?
Wengi hawaoni hivyo. CCM hawaoni hivyo. Ila wewe mjomba
Hapana wabunge hawawezi laumu serikali ndio maana Spika amesema ni uzembe wa bunge kutofanya kaguzi zao mapema mpaka ufisadi unatokea. Hivi mkipitisha azimio kuwa Mwigulu aondolewe au kukusanya Saini za kusema hamna Imani na waziri mkuu na wote wakasign unadhani serikali haianguki? Mbona huko nyuma mawaziri waliondolewa kwa staili hii why kwa Sasa bunge lisubiri serikali wakati mamlaka ya oversight ipo kwa bunge?Tambua hapa pana wezi wametajwa. Kuna yule polisi aliyekimbia na mabilioni. Hadi sasa hakuna jina wala picha yake. Anatafutwa kweli huyo? Iko mifano kadhaa ya hayo. Yote yanahitaji mpinzani serious na mijadala bungeni?
Wengi hawaoni hivyo. CCM hawaoni hivyo. Ila wewe mjomba?
Wapi nimesema "hawakuchaguliwa na wananchi" unaweza nionyesha?? Nimesema WHETHER Ili kukupa benefit of doubt ya hoja yako kuwa HAWAKUCHAGULIWA na wananchi. Mimi naeleza kwa angle ya kisheria ndio maana hata Mnyika kasema sheria ya mabadiliko ya katiba itapitishwa na wabunge huku hapo hapo amedai waliiba kura. Meaning sheria ni sheria tu whether alipita kwa kura au wizi as you claimKama ulikuwa unajua hawakuchaguliwa na wananchi, kule mwanzo usingesema "tuliwachagua" mpaka ukafanya nikuulize nani aliyewachagua, kuwa makini na unachoandika, usiwe kigeugeu..
POAC later PAC imeanza kuwa chini ya upinzani enzi za Zitto ila kabla ya hapo ilikua chini ya Chenge so naye aliowalinda CCM wenzie. Na pia hata ripoti za CAG kusomwa bungeni kumeanza na kina Dr Slaa na Zitto hiyo 2009 before that haikuwepo hii ripoti ya CAG!! I wonder hizi basics huzijui!!Unazungumzia POAC ya Zitto, mbona huzungumzii za kabla na baada yake? jibu linarudi palepale, wanalindana, kumbe hata wakiamua kufanya kama walivyofanya kwa Zitto, bado wanafanya kwa mapenzi yao, ajabu mjuaji unadanganyika!.
Embu jaribu kunielewa mkuu, pesa anayopokea CAG naziita za umma sio serikali sababu SERIKALI wanapanga matumizi kwa pesa zilizopo hazina ila pesa za kwenda NAO alipo CAG inapangwa na kamati ya BUNGE PEKEE sio SERIKALI. Get the difference kwanza, pia hapo tunaongelea bajeti ya CAG sio bajeti ya afya, miundombinu n.k.Unadai pesa ya walipakodi sio ya serikali..., wakati serikali ikishakusanya ndio inaamua ipeleke wapi, ndio maana pesa nyingine wanazichezea kama tulivyoona this time kwenye ripoti ya CAG, open up your mind
Mkuu mtiririko uko hivi ya "hatua kuchukuliwa"Naona unaendelea kupoteza muda tu, unasema zinafanyiwa kazi bunge la January blah blah.. wakati hapo juu umeshaandika iliyowahi kufanyiwa kazi seriously ni ya Zitto pekee
Ripoti kutolewa mapendekezo mazito, na hayo mapendekezo kuambatana na vitendo vizito ni vitu viwili tofauti, au kama wewe unadanganyika na maneno pekee it's ok.Wapi nimesema "hawakuchaguliwa na wananchi" unaweza nionyesha?? Nimesema WHETHER Ili kukupa benefit of doubt ya hoja yako kuwa HAWAKUCHAGULIWA na wananchi. Mimi naeleza kwa angle ya kisheria ndio maana hata Mnyika kasema sheria ya mabadiliko ya katiba itapitishwa na wabunge huku hapo hapo amedai waliiba kura. Meaning sheria ni sheria tu whether alipita kwa kura au wizi as you claim
POAC later PAC imeanza kuwa chini ya upinzani enzi za Zitto ila kabla ya hapo ilikua chini ya Chenge so naye aliowalinda CCM wenzie. Na pia hata ripoti za CAG kusomwa bungeni kumeanza na kina Dr Slaa na Zitto hiyo 2009 before that haikuwepo hii ripoti ya CAG!! I wonder hizi basics huzijui!!
