Huwezi jenga daraja apo ww, uchumi Wa inchi utakufa, kama unaogopa pantoni LA pale pita darajani kule shimo LA udongoHee.., mbona unatutisha wa huku Kigamboni? ,ndio maana nasema pajengwe daraja pale, hamsikii..
mbunge wa ukerewe ni chama gani? huenda ndo imechangia kusitisha ukoaji
Msiba wa Taifa uliotokea katika visiwa Vya Ukerewe sI pigo TU KWA N YETU NA FAMILIA ZILIZOPOTEZA WAPENDWA WAO bali pia ni AIBU kwa TAIFA letu.
HATUJIFUNZI ama hatutaki KUJIFUNZA maksudi kutokana na majanga yaliyowahi kutokea huko nyuma
ikiwemo utayari wa UOKOAJI.
Janga hili lingeweza KUZUILIKA ila basi tu....!!!
i
Kwa kifupi. hii NEGLIGENCE/UZEMBE wa hali ya juu sana ambao mtu ama watu wanahitaji KUWAJIBISHWA!!
Uzembe huu si tu kwa nahodha wa chombo hicho au waliokuwa wakikata tikikti bali ni UZEMBE
wa WIZARA na Tassis zake HUSIKA.
Katika nchi zilizoendelea janga kubwa kama hili likitokea ambalo LINGEWEZA KUZUILIKA lakini likaachwa lijishughulikie lenyewe basi
WAZIRI huwa anachukuwa jukumu la KUJIUZULU.
Si kwa sababu YEYE ALIHUSIKA DIRECTLY bali kama kuchukuwa POLITICAL RESPONSIBILITY la uzembe WOWOTE uliotokea wizarani mwake.
Je hili linaweza kutokea Tanzania?
Jibu ni ndiyo ikiwa mioyo yetu itajielewa.
Picha hii ya kujiuzulu huonyesha nchi kuwa hata mkuu wa nchi huwa AMEMKERWA.
Nawaachia WAHUSIKA wajihoji NAFSI zao!!
Wakiamua kuwa "HAMNA" na ni business as usual basi bado ni sawa tuhata hivyo I have given out my mind!/Nimetoa maoni yangu.
Mkuu,Hiyo mifumo inatumika tayari nchi zilizoendelea, ID yako ukiswap mahali inasoma details zako zote. Wakati mwingine mkono wako ukiuweka mahali unasoma details zako zote na hii inawezekana maana wao kila kiumbe kinachozaliwa wanasajili DNA kwa hiyo kwao maisha ni rahisi sana, VITU HIVI UNAWEZA TU KUFANYA KAMA UTAKUWA NA WATU WENYE KUWAZA LEO, KESHO NA MIAKA 1000 MBELE. Kwa sasa tunaweza kutoa kwa haraka National ID na iwe lazima kila mtu kutembea nayo (tukiweza tunaweza kuilink na mifumo ya bima), Kila mtu anapoingia mahali manifest ya kurejista lazima iwepo kwa ajili ya details za mhusika.
Jamani mlitaka sfanye nini wakati hakuna vifaa vya kuokolea muda huo?? Na sio kwamba atakuwa alijiamulia tu mwenyewe, hao wazamiaji hawana vifaa vya kufanyia kazi kwenye mwanga itakuwa gizani?? Ni aibu kwa nchi, hatuko tayari kwenye majanga!! Ya nchi kavu tu yanatushinda itakuwa ya majini??Hakika nimesikitishwa sana na ajali ya Mv Nyerere.
Masikitiko zaidi ni katika utendejai wa zoezi zima la uokoaji, unawezaje kusitisha zoezi kisa giza , as if kuna namna hao watu wanakungoja.
Let say Familia yake au yeye binafsi angelikuwamo ni mmoja wa wahusika wale aliowaacha usiku na kuwaambia atarudi asubuhi kuendelea na kuwanusuru.
John jitafakari kwenye hilo, umeteleza tena umeteleza pabaya sana.
haiwezekani kwa sababu hatuna mitizamo ya mbele. hatuna mikakati ya miaka ijayo 10, 25, 50 n.k . yaani ile tunasema vision. halafu pia tunashindana na nchi maskini tu kama kenya na uganda.Hiyo mifumo inatumika tayari nchi zilizoendelea, ID yako ukiswap mahali inasoma details zako zote. Wakati mwingine mkono wako ukiuweka mahali unasoma details zako zote na hii inawezekana maana wao kila kiumbe kinachozaliwa wanasajili DNA kwa hiyo kwao maisha ni rahisi sana, VITU HIVI UNAWEZA TU KUFANYA KAMA UTAKUWA NA WATU WENYE KUWAZA LEO, KESHO NA MIAKA 1000 MBELE. Kwa sasa tunaweza kutoa kwa haraka National ID na iwe lazima kila mtu kutembea nayo (tukiweza tunaweza kuilink na mifumo ya bima), Kila mtu anapoingia mahali manifest ya kurejista lazima iwepo kwa ajili ya details za mhusika.
Mkuu,Naona juhudi za kujiondoshea lawama za uzembe zinafanywa kwa juhudi kubwa sana.
Wafanyakazi kwa nini waruhusu watu wengi kiasi hicho???
Mbunge wao alisema mapema lakini ile kauli ya watoto wa kambo wanakula makombo ndio unatimia.
Kamaa jiwe alifikiri Wanaukerewe wanatakiwa waadhibiwe kwa kunyimwa maendeleo sababu tuu wamechagua upinzani basi kamwe hayuko sahihi.