Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Hee.., mbona unatutisha wa huku Kigamboni? ,ndio maana nasema pajengwe daraja pale, hamsikii..
Huwezi jenga daraja apo ww, uchumi Wa inchi utakufa, kama unaogopa pantoni LA pale pita darajani kule shimo LA udongo
 
Wakijiuzulu watoto wao utawalipia karo na kuwapa chakula?

Mkuu Tanzania Uongozi ni biashara kama biashara nyinginezo. Uwajibikaji ni sifuri. Ndo maana wakiteuliwa wanafanya sherehe na kuiba. Hakuna kitu kama kuhudumia wananchi.

The sad part of it, hao hao viongozi kesho watakuja kuomba kura kwa kutumia hicho kivuko kama mtaji. NA wananchi walivyo na akili nyingi watawachagua kwa kishindo!

Africa bado tuna safari ndefu sana!
 
Hakuna kujiuzulu Bashite kashindwa kujiuzulu itakuwa wa Uchukuzi mtakuwa mnamwonea jamani
Msiba wa Taifa uliotokea katika visiwa Vya Ukerewe sI pigo TU KWA N YETU NA FAMILIA ZILIZOPOTEZA WAPENDWA WAO bali pia ni AIBU kwa TAIFA letu.

HATUJIFUNZI ama hatutaki KUJIFUNZA maksudi kutokana na majanga yaliyowahi kutokea huko nyuma
ikiwemo utayari wa UOKOAJI.
Janga hili lingeweza KUZUILIKA ila basi tu....!!!

i
Kwa kifupi. hii NEGLIGENCE/UZEMBE wa hali ya juu sana ambao mtu ama watu wanahitaji KUWAJIBISHWA!!

Uzembe huu si tu kwa nahodha wa chombo hicho au waliokuwa wakikata tikikti bali ni UZEMBE
wa WIZARA na Tassis zake HUSIKA.

Katika nchi zilizoendelea janga kubwa kama hili likitokea ambalo LINGEWEZA KUZUILIKA lakini likaachwa lijishughulikie lenyewe basi
WAZIRI huwa anachukuwa jukumu la KUJIUZULU.
Si kwa sababu YEYE ALIHUSIKA DIRECTLY bali kama kuchukuwa POLITICAL RESPONSIBILITY la uzembe WOWOTE uliotokea wizarani mwake.

Je hili linaweza kutokea Tanzania?
Jibu ni ndiyo ikiwa mioyo yetu itajielewa.
Picha hii ya kujiuzulu huonyesha nchi kuwa hata mkuu wa nchi huwa AMEMKERWA.

Nawaachia WAHUSIKA wajihoji NAFSI zao!!
Wakiamua kuwa "HAMNA" na ni business as usual basi bado ni sawa tuhata hivyo I have given out my mind!/Nimetoa maoni yangu.
 
Mbona bendera hazipepei nusu mlingoti.Kuna nini kinaendelea Tanzania.
 
Hiyo mifumo inatumika tayari nchi zilizoendelea, ID yako ukiswap mahali inasoma details zako zote. Wakati mwingine mkono wako ukiuweka mahali unasoma details zako zote na hii inawezekana maana wao kila kiumbe kinachozaliwa wanasajili DNA kwa hiyo kwao maisha ni rahisi sana, VITU HIVI UNAWEZA TU KUFANYA KAMA UTAKUWA NA WATU WENYE KUWAZA LEO, KESHO NA MIAKA 1000 MBELE. Kwa sasa tunaweza kutoa kwa haraka National ID na iwe lazima kila mtu kutembea nayo (tukiweza tunaweza kuilink na mifumo ya bima), Kila mtu anapoingia mahali manifest ya kurejista lazima iwepo kwa ajili ya details za mhusika.
Mkuu,
Hii chain inahusisha mlolongo mamlaka nyingi na hazifanyi kazi kama system.
Vitambulisho tu vya Taifa kupata ni mwaka mzima unasubiri.
Haya, hawa nao hata daftari la majina tu hawana au mpaka tumpe tenda mzungu ya kuturekodia majina ya wasafiri...?
Bado nchi hii inasafari ndefu.
 
Waziri anasema moaka sa 12jioni zoezi la uokoaji litakuwa limeshakamilika.
Maana yake kivuko kilikuwa kimemeba watu 400
Waliookolewa wakiwa hai 37
Baki
363
Maiti zilizoopolewa ni 135.

