Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Weka kapicha au kaclip mkuu!Kwa mara nyingine CCM imenunua msiba ambalo ulitarajiwa ufanyike kiserikali bila jezi za kijani. Kwenye eneo la maziko nguo za kijani zimeanza kutawala na ni za haohao wanaoshauri tuache tofauti za kiitikadi za kisiasa! Hali hii ndiyo inayotufarakanisha watanzania na lawama wanapewa wanaotengwa!
Angalia TBC iko hewani hivi sasa, CCM wanapongezana na kupeana pole wamesahau wito wao wa umoja.Picha tafadhali
Ulitaka Rais anywe konyagi kama mwenyekiti wenu?Raisi anakula sambusa na polisi wa usalama barabarani kuwapongeza kwa kuwabambika makosa madereva!!
Nyie "wakara" endeleeni kuzika wafu wenu sisi tunajenga stediumu kwanza!!
Sherehe za muungano April 26, '18MBONA WANAONEKANA KM WANATABASAMU NA INGALI WAPO MCBANI.
Yaani nilidhani yeye ndiye KAFANIKISHA!!! Sasa mbona wanampongeza? Lazima kuna mchango wake nndiyo maana wenzake wanampongeza!Na kila anayesimama kutoa salamu anaanza kwa kumshukuru JPM, badala ya PM Majaliwa aliyeko hapo.
Safi sana uko sahihi hata mi baada ya kugundua kinachompa. Mtu ushindi sio kura tunazoenda kupiga bali hera na mamlaka, niliamua stapiga kura tena maana napoteza mda wangu bure hata hizo hera zinazoandaa chaguzu wanazihatibu bure wakat wanajua sio chaguzi zinazowapa kushinda ni heri wasiwe wanaharibu hera za maendeleo wakat mshindi anajulikana hata kabla ya kupiga kura.Kwani sasa hivi kushinda uchaguzi hapa Tz kuna hitaji usomi? au ni kuwa na madaraka ya kuagiza tume ya uchaguzi imtangaze umtakaye kwani unamlipa mshahara na kumpa gari, kisha jeshi la polisi lisimamie hiyo dhuluma? Bahati nzuri wananchi wako digital hawapigi kura tena, huku viongozi wamebaki analogue wakitumia nguvu na kupika matokeo ya uchaguzi.
Sema ww buana maana sisu tumisema tunaonekana wapinzani.UPUUZI MTUPU ,MARA GIZA MARA HALI MBAYA CHINI YA MAJI , TANGU LINI CHINI YA MAJI KUKAWA NA HALI NZURI?
Unataka kuniambia ,order iliotoka juu kwa nafasi yake anaichukua kama ilivyo na kutekeleza bila hata kutoa sababu za kuendelea na zoezi....siamini kama ni order kutoka juuni maagizo kutoka juu
We waache watapa tape tu lakin wajue kabisa watz wa leo sio wa miaka ya 60 tunajua kila wqkifanyacho hata kabla hawajajitetea wao waseme tu wamwkosea kama Viongoz na wataaram na sio kijikosha walifikiri tutawaelewa kwa sababu za kijinga zisizo na mashiko??? Wajipange sana.Kama nchi ilitakiwa ijifunze kutoka ajali ya Mv bukoba. Amaizing ni kwamba toka 1996 bado tu.. hatuna team ambayo iko standby kwa maafa kama haya. Simlaumu RC mongela maana amefanya upande wake kama yeye..
Ila serikali ilitakiwa iwe na vifaa, technologia ya kutosha , na kikos maalumu toka 1996 .
Mwenyekiti wao ameshatuambia sasa hatuna shida tenaAngalia TBC iko hewani hivi sasa, CCM wanapongezana na kupeana pole wamesahau wito wao wa umoja.
Sana yaani nabado maana hawataki kubadilika na kujifunza kutoakana na makosa au matukioKwa style hii mtazidi na kuzidi kuomboleza
Ova
Alikuwa Msibani?Mbona Mbowe alivaa gwanda alipoongea na waandishi wa habari, hukuona hilo?