Mwenye macho haambiwi tazama. Japo ukweli daima unauma na kwa kuwa sasa hivi tuna aina fulani ya siasa na mwelekeo mpya wa maigizo katika maisha. Twendelee tu kusema siasa isichukue nafasi ilihali matamko ya kisiasa yakichukua na mwelekeo wa kisiasa yakichukua nafasi ya kipekee na kutamalaki kwa sana
Mkuu RC yuko very right and your very wrong unaweza kuwa auditor kwa usalama wa kazini lakini sio kwenye marine sector ushauri aliyopewa RC na wataalamu ndio uko sahihi ila nakubaliana na wewe kuwa kama taifa kuna uzembe mkubwa umefanyika toka ajali ya Mv Bukoba na uzumbe huo unaanzia bungeni.Majibu hovyo kabisa. Mimi ni auditor wa usalama na mifumo ya usalama mahali pa kazi kwa ngazi ya kimataifa.
Ajali hii imetuumiza sote lakini kama Taifa, kuna uzembe wa hali ya juu.
Kwenye usalama huwa tunasema, 'All accidents are avoidable except natural disasters and terrorism.
Baada ya maombolezo, nitafafanua uzembe uliofanyika na uwezekano wa ajali zinazosubiriwa.
Mkuu ushauri mzuri sana. Lakini umepima viwango vya elimu tulivyopewa? Shida iko hapo ndugu.18th century Ulaya ilikumbwa na mageuzi makubwa. Ni baada ya kuibuka kikazi cha INTELLECTUALS kilichoanza kufanya mambo kwa kufikiri badala ya MAZOEA/MIHEMUKO, kiliitwa AGE OF REASONS. Tawala haramu zilianguka kipindi hicho, hivyo Tanzania kuna haja ya kutengeneza kikazi cha AGE OF REASONS kuleta mabadilko Sina maana kwamba kwasasa kuna Tawala haramu hapana ila kuna haja kutengeneza kizazi cha aina hiyo
Mbowe na mbatia hawajui chochote kuhusu rescue at sea ni ushauri wangu mkasikiliza wataalamu na sio wanasiasaRC Mongela kathibitisha!?Mimi awali nilidhani uzushi wa kina Mboe na Mbatia kusitisha zoezi Siku ya kwanza kwa sababu ya Giza!?
Uzu juu chini ni sehenu ya suluhu
MAJANGA: Serikali ifanye mchakato kukasimu uratibu majanga kwa wizara ya ulinzi - JamiiForums
Wamevaa body tight zao huko boss wao yuko dar hana habari naoKwa mara nyingine CCM imenunua msiba ambalo ulitarajiwa ufanyike kiserikali bila jezi za kijani. Kwenye eneo la maziko nguo za kijani zimeanza kutawala na ni za haohao wanaoshauri tuache tofauti za kiitikadi za kisiasa! Hali hii ndiyo inayotufarakanisha watanzania na lawama wanapewa wanaotengwa!
Kichwa cha panzi!bado sijaelewa! Safina ya Nuhu na Sumatra na hicho ulichoandika
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema baadhi ya pesa zitakazopatikana katika michango ya Watanzania zitatumika kujenga uzio na mnara katika makaburi ya watu waliokufa katika ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere.
Fedha hizo zinachangwa kupitia akaunti maalumu iliyofunguliwa katika benki ya NMB pamoja na namba maalumu ya Tigo kupitia simu ya mkononi.
Soma zaidi: RC Mongella awapongeza wananchi, wavuvi wa Ukara
Akizungumza katika shughuli ya mazishi leo Septemba 23,2018 visiwani Ukawa wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza amesema baadhi ya miili ya watu waliokufa katika ajali hiyo fedha hizo hazitatumika katika shughuli yoyote nje ya tukio hilo.
"Fedha hizi ni za wafiwa hivyo hatuna budi kuzitumia kulingana na mwenendo wa tukio," amesema Majaliwa.
Amesema ili kuhakikisha wananchi wa eneo hilo hawapati tabu Serikali iko katika mkakati wa kuleta kivuko cha muda.
"Tutafanya ukarabati wa kutosha katika baadhi ya vivuko ikiwemo Mv Misungwi, Sengerema ili kuimarisha usafiri wa majini katika maeneo yote," amesema Kassim.
Soma zaidi: Polepole: CCM kuisimamia Serikali ili kuimarisha usafiri Ziwa Victoria
Majaliwa amewaomba Watanzania kuwatia moyo wafiwa badala ya kuwaambia maneno yanayoweza kuwasababishia maumivu.
"Watu hawa wamepoteza ndugu zao wa muhimu hivyo ni vyema kuwapatia maneno mazuri yanayotia moyo badala ya kuwajaza maneno ya upotoshaji na tuiache Serikali ifanye jitihada zake," amesema Majaliwa.
Amesema muda wowote kuanzia sasa tume ya uchunguzi itaundwa ili kubaini chanzo cha ajali hiyo na Serikali ikiwa tayari iko katika mazungumzo juu ya matumizi ya Meli ya Mv Nyahunge.
Kivuko cha Mv Nyerere mpaka sasa takwimu zinaonyesha kilikuwa na watu 265 ambao kati yake 224 wamepatikana wakiwa tayari wamepoteza maisha huku 41 wakipatikana wazima.