Asubui watakuta maiti.Hapo ingekuwa chadema wanafanya mkutano kwenye MAJI gizani wallahi wangefatwa hata sijui na chochote wapewe mkongoto bila kujali giza au mvua.Mimi bado sijamwelewa huyo mkuu wa mkoa....
Anasema tunasitisha uokoaji mpaka kesho asubuhi kwa sababu giza limeingia!!!
Maswali makuu ya kujiuliza.
1/Watu waliopo hai chini ya maji(kama wapo), wataendelea kukaa kwenye maji wakiwa hai mpaka kesho?
2/Nini maana ya dharula, ikiwa unaweza kuhairisha?
3/Wameshindwa kupambana na giza ili uokoaji uendelee?
Hivi ile kauli ya hapa kazi tu ni blah blah ya kuwachota wajinga tu?
Naungana nawe [emoji817] %Tanzanians have been made to believe that Mr Untouchable is truelly fighting corruption, not true. What is true is that he has narrowed the number of people involved in corruption. Although we see the results of his efforts, dont be supprised to learn that few of his cligue are enjoying our cake.
Hiki kivuko kina uwezo wa kubeba watu wangapi
Kesho wanaenda kuokoa watu au kuopoa maiti,tuendelee tu kurudia uchaguzi tu ndo tuwezacho.Zoezi la uokoaji limesitishwa hadi kesho kutokana na giza nene ziwani-RC. Miili 44 imeokolewa na mahututi 37
Hii Imenifanya niwaze ndani Zaidi. Dah. Inawezekana eeeh? [emoji45] [emoji45] [emoji45] [emoji45]...ivi samaki wanakula miili ya binadamuueeee.....nawaza vitoweoo SANGARA n SATO
Nakubaliana nawe kwa [emoji817] %TATIZO NI MAZOEA MKUU,KWAMBA "MIAKA YOTE HUWA INABEBA HIVI NA HAIJAPINDUKA"
A total of 42 people have been confirmed dead after a ferry sank in Tanzania's Lake Victoria, a government official has announced, adding that more than 200 people are actually believed to have drowned.
===
rt.com
_____
post ya kwanza ya uzi huu wasema kivuko kilikuwa na uwezo wa 100 na magari 3. Hii taarifa imenistua sana.
Usicheke mkuu, taifa linaomboleza, ila nakukumbusha tu, walisema wamechoka kutuma rambi rambiNimecheka sana!
100 only.Hiki kivuko kina uwezo wa kubeba watu wangapi
Kigwa ajiandae[/QUOTE]Dada akeKigTE="Aleppo, post: 28449505, member: 170541"]Si utani ngoja nikutajie listi
1. Kingunge alitembelewa mwishowe akavuta
2. Maria na Consolata mwishowe akavuta
3. Samuele Sita mwishowe kavuta
4. Yule aliyechora nembo ya taifa mwishowe kavuta
5. Mzee Majuto naye alivuta
6. Mzee mmoja wa CCM (jina nimelisahau) naye kavuta
7. Wengine niliowasahau nao wamevuta
Yaani hawaponi kabisa!
Duh nimeaanza kumuogopa kwa kweli ata nikiumwa nikimsikia anakuja ntakimbia na dripu zangu maana maisha matamu
Ulikuwepo mkuuEyewitness View attachment 872769
Hapana, kuna jamaa (eyewitness) kanitumia.Ulikuwepo mkuu