Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Amefariki. Inauma sana.
Nategemea kusikia naodha naye amefariki maana nasikia naodha lazima awe mtu wa mwisho kutoka chomboni.
Sasa mpk watu wote hao wamekufa nategemea naye amefariki otherwise ajibu maswali yote yatakayo husisha kuzama kwa kivuko hiki.