Haya 363-150=228.
Mpaka leo jioni sa 12 waziri ana uhakika wa kupata miili ya watu 228?

Ninachoona waziri kwanza angejiuzulu kwa kuleta maneno ya kipumbavu mbele ya hisia na majonzi ya watanzania
 
Hakika nimesikitishwa sana na ajali ya Mv Nyerere.
Masikitiko zaidi ni katika utendejai wa zoezi zima la uokoaji, unawezaje kusitisha zoezi kisa giza , as if kuna namna hao watu wanakungoja.
Let say Familia yake au yeye binafsi angelikuwamo ni mmoja wa wahusika wale aliowaacha usiku na kuwaambia atarudi asubuhi kuendelea na kuwanusuru.
John jitafakari kwenye hilo, umeteleza tena umeteleza pabaya sana.
Jamani mlitaka sfanye nini wakati hakuna vifaa vya kuokolea muda huo?? Na sio kwamba atakuwa alijiamulia tu mwenyewe, hao wazamiaji hawana vifaa vya kufanyia kazi kwenye mwanga itakuwa gizani?? Ni aibu kwa nchi, hatuko tayari kwenye majanga!! Ya nchi kavu tu yanatushinda itakuwa ya majini??
 
Hivi, unafahamu kwamba kuna vyanzo vya uhakika vinasema kwamba abiria walokuwamo humo kwenye kivuko ni zaidi ya 200?

Na pia hakuna anaefahamu zaidi ikwamba inawezekena abiria wakawa zaidi ya 400 na wengi walokuwa wakienda gulioni?

Sasa waziri wa uchukuzi anaingiaje hapo?

Cha msingi ni kwamba kivuko ni kizima na hakikuwa na kasoro yoyote ile kwani hivi karibuni kilipata injiini mbili mpya.

Suala linaanzia kwenye msimaizi wa hicho kivuko ambae anasimamia kwamba ni tiketi ngapi ziuzwe na abiria wangapi waruhusiwe kuingia kwenye kivuko.

Hivyo usimamizi kwamba kivuko kinabeba uzito upi, namba ya abiria, mizigo na korokoro zingine si jukumu la waziri.

Hilo ni jukumu la wasimamizi wa kivuko ambao ndo wanapaswa kuwajibishwa.
 
Hiyo mifumo inatumika tayari nchi zilizoendelea, ID yako ukiswap mahali inasoma details zako zote. Wakati mwingine mkono wako ukiuweka mahali unasoma details zako zote na hii inawezekana maana wao kila kiumbe kinachozaliwa wanasajili DNA kwa hiyo kwao maisha ni rahisi sana, VITU HIVI UNAWEZA TU KUFANYA KAMA UTAKUWA NA WATU WENYE KUWAZA LEO, KESHO NA MIAKA 1000 MBELE. Kwa sasa tunaweza kutoa kwa haraka National ID na iwe lazima kila mtu kutembea nayo (tukiweza tunaweza kuilink na mifumo ya bima), Kila mtu anapoingia mahali manifest ya kurejista lazima iwepo kwa ajili ya details za mhusika.
haiwezekani kwa sababu hatuna mitizamo ya mbele. hatuna mikakati ya miaka ijayo 10, 25, 50 n.k . yaani ile tunasema vision. halafu pia tunashindana na nchi maskini tu kama kenya na uganda.
 
Naona juhudi za kujiondoshea lawama za uzembe zinafanywa kwa juhudi kubwa sana.
Wafanyakazi kwa nini waruhusu watu wengi kiasi hicho???

Mbunge wao alisema mapema lakini ile kauli ya watoto wa kambo wanakula makombo ndio unatimia.

Kamaa jiwe alifikiri Wanaukerewe wanatakiwa waadhibiwe kwa kunyimwa maendeleo sababu tuu wamechagua upinzani basi kamwe hayuko sahihi.
Mkuu,
Unaweza kuwaza hii nchi hadi jioni unywe panadol kwa kuumwa kichwa.
Uzembe tu ndo matokeo ya haya yote.
 
Hata spika wa Bunge...

Mambo yanaulizwa bungeni anaruhusu mawaziri wajibu kipumbavu, matokeo yake tuna poteza uhai wa watu wetu bure tu!
 
R.I.P
UKARA..jpg
 
Waizir ajizulu Kwa kosa gan alilofanya ndivyo mnavyojidanganya mkiwa na mzee wakubadilisha gia angani
 
Back
Top Bottom