Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

tindo Acha kutetea huu ujinga, huwezi kukataa kwenda kuwafariji ndugu au jamaa zako sababu ya kuogopa kudhalilishwa. Maadui wanapatana kwenye misiba, ndugu misiba ndio inawakutanisha. Je umeona Mbunge wa CDM wa Ukerewe akidhalilishwa?

CDM wapo radhi kushiriki mikutano ya Magufuli ya majimboni kwao ila sio msiba, kweli ?

Haya maneno unayosema yangekuwa na maana iwapo Magufuli naye angekuwepo. Huyo mbunge hajadhalilishwa kutokana na kile alichozungumza bungeni kuhusu hicho kivuko. Kama misiba ingekuwa inapatanisha tusingeona huu udhalimu unaondelea hapa nchini. Hakuna haja ya kuonyesha mshikamano wa kinafiki huku unafanyiwa udhalilishaji. Hata hiyo mikutano ya Magufuli hakuna haja ya viongozi wa cdm kushiriki tena kwani yote hutumika kuwadhalilisha na ushahidi upo. Tena sasa ni vyema kutangaza kabisa hakuna mwanacdm kumzika mwanaccm wala mwanaccm kumzika cdm. Bila kuchukua hatua stahiki huu mwenendo uliopandikizwa na kiongozi wa nchi utaendelea kufumbiwa macho.
 
Narudia tena, huo ni msiba na unamgusa kila mtu. Lakini kuna namna haya matukio yameingizwa siasa za kishenzi chini ya utawala huu wa awamu ya tano na mfano nimekupa wa matukio ya tetemeko Bukoba na ajali ya wanafunzi huko Arusha. Mtu yoyote mwenye akili timamu hawezi kwenda kwenye eneo la msiba eti kutaka kuwaonyesha wafiwa kwamba yuko nao, wakati hafla kama hutumika kukudhalilisha. Zikeni wanaccm kwani mwenyekiti wenu ndio anaamua haya matukio yaendeshweje kwa mtaji wa kisiasa. viongozi wa cdm wataenda kwa muda wao, ngoja viongizi wa ccm wawahi kujitafutia kura.
Sasa kwa nini wana Ukerewe wanakejeliwa na wana CDM, hata huu uzi kuna kila aina ya kejeli kutoka kwa nyumbxxx wa CDM kwenda kwa wana Ukerewe. Wengine wamefikia kusema acha wafu wazikane, wengine wana kejeli waliowaua ndio wawazike wengine hata kuona CDM haina jukumu la kufariji wana Ukerewe. Hizi dharau na kejeli zitawarudia tu, tutakumbushana hapa 2020.
 
Nasikitik kisema ni fedheaha na aibu kwa miili ya matehemu walichukuliwa na ndugu hata dawa ya kuchoma maiti zisiharibike zinagharamiwa na ndugu wa marwhemu.

Kusafirisha miili ni ndugu wa marehemu kama huna uwezo unatakiwa kuzika kwenye kaburi la pamoja.

Ule ubani kwa wafiwa nani anatoa zisaidie familia za "wanyonge?"

Nimeandika haya kwa sababu nimepokea sms nikiombwa mchango kusaidia dawa ya kumchoma marehemu na kupata jeneza maana majeneza ya serikali yalishaisha na sisemi kwa ubaya ila hawa marehemu yale majeneza ni aibu kama tunasafirisha nyanya kumbe mwili wa mtanzania
Ndugu yangu ukifa umekufa tu,hata uzikwe kwa jeneza LA dhahabu,mtu na akili zako unalilia jeneza? Pole sana,nani kakwambia kaburini kuna maonesho?
 
Nasikitik kisema ni fedheaha na aibu kwa miili ya matehemu walichukuliwa na ndugu hata dawa ya kuchoma maiti zisiharibike zinagharamiwa na ndugu wa marwhemu.

Kusafirisha miili ni ndugu wa marehemu kama huna uwezo unatakiwa kuzika kwenye kaburi la pamoja.

Ule ubani kwa wafiwa nani anatoa zisaidie familia za "wanyonge?"

