Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Niongezee kama wao wanajua kule mahitaji ya usafiri wa kivuko ni makubwa kwa nini wasiweke vivuko hata viwili vikawa vinabadilishana ...maana ukiangalia hapo sababu kubwa ni ujazo unaosababishwa na wingi wa watu ,sasa kama ni hvyo wangenunua hata viwili maana obviously hicho kivuko kikienda hakirudi hyo ndo sababu ya msingi kabisaa ya kufanya watu wajazane..

Kwa hili serikali inapaswa kulaumiwa tu
 
Huwa wanatekeleza kwa maneno, wakijitahidi kuleta ujue n used kuzima mara kwa mara inakuwa n kawaida.

Swali fikirishi, kwnn kivuko kijaze zaid ya uwezo wake?

Je n mara ya 1 kufanya hvyo au n kila cku?

Kamati za ulinzi na usalama zinafanya kaz gan, na hao wasimamiz wa vivuko na mamlaka zilizowekwa kisheria hazioni!?

Mapato walikuwa wanapokeo bila kuuliza kwamba walikuwa hawajui haya kama yanatendeka?

Hili halikwepeki
 
Swala la kujaza mara kwa mara sio guarantee ya kutopata ajali.Hata huko barabarani magari huwa yanakimbia sana lkn siku dereva akikosa timing tu chali.
 
Watanzania tumieni akili jamani. Hii meli imezama kutokana na uzembe wa wahusika na ndiyo maana Mh. rais kasema wakamatwe wahusika wote na kuchukuliwa hatua. Meli inachukua only watu 100, iweje inaruhusiwa kuondoka na mizigo lukuki pamoja na watu zaidi ya mia 4? Hili ni kosa la serikali au wahusika wa bandari? Watu hawatumii akili na wamepewa mamlaka ya kusimamia usalama wa raia ila wanapuuza, CCM inahusika na nini hapa? Nimesoma comment zenu kwa kweli yanasikitisha mliyo andika, yaani mmekuwa na akili kama za Mange au Zitto?
 
Daaaa ndugu umeongea ukweli daaaa inauma sana Eee mwenyezi mungu marehem wote wapumzike kwa amani Amina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…