Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Aliyetoa kafara hamumuulizii mnamuulizia Mbowe.mimba zingeingia kwa Bluetooth au whatsap mngekuwa MNA mapacha.
 
Wenzako jana wameacha kuokoa wale wameenda saa tatu kuokota maiti majini baada yakujua wote watakuwa wamekufa, iwe kwa kukosa hewa au maji kuwazidia,

Nahisi hii ajali ingetokea kaskazin au Mara huko wangeambiwa wamejitakia wenyewe

Nchi imezungukwa na maji inashindwa kuwa na wazamiaji wanaotumia tochi za ndani ya maji, yani wanatushinda hadi wanaozamia pweza pale bahari ya hindi
 
We ni mchochezi kesho saa4 asubuhi uje central kwa mahojiano zaidi
 
1)Madai kwamba kivuko kilijaza kupitiliza,inaashira matatizo katika usafiri wa maji,Hii no siasa tosha
2)Kotojulikana idadi kamili ya abiria mpaka wakati huu,inaonesha matatizo katika usimamizi,Hii ni siasa tosha
3)Kushindwa kuendelea kuokoa wakati wa usiku, inaonesha hakuna maandilizi ya kupunguza madhara,Hii ni siasa tosha
4)Mbunge wa eneo husika kutaadharisha mapema kuhusu maafa ya aina hii,ni siasa tosha
Huwezi kulitenga jambo hili na siasa kamwe,limejaa siasa kila Kona.
 
Simply "Basic"
Halafu tumekuwa na past experience ya hii kitu. Tumewahi pata haya majanga.
Na sababu kama hii..

"Boti ilikuwa na zaidi ya watu 400"

3 times the number it's capable of..
Hili nalo litapita na hazitaisha wiki mbili tutakuwa tumeshasahau. Ndiyo shida yetu. Ukiangalia ajali zilizokwisha tokea siku za nyuma ungefikiri tungekuwa na watu makini kweli kweli. Lakini wapi. Mwaka ujao utakuta kivuko kingine kimebeba watu mara saba ya uwezo wake.
 
Chadema kula kitu mnafeli kuanzia uchaguzi hadi namna ya kutimiza majukumu yenu.....uhakika pengo la Dr Slaa halitazibika!
Kila mtu anaehoji mna mweka label ya chadema.
Na hii inaonyesha jinsi gani mlivyokuwa shortsighted.

Hongera kwa kuchagua ujinga na kuongozwa na tumbo lako.

Mmesitisha zoez la uokoaji jana sababu ya giza. Kweli misukule nyie mna tabu sana
 
Au CHADEMA wanafanya mkutano baharini
 
Aise imenikumbusha wimbo wa Marijani Rajabu.........Dunia ya sasa imani imekwisha mioyo ya watu imebadilika wala hakuna uaminifu tena.............
Asee nimekomenti huu uzi kwa kukumbukia hicho kibao cha nguli na manju wa muziki na mashairi Marijani Rajabu.
 
Yaani hadi Rais Kenyata kasema watatoa msaada wa vitu vitakavyohitajika kwa uokozi tu. Nadhani amestukia zile bati n.k bukoba. