Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Naona mmepata sera mpya kwa ajili ya uchaguzi wa 2020
Acha ukumaaa wewe ni msengeee na matakoo ya bibi yakoo..! Hivi ungekuwa na ndugu aliyefia humo afu upewe laki 5 unaweza kukodi gari ya bibi yako upeleke maiti musoma kwa pesa hiyo? Potelea mbali maji utambue pale ni kisiwani.
 
Itakuwa wamepokea maagizo kutok juu
Labda ruge angekua mzima angerusha live
 
Waswahili mna mazoea ya ajabu. Ni maombolezo ya kitaifa; bendera nusu mlingoti; maeneo ya starehe kupunguzu mambo ya starehe kama miziki minene, matamasha, n.k japo hii haijaeleweka vizuri kwa watanzania. Vinginevyo kajitafutie kipato.
 
Hoja nyepesi kabisa hii Mkuu na usirudie tena kuisema hapa katika ulingo huu ' tukuka ' kabisa wa ' Great Thinkers ' wa JamiiForums. Tena usishangae ukasikia kwamba 95% ya waliopoteza maisha ndiyo wale ' Wajuvi / Wataalam ' wa Kuogolea na hao waliookolewa ndiyo ' Mangumbaru ' wenzangu wa Kuogelea. Kujua Kuogolea hakukupi Wewe 100% ' Guarantee ' kwamba ikitokea dhoruba Majini na Chombo ama kwenda mrama au Kuzama kabisa basi utapona. Halafu tusisahau pia kwamba Siku ikipangwa imepangwa tu.
GENTAMYCINE Mkuu upo sahihi hii ajali ni AJALI km ya Basi la abiria, Treni au Ndege
unaambiwa hicho kivuko kilbeba nguzo za Tanesco, magunia ya mahindi na nafaka nyingine kutoka Mnadani na abiria kibao,
walibobakiza km mita 50, au hata zingelikuwa 10. ajali ni ajali
kile kishindo tu cha kupigwa na mzigo au kufunikwa na gunia au nguzo mpaka uje uzinduke ni lazima unywe maji na huwezi ogelea asilani
RIP jamaa zetu wote waogeleaji na wasiojua MUNGU awafutie adhabu zenu kwani na sisi hatujui tutafuata kwa ajali gani, hata mbu au njiwa anaweza kukugonga
1537630351965.png
 
Mpaka sasa kitabu chenye orodha au kumbukumbu ya abiria waliopanda kivuko cha MV Nyerere kilichopata ajari hakionekani kilipo au kwa lugha nyepesi ni kwamba kimepotea, na hii inafanya kutokuwepo na idadi kamili ya abiria waliopanda ndani ya kivuko hicho.

Ombi; kwa yeyote atakaye kiona popote pale kilipo anaweza kukiwasilisha sehemu husika.
mtu mweusi ataendlea kudharauliwa tu popotee alipo
 
Hoja nyepesi kabisa hii Mkuu na usirudie tena kuisema hapa katika ulingo huu ' tukuka ' kabisa wa ' Great Thinkers ' wa JamiiForums. Siku ukipata muda nenda pale Kunduchi Beach waulizie hawa Wavuvi wawili maarufu wa enzi hizo ambao walipewa majina ya Samaki Kulwa ( Madenge ) na Samaki Dotto ( Kudura ) kutokana na Uhodari wao wa Kuogelea na Kuyakata maji utadhani walizaliwa Baharini au wana Undugu na akina Papa na Nyangumi.

Siku moja walienda Kuvua kama kawaida yao tena wakiwa na Wavuvi wenzao ambapo huko mbele Mtumbwi wao ulipatwa na dhoruba kali kidogo kutokana na eneo waliloenda ni la Mkondo wa Nungwi kama lilivyo eneo la Pwani ya Msasani jirani na Nyumba ya Nyerere na lilipo Soko la Samaki la Msasani. Cha Kushangaza baada ya kutokea hivyo dhoruba hao akina Samaki Kulwa na Samaki Dotto pamoja na Utundu na Utaalam wao wote wa Kuogolea ila Miili yao ndiyo iliyokuwa ya Kwanza Kuopolewa huku wakiwa wameshakufa na wale ambao ndiyo walikuwa kama GENTAMYCINE ' mangumbaru ' wa Kuyakata Maji ( Kuogolea ) walijitahidi kidogo hadi wenzao wa Mtumbwi mwingine kuja Kuwaokoa ila wakiwa wameshakunywa sana Vikombe na Matumbo yameumuka.

Wewe unadhani katika hao Abiria wote waliokuwemo katika MV Nyerere kulikuwa hakuna akina Samaki Kulwa na Samaki Dotto? Tena usishangae ukasikia kwamba 95% ya waliopoteza maisha ndiyo wale ' Wajuvi / Wataalam ' wa Kuogolea na hao waliookolewa ndiyo ' Mangumbaru ' wenzangu wa Kuogelea. Kujua Kuogolea hakukupi Wewe 100% ' Guarantee ' kwamba ikitokea dhoruba Majini na Chombo ama kwenda mrama au Kuzama kabisa basi utapona. Halafu tusisahau pia kwamba Siku ikipangwa imepangwa tu.
Usisahau pia kuvaa kondom hakumaanishi asilimia mia utakuwa safe,lakin bado ni njia moja wapo yakujikinga na VVU
 
Back
Top Bottom