Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Hakika nimesikitishwa sana na ajali ya Mv Nyerere.
Masikitiko zaidi ni katika utendejai wa zoezi zima la uokoaji, unawezaje kusitisha zoezi kisa giza , as if kuna namna hao watu wanakungoja.
Let say Familia yake au yeye binafsi angelikuwamo ni mmoja wa wahusika wale aliowaacha usiku na kuwaambia atarudi asubuhi kuendelea na kuwanusuru.
John jitafakari kwenye hilo, umeteleza tena umeteleza pabaya sana.
Masikitiko zaidi ni katika utendejai wa zoezi zima la uokoaji, unawezaje kusitisha zoezi kisa giza , as if kuna namna hao watu wanakungoja.
Let say Familia yake au yeye binafsi angelikuwamo ni mmoja wa wahusika wale aliowaacha usiku na kuwaambia atarudi asubuhi kuendelea na kuwanusuru.
John jitafakari kwenye hilo, umeteleza tena umeteleza pabaya sana.