Tiketi zinaweza ku determine idadiUkifikilia kwa makini utaona kuna umhimu mkubwa wa kurekodi taarifa za abiria wanao wa majini kuliko abiria wa nchi kavu
Gari ikipata ajali ni rahisi kupata idadi ya waliokua wakisafili, lakini ajari za majini hua tunaishia kukisia tu.... Kadhaa wamekufa.
Wale tunao safili gafla gafla bila tarifa kwa ndg zetu tubadikike.
Ndio ajue sasa kuwa kauli za ubaguzi wa kimaendeleo kwa itikadi za vyama zina matokeo mabaya.
Mwenyekiti wa bavicha yeye yuko Instagram, facebook, whataap na jf, kuendeleza harakati za kumkashfu Rais na kumtetea Mbowe dhidi ya wimbi la kutaka kiaachia ngazi kwa chama vhake kupata kipigo kila siku.apeleke ukumbafu wake huko
Ni vizuri huo ushauri na majina nadhani wanayo huko kwa wale wenye utambulisho watanzania wengi hatuna utamaduni wa kutembea na utambulisho na namba ya mtu wa karibu ili muda wote unaokuwa nnje ya nyumba yako au safari yoyote kikazi,ofisini uwe na ki card au karatasi umeandika sehemu utokayo na namba ya ndugu wa karibu maana emergency zipo hasa ajari na kuuguwa ghafla au kufa ....Ni vyema yakatolewa majina ya waliokufa kwenye hiyo ajali maana kuna wengine hawana ndugu huko na ni watafutaji maisha tu walikuwa kwenye mapambano, hivyo yakitolewa majina itakuwa rahisi kwa watanzania wengi kujua, hii yakuita watu wakatambue ndugu zao mambo ya zamani sana..
Idadi ya majeruhi wanajulikana majina yao, Majina ya waliokuwa kwenye kivuko lazima yapatikane then unatoa hao majeruhi na yatakayobaki ndio watakuwa marehemu unayaprint kila mtu anayaona.
Hata hili ni la kusubir maagizo walah hawa watu wana laananimemsikia bbc akisema anasubiri maagizo kutoka juu, sasa sijui maagizo gani na roho za watu
Chadema wengi ni mambumbu, hajui kuwa mambo kama haya ndio huwa yanawapa credit ccm!haahhaahah majibu ya watanzania waliochoshwa na huu upumnavu yanafurahisha
Hiyo "for the English audience" pelekea ubalozi wa Marekani tafadhali, itasaidia....For the English audience
Akizama chini ya maji dk 10 hazipiti Kwa wale wasioijua kuogelea.....shock ama panic hupelekea mtu kuvuta pumzi nyingi...hivyo kwa dharura kama ile huchukui round ukizama chini ya majihebu wataalam mtusaidie, mtu anaweza kukaa majini kwa muda gan kabla ya kuokolewa?
okChadema wengi ni mambumbu, hajui kuwa mambo kama haya ndio huwa yanawapa credit ccm!
Wao wanafiki kupata credit kwa wananchi ni kuitisha mikutano au maandamano na kuanza kubwata hili na lile!
Majanga kama haya yanapotokea wananchi wanaona nani kaja kuwa pamoja nao! Sasa wewe endelea kuita ni ujinga.
Tena angekua makonda hakuna raia hata mmoja angepona, woote wangekufaHIVI UNAPOSEMA KUWA ZOEZI LA UOKAJI LIMESITISHWA MPAKA KESHO KWA SABABU YA GIZA KUINGIA HUKU WATU WAKIWA WANAPIGANIA UHAI WAO CHINI YA KIVUKO KWENYE MAJI UNATEGEMEA NINI? SIJAWAHI KUONA MKUU WA MKOA BOGASI KAMA MONGELLA AISEE.DAH SHAME UPON HIM KUMBE NILIVYOAMBIWA KUWA YEYE NA MZEE JIWE WANAPISHANA MPAKA IKAFIKIA MZEE KUMTIMUA KWENYE NYUMBA YA MKUU WA MKOA AKAKAE URAIANI LEO NDIO NAAMINI.ANGEKUWA MAKONDA NDIO MKUU WA MKOA WA MWANZA AISEE WATU KARIBIA WOTE WANGEEZA KUOKOLEWA NA TENA WAKIWA HAI KABISA.MONGELLA EBU JIWAJIBISHE KABLA TINGATINGA HALIJAKUKUMBA.
Yaani umpe mtu sumu afu uhudhurie mazishi yake Ili upate credit kwa wafiwa? Ulitegemea wapinzani waende huko ili waambiwe wanafanya mikutano ya kisiasa wawekwe ndani!?Chadema wengi ni mambumbu, hajui kuwa mambo kama haya ndio huwa yanawapa credit ccm!
Wao wanafiki kupata credit kwa wananchi ni kuitisha mikutano au maandamano na kuanza kubwata hili na lile!
Majanga kama haya yanapotokea wananchi wanaona nani kaja kuwa pamoja nao! Sasa wewe endelea kuita ni ujinga.
Kama yanawapa credit mbona wanaiba kura badala ya kupewa kura? Nenda kamdanganye mumeo!Chadema wengi ni mambumbu, hajui kuwa mambo kama haya ndio huwa yanawapa credit ccm!
Wao wanafiki kupata credit kwa wananchi ni kuitisha mikutano au maandamano na kuanza kubwata hili na lile!
Majanga kama haya yanapotokea wananchi wanaona nani kaja kuwa pamoja nao! Sasa wewe endelea kuita ni ujinga.