Baada ya Zitto ikawa chini ya Aeshi Hillary huyu wa CCM alikaimu kwa muda ndio akaja Mama Kaboyoka huyu alikua CCM ila akahamia Chadema 2015 so alikua moderate naye akawalinda Wana CCM wenzie. Na ndio maana nikasema WAPINZANI MAKINI maana hata Lipumba ni mpinzani ila sio makini.
Embu jaribu kunielewa mkuu, pesa anayopokea CAG naziita za umma sio serikali sababu SERIKALI wanapanga matumizi kwa pesa zilizopo hazina ila pesa za kwenda NAO alipo CAG inapangwa na kamati ya BUNGE PEKEE sio SERIKALI. Get the difference kwanza, pia hapo tunaongelea bajeti ya CAG sio bajeti ya afya, miundombinu n.k.
Mkuu mtiririko uko hivi ya "hatua kuchukuliwa"
1. Ripoti za CAG Ni kwa ajili ya bunge
2. Ripoti hutengewa muda kujadiliwa na kamati ya PAC na huwa wahusika wanaitwa ndani ya siku 60-90 watolee maelezo kashfa zao. Pia CAG huitwa kukazia mambo kadhaa.
3. Ripoti ya CAG ikishatolewa maelezo kwa kusikiliza pande zote mbili ndio hapo Sasa PAC wanakuja na FINAL draft ndio inapelekwa bungeni kujadiliwa.
4. Mpaka hapo ripoti zimefanyiwa kazi EXCEPT ni kwenye MAPENDEKEZO ndipo Kuna tofauti ya PAC enzi za Zitto na PAC ya Sasa kwenye bunge lenye chama kimoja. Kwa Sasa wanalindana maana hata PAC ipo chini ya CCM Sasa unategemea Nini.
Hoja ipo very clear so until bunge liwe balanced kwa uwakilishi wa upinzani kama 2009-2020 ndio tutaona ripoti inatolewa mapendekezo mazito.
NB; Tusiwe emotional kwenye mijadala maana sio vita ni kutofautiana hoja tu.
Yan majizi ccm mnaiba halafu mnaulaumu upinzani eti kwa nini hauwakemie!!!!Fuatilieni kwa makini bungeni, hao wawakilishi wenu ndio wenye jukumu la kufanyia kazi ripoti ya CAG na kuipa maazimio serikali. Msiwalaumu wasiohusika.
Hoja hapo ni kwamba bajeti ya CAG Inapendekezwa na bunge ila bajeti zingine ZOTE zinapendekezwa na Serikali Sasa Kuna siasa Gani hapo wakati ni uhalisia. Huwezi mtuhumiwa ukaandaa bajeti ya anayekuja kukukagua itaondoa makali ya ukaguzi. Sasa siasa ikwapi hapo?
Na ndio maana kamati za PAC na LAAC zinapaswa kuwa chini ya upinzani maana Hana maslahi ya Moja kwa Moja na chama tawala so anakagua kwa weledi. Na nimesema kwa ushahidi kwamba between 2009 na 2015 mawaziri sio chini ya 10 waliondolewa kwa ripoti za CAG baada ya mapendekezo ya PAC. So kumbe inawezekana kabisa hii kamati ikawa na makali kama ikiwa A. Chini ya Upinzani B. Mpinzani makini (maana sio Kila mpinzani ni makini).
Aisee mkuu usinilishe maneno... Kwanini umeikata hiyo sentesi yangu? Mimi naongelea uhalisia sio siasa, kiuhalisia wananchi huchagua wabunge ila mkuu hapo alipinga ndio nikasema WHETHER JPM or Wananchi (Ili kumpa benefit of doubt) waliwachagua it doesn't matter maana kisheria wao ni wabunge hivyo ndio pekee wenye mandate ya kushughulikia ripoti ya CAG. Sasa hapo uongo ni upi? Au unadhani hata tusipowatambua sheria itaacha kuwatambua?
Hata Mnyika juzi kasema sheria ya katiba mpya itapitishwa na hao hao wabunge!! Meaning hata kama hatuwataki au kutambua wao pekee kisheria ndio wanaweza pitisha muswada.
Wewe ndio huelewi mjadala umeanzia wapi, huyo mkuu alimlaumu CAG kula mshahara wa Bure ndio nikamjibu yeye sio kazi yake kuchukua hatua Bali BUNGE. Ndio nikamwambia bunge la Sasa LINACHUKUA hatua maana ripoti huwa lazima ijadiliwe tatizo ni MAPENDEKEZO huwa sio makali sababu limehodhiwa na CCM. Mbona hoja inaeleweka wazi kabisa kwamba shida ni dominance ya CCM bungeni ndio inafanya haya meaning solution ni kuongeza wapinzani makini Ili uwajibikaji uwepo kama tu US au UK.
