Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!


Yale maboya yanatakiwa yawe free ili emergency inapotokea yawe yanaelea tu majini na watu waweze kujiokolea
 
Mnakosa vifaa vya kuokolea ndugu zetu sababu ya matumizi mabaya ya fedha ,kurudia mauchaguzi yasiyo na tija na kupoteza fedha za walipa kodi.Kwanini msingetumia hizo fedha kununua vifaa vya kisasa vya uokozi au kivuko chenye ubora?
 
Hii nchi we ione hivi hivi
Zima moto na uokoaji hata boti sidhani kama wanazo, achilia mbali kwamba hata mafunzo yao hawafundishwi kuogelea.
Ajali kama hizi utaona jwtz ndo wanaenda kubeba maiti ilihali zimamoto na uokoaji wanakula bata, nyumba yako ikiungua moto ukipiga sim unaambiwa gari halina maji
Hii rangi nyeusi najisikia aibu sana hata kua mtanzania
 
Ungejuaa telnolojia inavyofanya kazi hata kwa 5% usingeandika haya.
mi nisijue teknolojia inavyofanya kazi hahahaa jamii forum imenikuta mimi mtandaoni we umekuja lini?
huyo katukana wakubwa kesho wanamkuta na ip aliyotuma upuuzi wake,km ni simu au internet watampata tu,nachoongea hapa tuwe na mipaka ya kuandika,viongozi ni viongozi mtakufa mkiendelea kubishana nao
 
Kwa utawala wa kiongozi makini, mkali na mgumu kama jiwe, polisi makini na wakali wanaopiga raia kama mbwa koko, ma RC na ma DC makini na wakali wa kukamata raia masaa 48, usingetegemea watoe statement inayosema "mpaka sasa haijulikani kulikuwa na watu wangapi kwenye kivuko.”

Umakini, uweledi na ukali wao ni kwenye kutisha, kufunga, kupiga na kukandamiza raia tu!
 
inauma sana mkuu.
Watanzania tunapaswa kumtegemea Mungu zaidi, kuwaamini hawa wanasiasa ni kuweka maisha yako rehani.
sasa utakosaje idadi ya watu wakati sijawahi kuona popote watu wanaingia kivuko bila tiketi. Pia utakosaje kujua idadi wakati ilikuwa siku ya mnada bugorora abiria lazima walikuwa wengi na umakini wa kuwamanage ulipaswa kuwa mkubwa kuliko siku za kawaida.
 
Nimezidi kujiridhisha kuwa kumbe ni kweli upo zero kwenye teknolojia ,ila nimependa ushauri wako wa mwisho kweli tusibishane nao.
 
This is more common than it should be, and not just with ferries. Please help raise awareness for the safety standards of all forms of transportation in Tanzania. We can do better.
 
Kukamatwa kwa ip itakuwa ni uzembe maana zipo njia nyingi tu za kuhide ip au kutumia free open source vpn. kucover hiyo ip
 
Engine mbili zilizokuwa mbovu zishabadilishwa. Na hawana hata mwezi toka kivuko kimeanza fanya kazi. Ndo maana nakwambia shida sio kivuko. Nisingependa andika mtandaoni kilichoonwa na mashuhuda wa ajari, lakini shortly ni human actions. Uzuri captains wa3 wa kivuko wamepona, hivyo wataeleza baadae nini kilisababisha. Ila jua tu kivuko kilikuwa full fit.
 
Daah afu linatokea lijitu ambalo vivu la kufikia na kusema wanaoishi Dsm wanapoteza muda wakati maisha ya mikoani yana risk sn hasa inapotokea maafa makubwa
Kwani Dar maafa hayawezi kutokea.... Akili zako haziko vizuri
 
so sad,mwenyezi mungu awapumzishe kwa amani walopoteza maisha na majeruhi wapate unafuu mapema,kweli imeniuma sana, imenitoa majozi,poleni sana wafiwa wote,ndugu, jamaa na marafiki wote.
 
Hii nchi ni shida sana, serikali ya ccm ilinunua magari mengi sana ya washawasha mwaka 2015 ili kuwalinda wanapoiba kura, ni aibu kama alivyosema mdau hapo juu kwamba hawana hata miwani zenye tochi, eti wanasitisha zoezi la uokoaji kwa sababu ya giza, mbona sherehe za mwenge huwa zinakesha !?. Polisi wanzo Speed boart ambazo muda mwingi huwa zinakaa tu, wakisikia maandamo ya Ukawa wanatamani hata kuzitumia hizo boti nchi kavu.
 
Na hasa wapinzani [emoji85]

Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…