mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hizo picha za hao mama.zinasikitishaa.maji balaa.Ajali ni mbaya sana_tumepoteza jamaa,rafiki zetu wengiView attachment 872499View attachment 872501
Allah awapokee kwa huruma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo picha za hao mama.zinasikitishaa.maji balaa.Ajali ni mbaya sana_tumepoteza jamaa,rafiki zetu wengiView attachment 872499View attachment 872501
Unaona fahari kabisa kusema kwamba nchi haina vifaa vya uokozi na watu wetu hawana ujuzi??Asante mkuu.
Pumbakwahyo wewe ulitaka atoe jibu gani kwa mfano?
kuna utofauti gani maiti ikitolewa kwenye maji jana au leo?
itafufuka? itapunguza machungu ya wafiwa? au labda ww unahisi vipi yani?
huwezi riski maisha ya watu walio hai kwa sababu ya mtu ambaye ameshapoteza uhai hyo ipo hivyo dunia nzima....
sema kuna watu mnajifanya mnajua kuongea na kuongoza nchi wakati hata familia ya kuiongoza bado hujaipata..
embu basi sema ulitaka waendelee kutoa maiti hadi usiku wa manane? unajua changamoto za uokoaji majini?
Anachanganyaje za kwake?anaanza kuzama nao ktk maji kuokoa wahanga?Nimesema wote waliohusika kusitisha zoezi hata hao wataalamu waliomshauri watasema nini kilishindikana.
Halafu si kila unaloshauriwa lazima ukubali, kama kiongozi unatakiwa ujiongeze uchanganye na zako.
Aliye hai anaokolewa.Nimemskia mmoja wa viongozi wetu wanoishi kwa kodi zetu, akihojiwa na BBC Leo asubuhi kwamba kwanini walisitisha uokoaji. Utumbo aliojibu ndo ulio nichosha.
Kwamba, waaliingia kwenye meli na kujiridhisha kwamba hakuna alie hai ambae anahitaji msaada, isitoshe pia waokoaji walikuwa wamechoka kutokana wanatumia mitumbwi kubeba maiti hivyo tukaamua kusitisha uokoaji mpaka kesho.
Huu uongozi wa awamu hii naona kila mtu kichaaa.
Kivuko kilishatengenezwa Boss. Hakina hata mwezi toka kitoke matengenezo. Hivyo tatizo sio mechanics za kivuko.hawa tutawalaumu bure niliwahi kumsikia Mbunge wao akiomba Engine Mbili mpya za kufungwa kwenye hicho kivuko maana zilizopo zinazima Mara kwa Mara na walilipotezea wakati abiria wanalipia ila kuweka mazingira ya usalama wao yapo chini kabisa
kivuko sijaona hata maboya yakielea kwa ajili ya kusaidia abiria waliomwagwa...
ila ukumbuke kinachofanyika hapo siyo uokoaji... ni uopoaji wa miili nahisi sidhani kama ningesema niliyoyasema kama bado kungekuwa na zoezi la uokoaji... wamejiridhisha hakuna aliye hai ndio maana wakahairisha zoezi hadi siku inayofuata (hakuna aliye hai) pointi yangu ipo hapoMkuu naomba nikujibu kwa ufupi tuu uelewe majanga yote yanatokea katika mazingira magumu na ndio maana waokoaji wanasomea sio kila mtu anaweza kuokoa iwe majanga ya maji au moto.
pili umeongelea huwezi kuhatarisha maisha ya walio hai kwa ajili ya uokoaji hiyo haipo na umezungumzia duniani sijui ya wapi hiyo dunia...waokoaji wengi wanahatarisha maisha ndio maana hata unaona wanafanya kazi ya hatari ili kuokoa maisha ya walioathirika huko wiki iliyopita waokoaji wawili walikufa SA gorofa ya nane baada ya kwenda kumuokoa mtoto ambae alipona kule Thailand waokoaji waliwaokoa wale watoto kwenye mazingira magumu muokoaji mmoja alifariki kwa kukosa hewa ya oxygen ila watoto wote walipona na ndio maana waokoaji wapo katika jeshi la Zimamoto katika Nchi zilizoendelea...
