Hiyo mifumo inatumika tayari nchi zilizoendelea, ID yako ukiswap mahali inasoma details zako zote. Wakati mwingine mkono wako ukiuweka mahali unasoma details zako zote na hii inawezekana maana wao kila kiumbe kinachozaliwa wanasajili DNA kwa hiyo kwao maisha ni rahisi sana, VITU HIVI UNAWEZA TU KUFANYA KAMA UTAKUWA NA WATU WENYE KUWAZA LEO, KESHO NA MIAKA 1000 MBELE. Kwa sasa tunaweza kutoa kwa haraka National ID na iwe lazima kila mtu kutembea nayo (tukiweza tunaweza kuilink na mifumo ya bima), Kila mtu anapoingia mahali manifest ya kurejista lazima iwepo kwa ajili ya details za mhusika.