Nimeandika haya kwa sababu nimepokea sms nikiombwa mchango kusaidia dawa ya kumchoma marehemu na kupata jeneza maana majeneza ya serikali yalishaisha na sisemi kwa ubaya ila hawa marehemu yale majeneza ni aibu kama tunasafirisha nyanya kumbe mwili wa mtanzania
Ulicho andika aibu nimeona mimi
 
cccccccm acheni utoto, baba yenu leo tumeshuhudia nakula bata na trafika, yaani yeye anafiiria mapato tu. ndo maana watu wenye akili kwenye ile account hatutoi kitu maana tunajua kitaelekezwa kununu wabunge
 
Mnatoa tu maneno ya kejeli, hivi angekuwa ni ndugu yako amefariki ungeropoka hivi? Kwa tabia hii , kejeli hizi mnategemea kweli Ukerewe itarudi CDM 2020 ? Au mnasubiri mje kusingizia mmeibiwa?
Free and fair election itarudi!
 
Acheni kuelekeza uharo wenu pembeni ya choo. Kwani wewe unaona ni jimbo gani litarudi chadema 2020? Sasa hivi mmeambiwa mfunge mabakuli yenu msihusishe ajali na kiki za kisiasa nuie mnaendelea.....wajinga wakubwa nyie..

Kwani chadema wakija au wasipokuja kwenye huo msiba ndio nini? Get a life....
Kama mkiheshimu uhuru wa mawazo na wananchi kumchagua wanayemtaka nakuhakikishia wabunge wa CCM watakaorudi bingeni ni asilimia tano.Hivi huu ujasiri wa kufikiri mnakubalika mnautoa wapi?Sisi tulio mtaani tunajua kwa hakika kile kinachoendelea katika livelihood yetu na tumeconfirm kuwa CCM ya awamu hii haiko kutuongoza bali kututawala na ndiyo maana haiko kushushughulikia maslahi ya wananchi.Iko kwa ajili ya ubabe na udictator.Umewahi kusoma French revolution na Philipine revolution ambako ndiko asili ya neno People's power?Au mnafikiri People's powe ni neno la Chadema?Naomba tuwe wavumilivu.Martin Luther King Jr aliwahi kunukuliwa akisema kuwa "There comes a time when time itself is ready for a change"Muda utaamua
 
Wahuni wamechungulia zile mait hazina ndugu, wakazichukua wanalamba laki tano safi, wanaenda zifukia kwa gharama ya laki2, wakisepa nazo tano, wana zaidi ya milion
 
Binafsi nimekuelewa. Wengine hawatakuelewa. Au nimekuchanganya bro? Tupo pamoja.
Kama mkiheshimu uhuru wa mawazo na wananchi kumchagua wanayemtaka nakuhakikishia wabunge wa CCM watakaorudi bingeni ni asilimia tano.Hivi huu ujasiri wa kufikiri mnakubalika mnautoa wapi?Sisi tulio mtaani tunajua kwa hakika kile kinachoendelea katika livelihood yetu na tumeconfirm kuwa CCM ya awamu hii haiko kutuongoza bali kututawala na ndiyo maana haiko kushushughulikia maslahi ya wananchi.Iko kwa ajili ya ubabe na udictator.Umewahi kusoma French revolution na Philipine revolution ambako ndiko asili ya neno People's power?Au mnafikiri People's powe ni neno la Chadema?Naomba tuwe wavumilivu.Martin Luther King Jr aliwahi kunukuliwa akisema kuwa "There comes a time when time itself is ready for a change"Muda utaamua
 
Kuzika siyo sifa njema, sifa njema ni kusikiliza maonyo ambayo kama serekali ya CCM ingemsikiliza mwakirishi wawananchi kusingekuwepo na mazishi ya watanzania zaidi ya 200 waliopoteza maisha kwa uzembe wa serekali ya CCM.
 
Nimejiuliza sana ili swali hasa baada ya kusoma katika gazeti la Chadema liitwalo Tanzania Daima kwamba uongozi unakaribia kumsajili maalim Seif katika chama chao. Ndiposa najiuliza mgombea urais mtarajiwa ndio kipaumbele cha Chadema kiasi cha kumtelekeza mbunge wa Ukerewe my Joseph Mkundi?!!!
Mkuu naomba unisaidie kuelewa? Watu wa ukerewe ni watanzania au ni wanachadema?
 
Ingekuwa kura ndio ungeona kila aina ya mabomu na magari ya deraya na mawashwasha.
jogi, UWE MKWELI KWA NAFSI YAKO; AJALI ILITOKEA SAA 8; KAMATI YA ULINZI NA USALAMA ILIKUWA ENEO LA TUKIO SAA 11 KUTOKEA MWANZA ; NA MWANZA NA UKARA SIYO SAFARI YA MAKAMASI KUTOKA PUANI KWAKO KWENDA MDOMONI MWAKO
 
Back
Top Bottom