Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Mimi bado sijamwelewa huyo mkuu wa mkoa....
Anasema tunasitisha uokoaji mpaka kesho asubuhi kwa sababu giza limeingia!!!

Maswali makuu ya kujiuliza.
1/Watu waliopo hai chini ya maji(kama wapo), wataendelea kukaa kwenye maji wakiwa hai mpaka kesho?
2/Nini maana ya dharula, ikiwa unaweza kuhairisha?
3/Wameshindwa kupambana na giza ili uokoaji uendelee?

Hivi ile kauli ya hapa kazi tu ni blah blah ya kuwachota wajinga tu?
Asubui watakuta maiti.Hapo ingekuwa chadema wanafanya mkutano kwenye MAJI gizani wallahi wangefatwa hata sijui na chochote wapewe mkongoto bila kujali giza au mvua.
 
Tanzanians have been made to believe that Mr Untouchable is truelly fighting corruption, not true. What is true is that he has narrowed the number of people involved in corruption. Although we see the results of his efforts, dont be supprised to learn that few of his cligue are enjoying our cake.
Naungana nawe [emoji817] %
 
A total of 42 people have been confirmed dead after a ferry sank in Tanzania's Lake Victoria, a government official has announced, adding that more than 200 people are actually believed to have drowned.
===
rt.com
_____
post ya kwanza ya uzi huu wasema kivuko kilikuwa na uwezo wa 100 na magari 3. Hii taarifa imenistua sana.
 
Zoezi la uokoaji limesitishwa hadi kesho kutokana na giza nene ziwani-RC. Miili 44 imeokolewa na mahututi 37
Kesho wanaenda kuokoa watu au kuopoa maiti,tuendelee tu kurudia uchaguzi tu ndo tuwezacho.
 
A total of 42 people have been confirmed dead after a ferry sank in Tanzania's Lake Victoria, a government official has announced, adding that more than 200 people are actually believed to have drowned.
===
rt.com
_____
post ya kwanza ya uzi huu wasema kivuko kilikuwa na uwezo wa 100 na magari 3. Hii taarifa imenistua sana.

Ni ngumu sana kujua kivuko kimebeba wangapi, hata kwa kutumia ticket hawawezi jua kimezama na wangapi

Tutegemee kuna watanzania wengine hawataokolewa

Ingejulikana idadi kamili yeah ila haijulikani
 
Waafrika walishaambiwa giza likiingia wanapaswa wakalale, na hapo hapo kichaa anapigilia msumari na kusema waendelee kuzaliana(wapigane miti kisawa sawa).

Tusishangae giza kuingia na usitishwaji wa zoezi la uokoaji.
 
KigTE="Aleppo, post: 28449505, member: 170541"]Si utani ngoja nikutajie listi

1. Kingunge alitembelewa mwishowe akavuta

2. Maria na Consolata mwishowe akavuta

3. Samuele Sita mwishowe kavuta

4. Yule aliyechora nembo ya taifa mwishowe kavuta

5. Mzee Majuto naye alivuta

6. Mzee mmoja wa CCM (jina nimelisahau) naye kavuta

7. Wengine niliowasahau nao wamevuta

Yaani hawaponi kabisa!

Duh nimeaanza kumuogopa kwa kweli ata nikiumwa nikimsikia anakuja ntakimbia na dripu zangu maana maisha matamu
Kigwa ajiandae[/QUOTE]Dada ake
 
Kwa JINSI BOAT ilivyozama MZIGO ULIPANGWA VIBAYA,,,pamoja na kwamba ilibeba watu WENGI,, lakini MZIGO HAUKUWA STABLE,,, meli haigeuki tu ghafla,,hivi hakuna SURVIVED YEYOTE AKATUPA USHUHUDA? LAZIMA boat ilielemea UPANDE MMOJA,,na NAHODHA AKALAZIMISHA KUKIPELEKA UFUKWENI.....
 
Eti zoezi la uokoaji limesitishwa hadi kesho kwa ajili ya giza, kwani hawana tochi??
 
Poleni sana wafiwa na wafiwa watarajiwa MUNGU awape subira kwenye kipindi hiki!

Nilivyoona na kuelewa mimi nafikiri hicho kivuko kimezama karibu kabisa na ufukwe kwenye majira ya saa nane mchana.

Tunaoishi karibu ya na vyanzo vya maji tujitahidi kutumia muda kujifunza kuogelea na kuwa tunaogela mara kwa mara tukipata fursa.
 
Back
Top Bottom