Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Labda angependa yawe mawazi ya kikabila zaidi, Ananikumbusha Mlowola aliposema ushahidi uliopelekwa kwake na akina Nassari na Lema kuhusu Rushwa ya Mnyeti kule arusha eti ulikuwa wa kisiasa, sasa inawezekanaje mwanasiasa akaongea jambo lisilo la kisiasa na wakati siasa ndio inaongoza nchi hii ?, na isitoshe kashfa yenyewe ilikuwa ya kisiasa.Wataka itumike kiuchumi au?kiongozi kuwajibika sini swala la kawaida sana kwenye uongozi
"Day worker"Kwa jinsi nilivyoelewa Captain hakuwa amesafiri na hiyo ferry na ndiyo maana kakamatwa. Aliyepoteza maisha ni huyo umempa jina "day waka"
Pole sana mkuu!"Asenga mimi nilikuwepo ndani ya kivuko kile cha MV NYERERE,tumepona tu kwa sababu tulikuwa nje,waliokaa ndani ni ngumu sana kupona kwakuwa kivuko kiligeuka gafla chini juu na kina uzito,
mtu ukifunikwa vile ata waokozi wakifika ndani ya robo saa kukuta bado mzima ni ngumu sana.
Kama hauamini na unazani masihara jaribu kuzama ndani ya pipa la maji kwa dakika 10 bila kupumua uone.
Mimi naomba wale waliozidisha abiria na uzito wakamatwe kama Mhe Rais alivyosema
na sisi abiria tujiongeze
Tukifika standi kwenye basi ama bandarini tuwe tunauliza, je hiki kivuko kina beba watu wangapi ?
na huo uzito ubandikwe kwenye mbao za matangazo,ukiona watu wamezidi usipande ila wa afrika sisi tunalazimisha na wengine tunatoa rushwa ili turuhusiwe kupanda madhara ndio haya,
ni ngumu sana kupona ukifunikwa vile ata kama baada ya dakika 10 kivuko kinge ondolewa majini lazima maiti zingekuwa nyingi sana,
watu waangalie ata Marekani boat ili wahi kuzama kwa kugeuka tu watu 17 wakaaga dunia,,waokozi wanafika wakakuta tayari na wenzetu wameendelea sana lakini kifo cha maji kinaua haraka hasa kama mtu unakuwa umefunikwa kama hawa walikuwa ndani.
Hiki kivuko kime karabatiwa mwaka jana na kote huko kimeenda vizuri tu tunakaribia kupaki watu wa ndani wanagombea kutoka nje
kwa kuwa watu walizidishwa uzito ukaenda sehemu moja kikageuka wajuu tukarushwa kwenye maji ndio pona yetu, wavuvi jirani wakaja kutuokoa,,walipoingia ndani ya kivuko kwa chini mda ule ule wakakuta watu washakufa kwa kukosa hewa sasa watu wasilaumu tu bila kujua.
nawaambia usiombe kufunikwa na kivuko, Sikia tu kwenye mitandao...fikisha salam mimi John Kisekwa..."
Subiri siku ya ufunguzi wa tunnel bridge pale ferry ndio utakuja kunielewa, kila kitu huanzia mahali, hata ukiwaza tu, achilia mbali kuongea, ulimwengu unakusikiliza bila wewe kujua, na vitu hufuata channel ya mawazo yako. TUNATAKA UNDERGROUND TUNNEL BRIDGE AU DARAJA LA KUFUNGUKA, nitaendelea kulidai hadi lijengwe, na pia nitaendele kulalamika kwa chochote kile nitakachojisikia, mb ni zangu.Ndege zinakata moto angani itakuwa MV Magogoni? Wewe kila kitu kwako kibaya. Mara daraja liko mbali sijui ulitaka lijengwe mlangoni kwako. Mara kivuko kinachelewa...kila kitu kwako kibaya, maisha yanakuwa magumu sana ukimind things out of your control.
kwa wenyeji wa huko, hivi kutoka huko kivuko kilipotoka (bugolola) mpaka ukara kuna umbali gan?. na kivuko hutumia wastani wa masaa mangapi?. tujuzane wakuu.
Hilo ni swali au unatania? Kungelifanyika kitu hiyo ajali ingetokea?Hatuwezi kubali uchafuzi kwa wasio na hatia ,uzembe wa wachache serikalini ,usisababishe serikali nzima kulaumiwa,
Mbunge aweke wazi nini kilifanyika (hatua) baada ya kuiomba serikali kufanyia kazi ombi lake ,tusipepese macho,nongwa zimezidi mno
Tunajifunza kila siku,ahsante mr Mbassa jr."Day worker"
Luxurious dreamliner instead of badly needed ferry! You're alerted in advance!Maajabu ya dunia. Mbatia kapata habari ya msiba kaita waandishi. Na wengine wengi kazi yao Kutweet ujinga. Sasa ukiwapa madaraka Hawa wataongoza Watu Au nyani kwa Kukosa utu.
Nijaribu kukisia tu ni km Km 50-60taarifa za awali zilisema kivuko hicho kilianza safari yake kutoka bogololasaa 6 mchana na ilipofika saa 8 mchana ndio kikapinduka, kwa hiyo ni mwendo wa masaa mawili hivi, lakini leo waziri kamwele amesema Umbali kutoaka bugolola mpaka upande wa pili ni wa muda wa dakika 45, sasa hata haijulikani ukweli ni upi, mlioko huko mtujuze.
Kama huelewi pita ,usijidhalilishe hadharaniHilo ni swali au unatania? Kungelifanyika kitu hiyo ajali ingetokea?
Kuondoa chama kwenye chaguzi za kipuuzi za marudio kutamgharimu sanaYote aliyoyasema kwenye press ya Jana ni uongo mtupu. Mbunge wa Ukerewe kuweka kula kitu hadharani soon kuhusu hoja take ya kivuko aliyoitoa bungeni. Stay tuned nitawajuza kupitia hapa hapa!
Wajenge underwater tunnel bridge, simple!Hilo daraja litazuia meli zinazoingia bandarani