Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kwa hili machadema yamejitia aibu kubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapata matusi tu. Subiri uone.Ufafanuzi tafadhali.
Lakini ni bora wametuambia kabisa ili tujue na hata tykichanga tunajua kabisa tunachangia Rambi rambi, Ukuta na Mnara,Which Is Which?
Why?
Rambirambi wakajengee mnara?
Vi woooonder
Kwani ukerewe na chato mbali wapi?
Wanachama au wapiga kura wa CDM ndio wana msiba huu, wana Ukerewe. Wanachohitaji ni faraja na sio mchango wa pesa wa CDM. Kulikuwa kuna uzito gani hata viongozi wa kanda tu kutoka Mwanza kwenda kushirika na kuwatia faraja wana Ukerewe? Kina Mbowe wapo Dsm wanatoa maneno ya kejeli tu na uzushi, wanapata muda wa kuita press ila sio kutoa faraja kwa wana Ukerewe? Hivi huu msiba ungetokea Kilimanjaro au Arusha ingekuwa hivi ?
Kwa watu wenye ndugu
Mkija sasa hivi tunawafukuza na marungu kabisa na akili zetu za kinyama!
Kutokea Ufipa au njia panda ya himo ?
Utapata matusi tu. Subiri uone.
Hakuna anayehitaji kushiriki hizi siasa za kishenzi na wananchi wameonyesha dhahiri shahiri kwamba hawaendekezi siasa za kipuuzi ndio maana hawapigi kura. Bakini mkipika matokeo kwa siasa za kipuuzi.
Hakuna anayehitaji kushiriki hizi siasa za kishenzi na wananchi wameonyesha dhahiri shahiri kwamba hawaendekezi siasa za kipuuzi ndio maana hawapigi kura. Bakini mkipika matokeo kwa siasa za kipuuzi.
aiseee !!!Hii ndio kazi pekee inafanywa kwa welediView attachment 875631
nilijua tu hizi hela haziwafikii wafiwa wala waombelezajiLakini ni bora wametuambia kabisa ili tujue na hata tykichanga tunajua kabisa tunachangia Rambi rambi, Ukuta na Mnara,
Kuliko wangekuja kutushtukiza baada ya Kuchanga
Mbona mbunge alikuwepo na akapewa na nafasi ya kuongea, ni kiongozi gani alieenda Ukerewe akazuiwa kushiriki maombolezo.?Hawa nao mara nyingine hawajiongezi,
Kazi kushiriki kwenye chaguzi ambazo wanajua hawashindi.
Watakuambia wasingetambulishwa lakini Sisi raia tunataka kuona utu wenu
Otherwise watuambie walikuwepo lakini hawakupiga picha
Au waseme walikuwepo lakini hawakuonekana..Hawa nao mara nyingine hawajiongezi,
Kazi kushiriki kwenye chaguzi ambazo wanajua hawashindi.
Watakuambia wasingetambulishwa lakini Sisi raia tunataka kuona utu wenu
Otherwise watuambie walikuwepo lakini hawakupiga picha
marehemu wengi mle tumewaona walikuwa vimbau mbau tuMkuu yasongeweza kuwa kama yale tuliyoyazoea.Mara nyingi majeneza ya ajali ya majini huwa hivyo kwa sababu ya uvimbe na deformation ya marehemu
Chadema ni chama mbadala kwa maana hiyo kinapaswa kuwa mfano kwa wananchi ili waone tofauti na chama tawala.Mzee wenu wa ibara ya 37(2) ataenda lini?