Majibu kama haya yanatakiwa yatolewe na mtu mpumbavu kabisa...!kwahyo wewe ulitaka atoe jibu gani kwa mfano?
kuna utofauti gani maiti ikitolewa kwenye maji jana au leo?
itafufuka? itapunguza machungu ya wafiwa? au labda ww unahisi vipi yani?
huwezi riski maisha ya watu walio hai kwa sababu ya mtu ambaye ameshapoteza uhai hyo ipo hivyo dunia nzima....
sema kuna watu mnajifanya mnajua kuongea na kuongoza nchi wakati hata familia ya kuiongoza bado hujaipata..
embu basi sema ulitaka waendelee kutoa maiti hadi usiku wa manane? unajua changamoto za uokoaji majini?
Huyu nae hata hajui anachokiongea. Sasa kama wamejiridhisha hakuna aliye hai, huo "uokoaji" anaosema utaendelea kesho ni wa kumuokoa nani?Nimemskia mmoja wa viongozi wetu wanoishi kwa kodi zetu, akihojiwa na BBC Leo asubuhi kwamba kwanini walisitisha uokoaji. Utumbo aliojibu ndo ulio nichosha.
Kwamba, waaliingia kwenye meli na kujiridhisha kwamba hakuna alie hai ambae anahitaji msaada, isitoshe pia waokoaji walikuwa wamechoka kutokana wanatumia mitumbwi kubeba maiti hivyo tukaamua kusitisha uokoaji mpaka kesho.
Huu uongozi wa awamu hii naona kila mtu kichaaa.
Kwa Mara ya kwanza tangu nikuone JF Leo umetoa NENO halali kwa MTU sahihi.Hakika wewe ni mwendawazimu kuu walahi
Dah kum****kwahyo wewe ulitaka atoe jibu gani kwa mfano?
kuna utofauti gani maiti ikitolewa kwenye maji jana au leo?
itafufuka? itapunguza machungu ya wafiwa? au labda ww unahisi vipi yani?
huwezi riski maisha ya watu walio hai kwa sababu ya mtu ambaye ameshapoteza uhai hyo ipo hivyo dunia nzima....
sema kuna watu mnajifanya mnajua kuongea na kuongoza nchi wakati hata familia ya kuiongoza bado hujaipata..
embu basi sema ulitaka waendelee kutoa maiti hadi usiku wa manane? unajua changamoto za uokoaji majini?
umekurupuka kuqoutePumba
uwa wanazuiwa aseee umesahau lile tukio la daladala iliyopitiliza na kuzama kule kigongo ferry??wanainchi wanaojua kuogelea walizuiwa kabisa na waliomba wajitokeze wakaokoe watu wakawa hao wenyewe temesa sijui nini na walizidiwa. na hapo si mbali kabisa kwa watu wa kanda ya ziwa wanaojua kuogelea wengi wao,pia ona iyo mitumbwi ya wavuvi sasa lazima wasitize zoezi usiku hakuna hata boti lenye taa ili kuendelea na zoezi,pia shida ingine kubwa ni MABOYA YA UOKOZI jamani yanafungiwa kwenye grill na zinga la komeo na hamna shoka lililo karibu useme wakati kinapinduka mmoja aliekua hajataharuki agonge komeo atoe maboya..sielewi kabisaIla watanzania lazima ukubali uzembe wetu sisi kama raia. Nimeshangazwa ma picha hiyo hapo juu ya raia waliangalia na caption yake inasema RAIA WAKIWA MITA CHACHE TOKA ILIPOZAMA BOTI. Tujifunze kuogelea, idadi zitapungua ingawa najua kuna mida kunakuwa ma panick ktk ajali.
jibu kama hii juu yangu inatakiwa itolewe na mtu boya duwanziMajibu kama haya yanatakiwa yatolewe na mtu mpumbavu kabisa...!
Kilijaza sana. Kama cha Zenji kile kilichozama kwa kuzidisha watu kwa silimia 400Kivuko kilishatengenezwa Boss. Hakina hata mwezi toka kitoke matengenezo. Hivyo tatizo sio mechanics za kivuko.