Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Zitaenda kununua meli mpya. Au kwa nini wasinunue helikopter ya kuzunguka visiwani?
 
Mm mwenyewe APA wameniacha. Njia panda kabisa nkifikiria nashindwa elewa abiria wanasababishaje imbalance ya kiasi icho kuna wengine wanasema dereva alipiga kona kali na mzigo kulemea upande mmoja that's more sensible
 
Kuna mtu yeye linapotekea janga lolote hapa nchini atafanya mbinu yeyote ili afike na kupata kiki mtu huyo tulimuona kwa wahanga wa tetemeko ghafla akaibuka kwa wale wanafunzi wa kule arusha waliopata ajali kote huko alikwenda kwa dhumuni moja la kupata kiki ya kisiasa ili aonekane anajali sana lakini mpaka leo hii hajaonekana huko mwanza kwenye eneo la ajali na kuwapa pole wahanga na wafiwa haijulikani au hatujui labda anaogopa maneno ya rais tusitumie hili tukio kisiasa!
 
..kuna upuuzi mkubwa zaidi ya taarifa kwamba kivuko kilikuwa kinaendeshwa na "dei-waka."?

..taarifa hizo zimeichafua nchi.

Cc tindo, Pascal Mayalla, Richard
Pia nikashifa kwa mtu kusema eti ferry ilikuwa inaongozwa na "dei waka" , huyu ndiye mtu gani? Neno hili haliko kwenye lugha yeyote hapa Duniani. Kuweni makini kabla ya kupost chochote. Ni aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…