ATRACURIUM
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 753
- 918
Hivi RC, Msimamizi wa bandari Mwanza, RPC, DC, Kiongozi wa Zimamoto leo walipata usingizi kweli? huku roho za Watanzania zikiteketea ziwani? I cant imagine uongozi wa dizaini hii, na utasikia hakuna atakayewajibika.
Kumetokea nini mnashangaa ya leo na mnashindwa kushangaa ya nyuma au ndio kusahau?