Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Rashid Chilumba
Umeandika ukweli Mtupu..sijasikia kama wametangaza wanasitisha uokoaji sababu ya Giza. Kama kuna kiongozi wa serikali ametangaza hivyo. Kesho hafai kuendelea kuwa serikalini.

Ametutia aibu
 
Hivi unawezaje kulala Ndugu yako au mtoto au mzazi wako akiwa amefunikwa na meli

Je angekuwepo waziri mkuu humo amezama au makamu au kiongozi yeyote maarufu, wangesitisha uokoaji ?

Hii nchi CCM na mamluki wake ni Certified zéro brain
 
Nilisema mapema kabisa.

''Utasikia Serikali haikuleta hii ajali"

RC kadhihirisha hii kauli kwa matendo na maamuzi yake
Hivi RC, Msimamizi wa bandari Mwanza, RPC, DC, Kiongozi wa Zimamoto leo walipata usingizi kweli? huku roho za Watanzania zikiteketea ziwani? I cant imagine uongozi wa dizaini hii, na utasikia hakuna atakayewajibika.
 
Wangewaomba wavuvi waendelee na uokozi maana wao wana uzoefu wa kuvua samaki usiku kucha
 
Kabla yakuwaza bajeti sisitiza hao wanaosababisha bajeti hiyo watulie waliko. Bila wao kutulia bajeti itatumika tu hamna eneo litabaki bila kiongozi.
Ukerewe wanahitaji meli kubwa bajeti ya kurudia uchaguzi ielekezwe huko katika miundombinu
 
hakuna kauli iliyonisikitisha sio mimi tu bali na wale waliokuwa wananizunguka kama ya uokoaji utaendelea kesho.
imagine, umejibanza sehemu unasukuma Muda ili uokolewe, kwa bahati nzuri ukawa na karedio hata la simu unafuatilia updates za kuokolewa kwako, unamsikia mtu anasema tutaendelea kesho. Hapo lzima nguvu zikuishe ujifie tu.

Kauli ile ilijaa Ukatili, bora wangekwepa kimyakimya.
 
Nilisema mapema kabisa.

''Utasikia Serikali haikuleta hii ajali"

RC kadhihirisha hii kauli kwa matendo na maamuzi yake
Kwani ajali imetokea saa ngapi? Ilishindikana kufanya maandalizi ya uokozi hadi usiku? Kwa sababu si wote wangeweza kuokoa hivyo wangeshughulikia hayo maandalizi. Au walikuwa puzzled baada ya kusikia ajali imetokea.
 
Back
Top Bottom