Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Shughuri yoyote kwako ni siasa! OK. Mbunge aliyekamatwa kwa kutoa msaada bati kwenye jimbo lisilo lake!Kumbe alikuwa anafanya siasa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shughuri yoyote kwako ni siasa! OK. Mbunge aliyekamatwa kwa kutoa msaada bati kwenye jimbo lisilo lake!Kumbe alikuwa anafanya siasa!!
Alikuwepo au hakuwepo suala ni lile lile.Alikuwa Msibani?
Msajili wa vyama nae akajifanya amelala.Mkuu wa nchi anakataza siasa lakini yeye ndio kinara wa siasa. Asichotaka na kuweza ni siasa za ushindani. Ila ukifanya siasa kwa mgongo wa ccm hana shida, kwake na wanaccm wenzake siasa zinaanzia pindi cdm na cuf wakijiingiza kwenye jambo. Sasa kama yeye alipokea makada waliohama upinzani na kuhamia ccm kwenye hafla ya kijeshi unategemea nini?
Duh haya ni majanga na aaibu kwa taifa la tz yaani serkal yenye misiraha na vikosi vya maaskar wote hao hatuna wataalam jmn wakat kila mwaka wa uchaguzi misiraha mipya inanunuliwa, ni rahisi kujiandaa na chaguzi na sio majanga tz buana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Soma vizuri utanielewa.
Divers walikwepa jukumu lao au kwa uzembe, au kwa kukosa vifaa au kwa kukosa maarifa. Tuna wataalam wasio na utaalam. Haikutosha kwa RC kuwakubalia tu bali ilibidi wapatikane watu wenye uwezo.
Fuatilia taarifa za uokoaji. Karibu wote 40 walioopolewa hai waliokolewa na wavuvi na siyo wataalam wa serikali.
Ccm wanajua walichokifanya ndio maana wamehodhi tukio hilo, ccm ingekuwa iko kwa manufaa ya walalahoi leo hii tusingekuwa tunazungumza tukio la kuzama kwa kivuko hichoNauliza tu, hivi tukio la leo huko Ukara inakuwaje kutekwa na ccm peke yao wengi wakiwa wamevaa magwanda ya kijani bila kusikia hotuba kutoka kwa kiongozi ye yote wa Upinzani?
Mkuu usiache kutolea maelezo juu ya uzembe unatokea na nini kifanyike,maana kama taifa tunahitaji kujiokoa wenyewe wananchi kwa kuchukua taadhali....risk is uncertainMajibu hovyo kabisa. Mimi ni auditor wa usalama na mifumo ya usalama mahali pa kazi kwa ngazi ya kimataifa.
Ajali hii imetuumiza sote lakini kama Taifa, kuna uzembe wa hali ya juu.
Kwenye usalama huwa tunasema, 'All accidents are avoidable except natural disasters and terrorism.
Baada ya maombolezo, nitafafanua uzembe uliofanyika na uwezekano wa ajali zinazosubiriwa.
Majibu hovyo kabisa. Mimi ni auditor wa usalama na mifumo ya usalama mahali pa kazi kwa ngazi ya kimataifa.
Ajali hii imetuumiza sote lakini kama Taifa, kuna uzembe wa hali ya juu.
Kwenye usalama huwa tunasema, 'All accidents are avoidable except natural disasters and terrorism.
Baada ya maombolezo, nitafafanua uzembe uliofanyika na uwezekano wa ajali zinazosubiriwa.
Jibu lako ni sahihi kabisa na nimependa ulivyoacha wazi nafasi ya mjadala kuhusu mkanganyiko uliopo kwenye hizi taasisi za serikali katika kufanya kazi zao. Hili pia naliona kwenye baadhi ya taasisi kama TBS na TFDA nakadhalika. Serikali inabidi ipitie mfumo wake kabla majanga mengine hayajatufikia.Sumatra yeye ni mkaguzi na mdhibiti wa shughuli vyombo vya majini wa kutoa leseni za meli au kivuko.Lakini msimamizi wa shughuli za kila siku za uangalizi wa shughuli za meli na kadhalika si Sumatra bali State Port Control ambae ni Mamlaka ya Bandari TPA labda kama kuna mabadiriko.
Kila Bandari iliochini ya TPA inatakiwa kuwa na Afisa wa Bandari wa kushughulikia maswala ya usalama wa vyombo,mizigo na abiria.
Sumatra atawajibika tu kama alitoa leseni ya chombo kinyume cha utaratibu.
Wengine wanatakiwa kupewa kibano
1.TAMEESA ambe ni operator wa kivuko kwa niaba ya serikali.
2.Mamlaka ya Bandari TPA
3.Police Marine
4.Wizara ya Uchukuzi.
Lakini mara nyingi kuna mkanganyiko wa shughuli za Mamlaka ya Bandari na Sumatra ipo haja ya kurekebisha utata.
Je kazi za Search and Rescue ipo JWTZ au Police Marine au TPA?
ITV, Startv, Clouds, EATV wote wako liveUngeweka na picha mkuu,wengine hatuna visimbusi vya Startimes .....Nina hakika TBC watakuwa live
Yuko sawa mno