Certified Idiot weweKwani upinzani wamekatazwa kufika huko?
Siku hivi humu JF wengi mmekuwa majanga
Wale wa Kagera walipewa hela zao?Tuchangie tu jamaaa.....
La uso walahiKwani chadema wameenda kupiga kambi wakakatazwa?
Serikali hi sio fair kabisa wana double standard....nakumbuka gari ya watoto wa shule arusha elivo pata ajari na watoto takribani 30 kupoteza maisha cha kwanza kabisa mkrugenzi wahiyo shule alikamatwa na kufunguliwa mashitaka, hii Mv nyerere watu zaidi ya 150 wamekufa mmiliki wa meri hahakamatwa/Au kwajibika hata kuomba msamaha kwa raia hamna ni mipasho tu. ....tena kibaya zaidi meri haina safety equipment za kuokolea watu hamna kama maboya emergency alarm, .....eti tunajidaganya eti Tz inaweza kua donor country, wakati tunashindwa kua na chopper 1 tu au taa za kumlika ku rescue maisha ya raia, wa nakufa kama kuku.Unaposema serikali haina lawama ya moja kwa moja huku ukidokeza ajira za kubebana sikuelewi hapo. Ni Nani aliyewaajiri hao mafundi wa kubebwa? Nadhani ni mmiliki wa meli, Nani mmiliki wa meli serikali, Then serikali haipaswi lawama. Wamiliki wa mabasi yanapopata ajali za kizembe kama hii wanashtakiwa pamoja na watumishi wao hasa pale watumishi wao wanapokuwa hawana baadhi ya sifa, lakini kwa serikali haipaswi kulaumiwa kwa mujibu wa maoni yako!! Serikali inapokea mapato ya abiria 250 kila siku kwa kivuko chenye uwezo wa kubeba abiria 100, inachekelea vinono vinavyoingia bila kujua vinatoka wapi? Yaani baba mwenye nyumba unamwachia mkeo hela ya dagaa mchana ukirudi unakuta mama kapika nyama ya kuku unakula kwa raha zote huku ukisifia ubunifu wa mkeo, kesho akifumaniwa na mume wa mtu hustahili lawama!!
Nina majonzi acha nikae kimya!
Kwahiyo zitolewe tu?Unahoji rambirambi wakati hujatoa
Rambirambi hupewa mfiwa
Mchangishaji akila ni yeye na mzigo wake
Umeona ehhKwani upinzani wamekatazwa kufika huko?
Siku hivi humu JF wengi mmekuwa majanga
Ya trump unaoyoijua ww. Karibia kila raia ana basic knowledge ya kuogelea.America ipi?
Acha nipumzike na simanzi yangu, poleni ndugu zangu wa Bwisya, Chifule, na watu wa Bugolora, Musozi na hata Ilugwa.Pole sana ndugu yangu, hii janga linatia simanzi sana, nimekuw nikifuatilia kwa karibu sana. Unajua ukiinyooshe kidole serikali inakuw vigumu kubaini tatizo! Hapa kuna watu waliopewa majukumu ya kuendesha mv nyerere ndio hawakutimiza majukumu yao na sasa yametukuta! Tukipoteza ' focus' tuane mara serikali mara raishatutafika kokote! Uzembe wa aina hii umekuwa ukitugharimu kila mara! Mtu leo unaomba kazi kesho hutaki kufanya kazi kwa umahiri! Hayo mapato ya watu na mizigo iliyozidi sidhani kama hata ilikuw ikiingia serikalini zaidi ya kwenye mikono na mifuko ya mafidhuri wachache! Ikifanyika auditing ya kina huu ukweli unaweza bainika. Kila kicha na mzigo extra ni hagula ya wahuni wachache!
Mtu anaomba na kupata tenda ya kujenga daraja anapunguza viwango na maafa yanatokea...hi ndio hali halisi..a hapa ndipo sitaacha kumtia moyo rais wetu mpendwa kwa kukemea na kushughurika na ambo kama haya ili yapungue kama sio kuisha kwa usalama wetu wote! Huwa napata shida sana watz wenzangu mnapoanza kumponda Magu!
Oil inasaidia maji yasiingie kwenye ngozi.wanadai eti kakutwa kajipaka oil mwili mzima duh hi inamana gan sasa
Mkuu kama unayo toa tu kama huna unaachaKwahiyo zitolewe tu?
Asante sanaSiwezi kurudia kosa kama hilo chini ya utawala huu