Nimejiuliza sana ili swali hasa baada ya kusoma katika gazeti la Chadema liitwalo Tanzania Daima kwamba uongozi unakaribia kumsajili maalim Seif katika chama chao. Ndiposa najiuliza mgombea urais mtarajiwa ndio kipaumbele cha Chadema kiasi cha kumtelekeza mbunge wa Ukerewe my Joseph Mkundi?!!!
So unataka kutuambia kazi ya rambirambi ndio kujenga mnara?Ulitaka iweje, kwani nani aliyekuambia mfuko wa maafa kazi yake ni kujenga mnara wa kumbukumbu! Tanzania kwani tuna wapinzani…tuna wapinga yote…aibu yao! Hao wahanga watapewa mkono wa pole!
Pole pole sijui hua ana akili ganiHayo manguo ya kijani yanatafuta nini msibani
Kuokoa watu mpakaa Kamati iundwe,!??? mama...eee zaoo kabisa wapuuzii walee...yanii yanatia hasiraa balaaajogi, UWE MKWELI KWA NAFSI YAKO; AJALI ILITOKEA SAA 8; KAMATI YA ULINZI NA USALAMA ILIKUWA ENEO LA TUKIO SAA 11 KUTOKEA MWANZA ; NA MWANZA NA UKARA SIYO SAFARI YA MAKAMASI KUTOKA PUANI KWAKO KWENDA MDOMONI MWAKO
Hivi povu lote hili ni la nini hasa wapendwa?So unataka kutuambia kazi ya rambirambi ndio kujenga mnara?
Hata saccos hueshimu wanachama na wadau wao!Mk
Mkuu si wana kesi inaendelea kuunguruma?
Mlitarajia kupata tender ya kutengeneza majeneza?Mngekua mnawaheshimu mngewajali kwa kivuko bora
Ni jambo lakusikitisha kutumia tiktaka za kisiasa katika majanga badala ya kujenga unabomoaChadema wanatafuta namna ya kumchonganisha mbunge na serikali, kitendo cha kushiriki shughuli nzima ya leo huenda uongozi Taifa haujaridhika.
Wajenge kwa budget ya kununulia madiwaniMnara wa kumbukumbu ni sehemu ya heshima kwa marehemu na faraja kwa ndugu
Mkuu Huyo mporomosha matusi tuachie mimi Na CCM wenzangu wenye akili zilizopinda washabiki wa Magufuli tunamuweza endelee Na shughuli zako Nina kamusi ya matusi hapa niko nayo ninaweza kumpromoshea matusi ya nguoni Ambayo lazima akajinyonge.Matusi tuachie wenyewe . Hapa kifuani Nina matusi yanachemka ya kumtukana huyo kifuani .Nakuheshimu siandiki naogopa kupigiwa ban Na moderatorsBwashee umepanic!!.....Hanna mnalolijua zaidi ya matusi!
Angesema tofauti na alivyosema angekiona cha mtema kuni, na kukamatwa then kesho angepandishwa mahakamaniViongozi wa upinzani wamekasilishwa sana na tamko la mbunge wa Ukerewe (CDM) kuwa, mapungufu aliyowasilisha Bungeni, serikali iliyafanyia kazi! Viongozi wake wamechukulia kuwa amewazodoa kwa kiki waliyotarajia kuipata kupitia msiba huu.
Umempa jibu muafaka kabisa huyo Jingalao..........Wajenge kwa budget ya kununulia madiwani
Kwani rambirambi ni kiasi gani hasa mbona naona mapovu..ndio maana baadhi ya misiba utakuta jamaa furani haendi mbali na sahani na daftari…na huku akiwa na sura ya mbuzi…na hakawii kurusha ngumi ukitaka kumfuatilia…jamani rambirambi ni yatokanayo tu huhitaji kuitegemea saaana!Laki tano ni pesa ndogo sana linapotokea suala la msiba. Pamoja na hayo, sidhani kuwa serikali imeshindwa kuwajengea mnara na kaukuta mpaka iamue kupora michango ya rambirambi.
Kwa kuwa dalili za awali zinaonyesha kuwa kuna uzembe wa watendaji wa serikali, inabidi hao watu waandae mashtaka rasmi ya madai dhidi ya hasara na maafa waliyopata walipwe "PROPER INSURANCE BENEFITS" kama binadamu wengine wanavyolipwa bima wanapopata madhara mbalimbali. Hii ndiyo haki wanayostahili.
Tunashuhudia watu wanaogongwa na vyombo vingine kama magari wanalipwa mamilioni na bima zinazosimamia vyombo husika. Inakuwaje kwenye hiki kivuko? ARE WE SERIOUS?
