Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Naona mmepata sera mpya kwa ajili ya uchaguzi wa 2020
Acha ukumaaa wewe ni msengeee na matakoo ya bibi yakoo..! Hivi ungekuwa na ndugu aliyefia humo afu upewe laki 5 unaweza kukodi gari ya bibi yako upeleke maiti musoma kwa pesa hiyo? Potelea mbali maji utambue pale ni kisiwani.
 
Ndugu wa Akwilina hawakulipwa labda angekuwa ni tiss ndugu wangelipwa
 
Itakuwa wamepokea maagizo kutok juu
Labda ruge angekua mzima angerusha live
 
Waswahili mna mazoea ya ajabu. Ni maombolezo ya kitaifa; bendera nusu mlingoti; maeneo ya starehe kupunguzu mambo ya starehe kama miziki minene, matamasha, n.k japo hii haijaeleweka vizuri kwa watanzania. Vinginevyo kajitafutie kipato.
 
GENTAMYCINE Mkuu upo sahihi hii ajali ni AJALI km ya Basi la abiria, Treni au Ndege
unaambiwa hicho kivuko kilbeba nguzo za Tanesco, magunia ya mahindi na nafaka nyingine kutoka Mnadani na abiria kibao,
walibobakiza km mita 50, au hata zingelikuwa 10. ajali ni ajali
kile kishindo tu cha kupigwa na mzigo au kufunikwa na gunia au nguzo mpaka uje uzinduke ni lazima unywe maji na huwezi ogelea asilani
RIP jamaa zetu wote waogeleaji na wasiojua MUNGU awafutie adhabu zenu kwani na sisi hatujui tutafuata kwa ajali gani, hata mbu au njiwa anaweza kukugonga
 
mtu mweusi ataendlea kudharauliwa tu popotee alipo
 
Usisahau pia kuvaa kondom hakumaanishi asilimia mia utakuwa safe,lakin bado ni njia moja wapo yakujikinga na VVU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…