Ukame, Nchi jirani zote Maji, Umeme vyote vipo, Why Tanzania tu?

Ukame, Nchi jirani zote Maji, Umeme vyote vipo, Why Tanzania tu?

Tunaambiwa hakuna maji wala umeme sababu ya ukame na kwamba hakuna mvua, nijuavyo mimi Nature haijui mipaka ya kibinadamu, sasa iweje ukame uko kwetu tu? Tena wengine kama Kenya hata ni semi desert lkn kwa nini Nairobi maji yapo? Kwa nini Uganda kwa patron Museveni umeme na maji vyote vipo? Kwa nini Zambia, Burundi au Rwanda hakuna mgao wa umeme?
Chukua Chako Mapema ndio tatizi
 
Ujinga unakusumbua.
North Kenya na Uganda ng'ombe wanakufa kwa ukame!
Kajiado Kenya sababu ya ukame mbuzi anauzwa sh 200 na ngombe ni sh 500 Kenya Sh.
Wanasema zaidi ya tembo 100 na viboko 60 wamekufa kwenye sababu ukame.
 
Back
Top Bottom