Ujinga unakusumbua.Tunaambiwa hakuna maji wala umeme sababu ya ukame na kwamba hakuna mvua, nijuavyo mimi Nature haijui mipaka ya kibinadamu, sasa iweje ukame uko kwetu tu? Tena wengine kama Kenya hata ni semi desert lkn kwa nini Nairobi maji yapo? Kwa nini Uganda kwa patron Museveni umeme na maji vyote vipo? Kwa nini Zambia, Burundi au Rwanda hakuna mgao wa umeme?
Ila kama nimemuelewa jamaa kasema hakuna mgao wa maji wala umeme, japo ukame upo, je wana mgao wa umeme?Ujinga unakusumbua.
North Kenya na Uganda ng'ombe wanakufa kwa ukame!
Mi ngoja nikuwekee taarifa zao maana nikisema mm utaona nazingua. Yaan wala sio wa uhakika, backup generators ndio ziko zinarun maeneo mengi tu. Usidharau kwenu ni kheri BongoView attachment 2406820Wapi ? Nairobi kuna mgao wa umeme na hakuna maji?
Ongezea na mfumuko mkubwa wa bei,mafuta shida chakula shidaKenya Umeme Shida na Maji Shida, uliza nipo huku na hiyo Stima ni ishu kama Bongo tu.
Kwa hyo kenya yote unaipima kwa reference ya Nairobi pekee?Wapi ? Nairobi kuna mgao wa umeme na hakuna maji?
Kwa hyo kenya yote unaipima kwa reference ya Nairobi pekee?
Ametaja Nairobi pimbi weweUjinga unakusumbua.
North Kenya na Uganda ng'ombe wanakufa kwa ukame!
Sehemu gani? Niko Nairobi full umemeKenya Umeme Shida na Maji Shida, uliza nipo huku na hiyo Stima ni ishu kama Bongo tu.
Pimbi wewe amnaye hujui kuwa Nairobi iko Kenya, shwain!Ametaja Nairobi pimbi wewe
Chukua Chako Mapema ndio tatizoTunaambiwa hakuna maji wala umeme sababu ya ukame na kwamba hakuna mvua, nijuavyo mimi Nature haijui mipaka ya kibinadamu, sasa iweje ukame uko kwetu tu? Tena wengine kama Kenya hata ni semi desert lkn kwa nini Nairobi maji yapo? Kwa nini Uganda kwa patron Museveni umeme na maji vyote vipo? Kwa nini Zambia, Burundi au Rwanda hakuna mgao wa umeme?
Uliza DaslamNairobi hakuna mgao wa maji wala umeme!