Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

SUMATRA NA TEMESA hivi mnakagua kweli hivi vyombo na kuhakikisha zina life jackets za kutosha, life rings, sart, eperb, hand flares, masterlist onboard, manifest before boarding, Captains na Engineers reports, Certificates za crew wote nk..
Maana kwenye picha zinazozagaa hakuna hata moja nimeona kuna life jackets inazagaa eneo la karibu na tukio wakati imezama na masaa kadhaa toka imezama.. Hivu vitu ni basic inatakiwa tufanye tulinde usalama wa watu wetu na tuwe more professional dunia isije ikawa inatu dharau kila siku.
 
Pesa ikipatikana matumizi mapya yanajitokeza hahahaa
Mbona tayari watakuwa wameshayapata!! Unaweza ambiwa inatumika kuvuta maji kutoka ziwa victoria kwenda dodoma ili kuyapunguza kwani yamekuwa mengi sana, ndio maana ajari zimekuwa nyingi!! Hahaaaa! Hawa magamba ni shida kwa sanaa!!
 
Nimekuelewa
 
Unafikili watu wangelijua wanaenda kufa nani angepanda kivuko,tumefichwa kifo na nauhakika angekuwepo MTU akawazuia hao ndugu zetu kupanda ,pangechimbika vyombo hivi navitumia Mara kwa Mara sisi abiria ambacho huwa tunajari nikuwahi basi bira kuangaria kuwahi bila kutathimini mazingila harisi ya usafili je kwawakati huo ni salaama,hivyo basi wewe unaelaumu ulitakiwa kuchambua kila hatua ,nikueleze tu acha mungu aitwe mungu katuficha kifo.
 
Kuwajibika ni moja ya tabia ya kiungwana hivyo tunamuomba huyo waziri awajibike kwa kujiuzulu kwa maafa yaliyo tokea chini ya wizara yake.
 
Toka mwaka 2004 mpaka leo miaka mingapi?
 
Sitasahau zile rambirambi za tetemeko, walipozichukua na kwenda kujengea ofisi za CCM, na kukejeliwa juu badala ya kufarijiwa. Hadi leo wahanga wa lile janga wanateseka na hakuna anayejali.

Watu watoe rambirambi lakini zisiingie mikononi mwa hii serikali. Wapewe wahanga moja kwa moja, uwekwe utaratibu.
 
mpaka kufikia hpo braza Mmawia, tufafanulie kwa nini umeona ni vzr wazir aajibike?
 
Wewe ni zaidi ya kilaza mkubwa unabishana kama zuzu au kichaa wakati hiyo hotuba ya mbunge wa ukerewe bungeni ipo na clip yake ipo,wacheni masihara kwenye msiba mkubwa kiasi hiki
Yote aliyoyasema kwenye press ya Jana ni uongo mtupu. Mbunge wa Ukerewe kuweka kula kitu hadharani soon kuhusu hoja take ya kivuko aliyoitoa bungeni. Stay tuned nitawajuza kupitia hapa hapa!
 
Dah inauma sana ila nawaza tu tamko la RC isiwe ishu kiasi hicho, ni makosa ya kibinadamu, lakini pia nahisi alihofia maisha ya waokoaji, maana kwenye Maji kuna mamba, chunisi etc so may be alohofia waokoaji kwenye Giza kudhurika
Bado aliweza kuwapumbaza wananchi wakatulia. Kuna mangap serikali inawaongopea wananchi na wanatulia?Wangeweza hata kushinda huko majini na vifaa vyao lkn sio kuwaambia watu wanaosubir ndugu zao et tutaendelea kesho
 
Mbunge wa ukerewe ndugu Joseph Mkundi amesema kuwa Kivuko hicho kilifanyiwa ukarabati miezi miwili iliyopita, hivyo kilikuwa sawa na kilikuwa mbioni kubadilishiwa ratiba ikiwemo kuongeza idadi ya safari ili kukidhi mahitaji ya wananchi wa eneo hilo.
Aidha, amesema kuwa yeye mwenyewe ni miongoni wa watu waliopoteza ndugu katika ajali hiyo ambapo amedai kuwa takribani ndugu zake watatu wamefariki kwenye ajali hiyo.
 
Pole sana mkuu.
Honestly speaking Mimi hata ningekuwa nipo juu huko nikarushwa majini siwezi ogelea hata sekunde walah!
Mungu atuepeshe tu na hongera kwa kuokoka.
 
Naona leo akili imekurudia sasa unaongea kizalendo badala ya kuongea upupu,nakupongeza
Hatuwezi kubali uchafuzi kwa wasio na hatia ,uzembe wa wachache serikalini ,usisababishe serikali nzima kulaumiwa,
Mbunge aweke wazi nini kilifanyika (hatua) baada ya kuiomba serikali kufanyia kazi ombi lake ,tusipepese macho,nongwa zimezidi mno
 
Yaani watu wote hao wamepoteza maisha mita chache kutoka nchi kavu tena mchana. Tuko nyuma sana kwenye suala la uokoaji na umakini. Hivi hawa wanajeshi wa navy naowanaga kwenye magwaride kazi zao ni nini sasa? Kweli walishindwa ku deploy rapidly kikosi kidogo na vifaa kuokoa watu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…