Haya mambo ya laki tano ambayo hata kusafirisha maiti tu ni shida, achilia mbali gharama nyinginezo kwa kweli hayapaswi kukubalika na watu wenye akili timamu. Ikumbukwe kuwa kuna madhara na naumivu mengi yameachwa nyuma ya huu msiba ambayo kama jamii lazima tuelimishane na tuelewe. Mfano kuna mateso yanaachwa kwa wategemezi wa wale waliofia kwenye kivuko. Wapo watoto wameachwa yatima (Mfano waliopoteza wazazi wote), wapo watoto wachanga waliokuwa wanasubiri mama zao warudi kutoka sokoni wawanyonyeshe, wapo waliokuwa wanasubiri mama au baba warudi ndio waweze kupata mlo wa siku hiyo. Kwa kweli wapo wahanga wengi sana ambao serikali hii imeamua kuwafumbia macho na kujifanya haioni.
Kwa kweli kama haya mambo yataachwa hivi hivi kama yanavyosemwa na hawa waliojipa majina ya malaika na watua mizigo ya wenye dhambi, na watetezi wa wanyonge, basi watanzania tutakubaliane kuwa sisi ni kizazi cha vichaa na washenzi. Tufumbe macho na tubariki maovu haya yanayotendwa na wanaojiita watetezi wa wanyonge. Tuendelee kuwaabudu, maisha yasonge.
USHAURI WANGU
Wanasheria na watetezi wa haki za binadamu wajitokeze wawafanyie uhakiki kila familia iliyoathirika kwa namna moja ama nyingine wakadai fidia (INSURANCE) stahiki mahakamani.
Pale kuna watu wamepoteza wazazi lofa wewe unatetea kila kitu halafu hao unaowatetea hata unufaiki kwa lolote unaendekeza ujinga tuu kama user name yakoMlitaka rambi rambi ikanunulie pombe?
Umewaza VyemaLaki tano ni pesa ndogo sana linapotokea suala la msiba. Pamoja na hayo, sidhani kuwa serikali imeshindwa kuwajengea mnara na kaukuta mpaka iamue kupora michango ya rambirambi.
Kwa kuwa dalili za awali zinaonyesha kuwa kuna uzembe wa watendaji wa serikali, inabidi hao watu waandae mashtaka rasmi ya madai dhidi ya hasara na maafa waliyopata walipwe "PROPER INSURANCE BENEFITS" kama binadamu wengine wanavyolipwa bima wanapopata madhara mbalimbali. Hii ndiyo haki wanayostahili.
Tunashuhudia watu wanaogongwa na vyombo vingine kama magari wanalipwa mamilioni na bima zinazosimamia vyombo husika. Inakuwaje kwenye hiki kivuko? ARE WE SERIOUS?
Haya mambo ya laki tano ambayo hata kusafirisha maiti tu ni shida, achilia mbali gharama nyinginezo kwa kweli hayapaswi kukubalika na watu wenye akili timamu. Ikumbukwe kuwa kuna madhara na naumivu mengi yameachwa nyuma ya huu msiba ambayo kama jamii lazima tuelimishane na tuelewe. Mfano kuna mateso yanaachwa kwa wategemezi wa wale waliofia kwenye kivuko. Wapo watoto wameachwa yatima (Mfano waliopoteza wazazi wote), wapo watoto wachanga waliokuwa wanasubiri mama zao warudi kutoka sokoni wawanyonyeshe, wapo waliokuwa wanasubiri mama au baba warudi ndio waweze kupata mlo wa siku hiyo. Kwa kweli wapo wahanga wengi sana ambao serikali hii imeamua kuwafumbia macho na kujifanya haioni.
Kwa kweli kama haya mambo yataachwa hivi hivi kama yanavyosemwa na hawa waliojipa majina ya malaika na watua mizigo ya wenye dhambi, na watetezi wa wanyonge, basi watanzania tutakubaliane kuwa sisi ni kizazi cha vichaa na washenzi. Tufumbe macho na tubariki maovu haya yanayotendwa na wanaojiita watetezi wa wanyonge. Tuendelee kuwaabudu, maisha yasonge.
USHAURI WANGU
Wanasheria na watetezi wa haki za binadamu wajitokeze wawafanyie uhakiki kila familia iliyoathirika kwa namna moja ama nyingine wakadai fidia (INSURANCE) stahiki mahakamani.
Jibu hoja kwa hoja, siyo kuleta viroja! Hili ni suala la kitaifa!Hivi povu lote hili ni la nini hasa wapendwa?
Serikali imeelekeza matumizi ya rambirambi wewe unabeza sasa mlitaka inunulie pombe?Pale kuna watu wamepoteza wazazi lofa wewe unatetea kila kitu halafu hao unaowatetea hata unufaiki kwa lolote unaendekeza ujinga tuu kama user name yako
Shida sana kuzaliwa taifa lililojaa watu wa kaliba yako