Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Kwa mara nyingine CCM imenunua msiba ambalo ulitarajiwa ufanyike kiserikali bila jezi za kijani. Kwenye eneo la maziko nguo za kijani zimeanza kutawala na ni za haohao wanaoshauri tuache tofauti za kiitikadi za kisiasa! Hali hii ndiyo inayotufarakanisha watanzania na lawama wanapewa wanaotengwa!
Weka kapicha au kaclip mkuu!
 
Raisi anakula sambusa na polisi wa usalama barabarani kuwapongeza kwa kuwabambika makosa madereva!!

Nyie "wakara" endeleeni kuzika wafu wenu sisi tunajenga stediumu kwanza!!
Ulitaka Rais anywe konyagi kama mwenyekiti wenu?
 
Na kila anayesimama kutoa salamu anaanza kwa kumshukuru JPM, badala ya PM Majaliwa aliyeko hapo.
Yaani nilidhani yeye ndiye KAFANIKISHA!!! Sasa mbona wanampongeza? Lazima kuna mchango wake nndiyo maana wenzake wanampongeza!
 
Kwani sasa hivi kushinda uchaguzi hapa Tz kuna hitaji usomi? au ni kuwa na madaraka ya kuagiza tume ya uchaguzi imtangaze umtakaye kwani unamlipa mshahara na kumpa gari, kisha jeshi la polisi lisimamie hiyo dhuluma? Bahati nzuri wananchi wako digital hawapigi kura tena, huku viongozi wamebaki analogue wakitumia nguvu na kupika matokeo ya uchaguzi.
Safi sana uko sahihi hata mi baada ya kugundua kinachompa. Mtu ushindi sio kura tunazoenda kupiga bali hera na mamlaka, niliamua stapiga kura tena maana napoteza mda wangu bure hata hizo hera zinazoandaa chaguzu wanazihatibu bure wakat wanajua sio chaguzi zinazowapa kushinda ni heri wasiwe wanaharibu hera za maendeleo wakat mshindi anajulikana hata kabla ya kupiga kura.
 
Nauliza tu, hivi tukio la leo huko Ukara inakuwaje kutekwa na ccm peke yao wengi wakiwa wamevaa magwanda ya kijani bila kusikia hotuba kutoka kwa kiongozi ye yote wa Upinzani?
 
18th century Ulaya ilikumbwa na mageuzi makubwa. Ni baada ya kuibuka kikazi cha INTELLECTUALS kilichoanza kufanya mambo kwa kufikiri badala ya MAZOEA /MIHEMUKO, kiliitwa AGE OF REASONS. Tawala haramu zilianguka kipindi hicho, hivyo Tanzania kuna haja ya kutengeneza kikazi cha AGE OF REASONS kuleta mabadilko Sina maana kwamba kwasasa kuna Tawala haramu hapana ila kuna haja ya kutengeneza kikazi cha mfumo huo ili kila kitu wawe wana - reason badala ya kusema hewala.
 
Kama nchi ilitakiwa ijifunze kutoka ajali ya Mv bukoba. Amaizing ni kwamba toka 1996 bado tu.. hatuna team ambayo iko standby kwa maafa kama haya. Simlaumu RC mongela maana amefanya upande wake kama yeye..
Ila serikali ilitakiwa iwe na vifaa, technologia ya kutosha , na kikos maalumu toka 1996 .
We waache watapa tape tu lakin wajue kabisa watz wa leo sio wa miaka ya 60 tunajua kila wqkifanyacho hata kabla hawajajitetea wao waseme tu wamwkosea kama Viongoz na wataaram na sio kijikosha walifikiri tutawaelewa kwa sababu za kijinga zisizo na mashiko??? Wajipange sana.
 
Ungeweka na picha mkuu,wengine hatuna visimbusi vya Startimes .....Nina hakika TBC watakuwa live
 
Back
Top Bottom