Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Serikali ya wanyonge inaponunua ndege za mabilioni ya pesa za Watanzania masikini kwa ajili ya kupanda matajiri wachache na kuacha kununua kivuko cha wananchi masikini cha kiasi cha bilioni 2 ni kituko cha karne
Umeandika upuuzi wa hali ya juu
 
GENTAMYCINE Mkuu upo sahihi hii ajali ni AJALI km ya Basi la abiria, Treni au Ndege
unaambiwa hicho kivuko kilbeba nguzo za Tanesco, magunia ya mahindi na nafaka nyingine kutoka Mnadani na abiria kibao,
walibobakiza km mita 50, au hata zingelikuwa 10. ajali ni ajali
kile kishindo tu cha kupigwa na mzigo au kufunikwa na gunia au nguzo mpaka uje uzinduke ni lazima unywe maji na huwezi ogelea asilani
RIP jamaa zetu wote waogeleaji na wasiojua MUNGU awafutie adhabu zenu kwani na sisi hatujui tutafuata kwa ajali gani, hata mbu au njiwa anaweza kukugonga
View attachment 874650
We upo kwenye point
 
Sure mkuu
Bahati nzuri wanashughulikiwa ila yapaswa wafilisiwe.lazima wametajirika
Just imagine serikali inajua ni abiria 100 wewe unaweka 300 na zaidi afu hapo pia kuna siku unaeza danganya walikua 95
Na mshahara mwisho wa mwezi pia unaingia
Majizi sana yaani yanafaa yawekewe camera kila sehemu

Hawana haya wala ubinadamu, na mwisho wa siku wanakufaga maskini tu
 
BREAKING NEWS:

MBUNGE CHADEMA APINGANA NA UPOTOSHWAJI UNAOFANYWA NA VIONGOZI WA CHAMA CHAKE

Mh Michael Joseph Mkundi
MBUNGE WA UKEREWE ( CHADEMA)

_"Kuhusu hoja yangu niliyotoa kule Bungeni ilifanyiwa kazi na Serikali kwa uharaka sana na vizuri ambapo lilikuwa ni hitaji la INJINI MBILI ambazo Serikali ilitekeleza wito huo na zilipatikana kwa gharama ya (Tsh. Milioni 191) zikafungwa vizuri Mwezi Julai mwaka huu 2018 kwenye kivuko hicho cha MV NYERERE. Suala ambalo lilikuwa bado tunalifanyia kazi ni namna ya kuongeza idadi ya safari, mengne tumuachie Mungu nawashangaa wanasiasa kulichukulia suala hili kisiasa zaidi huu ni ujinga"_
 
BREAKING NEWS:

MBUNGE CHADEMA APINGANA NA UPOTOSHWAJI UNAOFANYWA NA VIONGOZI WA CHAMA CHAKE

Mh Michael Joseph Mkundi
MBUNGE WA UKEREWE ( CHADEMA)

_"Kuhusu hoja yangu niliyotoa kule Bungeni ilifanyiwa kazi na Serikali kwa uharaka sana na vizuri ambapo lilikuwa ni hitaji la INJINI MBILI ambazo Serikali ilitekeleza wito huo na zilipatikana kwa gharama ya (Tsh. Milioni 191) zikafungwa vizuri Mwezi Julai mwaka huu 2018 kwenye kivuko hicho cha MV NYERERE. Suala ambalo lilikuwa bado tunalifanyia kazi ni namna ya kuongeza idadi ya safari, mengne tumuachie Mungu nawashangaa wanasiasa kulichukulia suala hili kisiasa zaidi huu ni ujinga"_
Watasema kanunuliwa
 
Alternatively, tuulize pia. Waathirika na wahanga wa ajali wanaweza kuishtaki Serikali?

Maana nijuavyo kutokuwa na bima, haizuii kushtakiwa kama kwa uzembe wako umeshababisha ajali iliyoleta madhara kwa mwingine. (foreseable danger against foreseable victim)

..wanaweza kuishitaki serekali.

..serekali imekiri kwamba kivuko kilikuwa kinaendeshwa na "dei-waka."

..hiyo ni hoja ya msingi kuipeleka serekali mahakamani na kudai fidia.
 
Hoja nyepesi kabisa hii Mkuu na usirudie tena kuisema hapa katika ulingo huu ' tukuka ' kabisa wa ' Great Thinkers ' wa JamiiForums. Siku ukipata muda nenda pale Kunduchi Beach waulizie hawa Wavuvi wawili maarufu wa enzi hizo ambao walipewa majina ya Samaki Kulwa ( Madenge ) na Samaki Dotto ( Kudura ) kutokana na Uhodari wao wa Kuogelea na Kuyakata maji utadhani walizaliwa Baharini au wana Undugu na akina Papa na Nyangumi.

Siku moja walienda Kuvua kama kawaida yao tena wakiwa na Wavuvi wenzao ambapo huko mbele Mtumbwi wao ulipatwa na dhoruba kali kidogo kutokana na eneo waliloenda ni la Mkondo wa Nungwi kama lilivyo eneo la Pwani ya Msasani jirani na Nyumba ya Nyerere na lilipo Soko la Samaki la Msasani. Cha Kushangaza baada ya kutokea hivyo dhoruba hao akina Samaki Kulwa na Samaki Dotto pamoja na Utundu na Utaalam wao wote wa Kuogolea ila Miili yao ndiyo iliyokuwa ya Kwanza Kuopolewa huku wakiwa wameshakufa na wale ambao ndiyo walikuwa kama GENTAMYCINE ' mangumbaru ' wa Kuyakata Maji ( Kuogolea ) walijitahidi kidogo hadi wenzao wa Mtumbwi mwingine kuja Kuwaokoa ila wakiwa wameshakunywa sana Vikombe na Matumbo yameumuka.

Wewe unadhani katika hao Abiria wote waliokuwemo katika MV Nyerere kulikuwa hakuna akina Samaki Kulwa na Samaki Dotto? Tena usishangae ukasikia kwamba 95% ya waliopoteza maisha ndiyo wale ' Wajuvi / Wataalam ' wa Kuogolea na hao waliookolewa ndiyo ' Mangumbaru ' wenzangu wa Kuogelea. Kujua Kuogolea hakukupi Wewe 100% ' Guarantee ' kwamba ikitokea dhoruba Majini na Chombo ama kwenda mrama au Kuzama kabisa basi utapona. Halafu tusisahau pia kwamba Siku ikipangwa imepangwa tu.
Watu wakijiona wanapumua wanadhihaki wasiopumua

Hii mada imenisikitisha sana kama kweli akili zetu ziko hivi basi sisi ni mashetani

Utamchekaje mtu aliyekufa eti wamekufa kizembe!!!! Mita 50 tu

Pata picha upo katika pipa likielea majini ghafla limebinuka likakufunikia na kukukandamiza

Ujuzi na umahiri wako wa kuogelea utatokea wapi??

Acheni dhihaka jamani[emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Back
Top Bottom