Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Zoezi haliwezi kukamilika muda huo, Huu ni Uongo13:20 - WAZIRI ISACK KAMWELWE: ZOEZI LA KUOPOA MIILI ILIYOKWAMA LITAKAMILIKA SAA 12 JIONI LEO
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,
Analia kilio cha mshituko jumlisha hofuILA KWELI KAMA ANALIA HIVI.....SEMA KILIO CHAKE CHAUTATA BHANA
Inasemekana, ndiyo key point hapa. Taarifa rasmi itakuwa released.Mkuu! inamaana saruji na magari yalibimbilikia upande mmoja? picha sipati hata negative nimekosa kabisa.
Waziri muongo.Zoezi haliwezi kukamilika muda huo, Huu ni Uongo
Ukweli ni Kwamba Giza litakua limeingia hivyo hawawezi kuendelea na Zoezi..
Sawa sawa ile sehemu ya dharura ndo muhimu kwa contacts kuliko zote ..... mimi nilikuwa na wazo labda kama kitambulisho cha taifa kinakuwa na chip ambayo sehemu kama airport,stand za magari,stesheni kwa train,bandalini au kwenye vivuko kunakuwa na mashine una swap inarecord mtu fulani anaenda kuboard unalipa unakwenda na usafiri unao tumia ukifika unaswap umetoka inakuwa na in and out ....hii ingekaa poa kwa kutumia kitambulisho cha taifa na wasio kuwa navyo as hao below 18 wanatumia manual normal receipt
Mkuu
Hakuna rekodi ya watu walioingia. Naskia ni kupanga tu mstari unaingia chomboni.
Ukisikia statistics za 400 (yaani takwimu za sufuri mbele) huwa ni makadirio ya siyo na uhalisia.
Pathetic agencies!
Sasa kwenye swali alilouliza mbunge na ajali uhusiano upo wapi yeye alitaka usafiri wa uhakika sio leo upo mara kesho haupo kutokana na ubovu wa engen,aya engen mbili zimenunuliwa na kufungwa abiria wamepata usafiri wa uhakika,na ajali ya jana taarifa za awali ni kutokana na kujaza kupita uwezo wake lawama kwa serikali inatoka wapi kuwa haikununua kipya mpaka kimeleta maafa? muda mwingine jaribu kuuficha ujinga ulionao hata kama ni mkazi wa ufipa.[http://img2]
Mbunge wa Ukerewe (Chadema), Joseph Mkundi Katika moja ya swali alilouliza bungeni hivi karibuni, Mkundi alitaka kupata kauli ya Serikali jinsi itakavyoshughulikia kivuko hicho ili kisije kusababisha maafa.
“Naomba kupata kauli ya Serikali, ni suala ambalo tumekuwa tunalishughulikia mara kwa mara, tuna kivuko kinachounganisha Ukerewe na kisiwa cha Ukara, kivuko hiki kinahudumia watu zaidi ya 50,000,” amesema Mkundi.
“Kimekuwa kinaleta shida mara kwa mara na nimekuwa nawasiliana na wizara, sipendi siku moja tuje hapa kuomba rambirambi kwa sababu ya wananchi waliozama katika kivuko kile” Ameongeza.
Aisee,Hii ni basic ambayo inatushinda sasa kwanini tunakimbilia mambo makubwa wakati kumbe hata msingi wa vitu vidogo hatuuwezi, Hata hivyo vikubwa vitatushinda sasa.
View attachment 872196
Hicho ni kivuko cha Mv Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorola (Ukerewe) na Bwisya (Ukara). Kilikuwa kimeharibika kwa muda mrefu tangu kununuliwa mwaka 2004 na kilikakarabatiwa mwaka huu kwa kwa kufungwa injini mpya.
Dah!! Poleni Wakerewe na Wakara wenzetu.
KIVUKO CHA MV. NYERERE CHAFUNGWA INJINI MPYA - Issa Michuzi
Hoja ya pili hapo chini ni yenye uzito, usikurupuke kusima paragraph moja tuSasa kwenye swali alilouliza mbunge na ajali uhusiano upo wapi yeye alitaka usafiri wa uhakika sio leo upo mara kesho haupo kutokana na ubovu wa engen,aya engen mbili zimenunuliwa na kufungwa abiria wamepata usafiri wa uhakika,na ajali ya jana taarifa za awali ni kutokana na kujaza kupita uwezo wake lawama kwa serikali inatoka wapi kuwa haikununua kipya mpaka kimeleta maafa? muda mwingine jaribu kuuficha ujinga ulionao hata kama ni mkazi wa ufipa.
Hujaelewa!Kwa hiyo kivuko kikizama, Watanzania wakafa, serikali ya jiwe ikasitisha uokoaji na mwenyekiti wa uvccm akienda kuopoa maiti za Watanzania chama pendwa CCM kinapata credit dhidi ya CHADEMA?