Ili akawawafue wafu au?
Aende kufanya nini.
Maana gharama zilizotumika kuwapeleka viongozi waliokwisha fika huko nikubwa pengine zingesaidia kununua kivuko kingine ili wasije kufwariki kwenye mitumbwi wakati huu ambao kivuko kimelala kifudifudi.
Na watu wataogopa kukipanda kwa muda hicho kivuko KILICHOUA kitakapo zinduka.
Ehhh Mola wangu walahi
KabisaNichangie kwenye akaunti ya wafiwa wenyewe au iliyo chini ya serikali ya awamu ya 5? Utani mwingine hauna maana wanafikiri tumesahau ya Kagera?
Na za kununu viongozi wa upinzaniIvi nchi hii tumerogwa?
Inakuwaje serikali inashindwaje kuhudumia watu 200 waliofikwa na maafa mpka wachangishe watu? Tena kwa vitisho.
Nashangaa waziri wa ulinzi anadai serikali haihusiki na kuzama kwa meli ila kumbuka kuwa kivuko ni cha serikali tena kwa kusema atakaye sema serikali inahisika atakamatwa.
Ivi hela za uchaguzi zinatoka wapi ila za maafa hazipo?
Wewe kuielewa hoja ya mleta uzi ni ngumu sana maana ujinga umewajaa hata kuhoji na kudadisi imekuwa msamiati usiowezekana kwenu, mtaendelea kuwa watumwa wa wanasiasa uchwara hadi mnazeekaNaona mmepata sera mpya kwa ajili ya uchaguzi wa 2020
Juhudi za gani za maana zaidi ya ujinga?Endeleeni na umbea wenu. Diwani wa kata ya Matarawe (chadema), Manispaa ya Songea leo amejiuzulu nyadhifa zake zote kuunga mkono juhudi. Mnajitoa ufahamu sio?
Chanzo:
Huna akiliMaiti moja ubani laki 5 , huku bei ya Waitara ikifika hadi mil 800 ! hii ni aibu kubwa sana !
Itakua kimechomwa moto kabisaKimepotea?
Au kimetupiwa majini kufuta ushahidi?