Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Naona umechizika, unanilazimisha kumshukia Mbowe! Unawashwawashwa.
 
Litoa uz kama hl eti nalo litabwa bwaja hakuna uhuru TZ wa kujieleza, rubbish!! Chochez kabisa hl
 
yani wewe mleta mada tangu muende kupima DNA namke wako nakuthibitika watoto watano uliowalea toka kuzaliwa ukidhani ni wako kumbe imethibitika ni wa Mbowe.

Kinachokuuma zaidi hao watoto wana damu ya kichaga ingekuwa nafuu labda baba yao angekuwa kanda ya ziwa.

Walrus wewe
 
Aisee! Umetumia vizuri sana ubongo wako kuwaza mambo yenye maana na faida kubwa sana kwa jamii ya watanzania!
 
Mpendwa Wenu na nani?
 
Hao wanasiasa ndio waliosimamisha uokoaji kisa giza wakaenda nyumbani kulala na wake zao, kweli jiwe ni chizi!
 
Unaishi karne hii ya 21 kwa makosa sana, kwa akili zako mwisho wako ulitakiwa uwe karne 16!
 
Ndo maana hatuendelei , si kwa kuendekeza uzembe huu China hii mijitu ambayo iko responsible kwa hicho kivuko ni kunyongwa tu , ifikie mahali tuache kuleana we huwezi kusababisha maisha ya watu wengi hivyo kupotea halafu unaachwa tu kuendelea kusurvive , he'll no they don't deserve that a damn bit , we should execute those bastards in an open sight with rocket launcher grenades............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…