Hapana wabunge hawawezi laumu serikali ndio maana Spika amesema ni uzembe wa bunge kutofanya kaguzi zao mapema mpaka ufisadi unatokea. Hivi mkipitisha azimio kuwa Mwigulu aondolewe au kukusanya Saini za kusema hamna Imani na waziri mkuu na wote wakasign unadhani serikali haianguki? Mbona huko nyuma mawaziri waliondolewa kwa staili hii why kwa Sasa bunge lisubiri serikali wakati mamlaka ya oversight ipo kwa bunge?
Kikwete alikua dhaifu kuliko Samia ila Bado bunge la Sitta lilinyoosha mafisadi sababu ripoti za CAG zilifanyiwa kazi kwa maazimio ya bunge kuondoa mawaziri.
Sasa unakagua unakuta madudu hayashughulikiwi so bora ukatafute kampuni yoyote tu ufanye kazi kwa raha zako.Kwahio shida ipo kwenye KUKAGUA tusikague au kwenye Kufuatilia ? Wafuatiliaji hawafuatilii ?
Kwahio suluhisho ni kuacha kukagua na sio kwamba uyashughulikie yanayokaguliwa ?Sasa unakagua unakuta madudu hayashughulikiwi so bora ukatafute kampuni yoyote tu ufanye kazi kwa raha zako.
Wapi nimesema "hawakuchaguliwa na wananchi" unaweza nionyesha?? Nimesema WHETHER Ili kukupa benefit of doubt ya hoja yako kuwa HAWAKUCHAGULIWA na wananchi. Mimi naeleza kwa angle ya kisheria ndio maana hata Mnyika kasema sheria ya mabadiliko ya katiba itapitishwa na wabunge huku hapo hapo amedai waliiba kura. Meaning sheria ni sheria tu whether alipita kwa kura au wizi as you claim
POAC later PAC imeanza kuwa chini ya upinzani enzi za Zitto ila kabla ya hapo ilikua chini ya Chenge so naye aliowalinda CCM wenzie. Na pia hata ripoti za CAG kusomwa bungeni kumeanza na kina Dr Slaa na Zitto hiyo 2009 before that haikuwepo hii ripoti ya CAG!! I wonder hizi basics huzijui!!
Baada ya Zitto ikawa chini ya Aeshi Hillary huyu wa CCM alikaimu kwa muda ndio akaja Mama Kaboyoka huyu alikua CCM ila akahamia Chadema 2015 so alikua moderate naye akawalinda Wana CCM wenzie. Na ndio maana nikasema WAPINZANI MAKINI maana hata Lipumba ni mpinzani ila sio makini.
Embu jaribu kunielewa mkuu, pesa anayopokea CAG naziita za umma sio serikali sababu SERIKALI wanapanga matumizi kwa pesa zilizopo hazina ila pesa za kwenda NAO alipo CAG inapangwa na kamati ya BUNGE PEKEE sio SERIKALI. Get the difference kwanza, pia hapo tunaongelea bajeti ya CAG sio bajeti ya afya, miundombinu n.k.
Mkuu mtiririko uko hivi ya "hatua kuchukuliwa"
1. Ripoti za CAG Ni kwa ajili ya bunge
2. Ripoti hutengewa muda kujadiliwa na kamati ya PAC na huwa wahusika wanaitwa ndani ya siku 60-90 watolee maelezo kashfa zao. Pia CAG huitwa kukazia mambo kadhaa.
3. Ripoti ya CAG ikishatolewa maelezo kwa kusikiliza pande zote mbili ndio hapo Sasa PAC wanakuja na FINAL draft ndio inapelekwa bungeni kujadiliwa.
4. Mpaka hapo ripoti zimefanyiwa kazi EXCEPT ni kwenye MAPENDEKEZO ndipo Kuna tofauti ya PAC enzi za Zitto na PAC ya Sasa kwenye bunge lenye chama kimoja. Kwa Sasa wanalindana maana hata PAC ipo chini ya CCM Sasa unategemea Nini.
Hoja ipo very clear so until bunge liwe balanced kwa uwakilishi wa upinzani kama 2009-2020 ndio tutaona ripoti inatolewa mapendekezo mazito.
NB; Tusiwe emotional kwenye mijadala maana sio vita ni kutofautiana hoja tu.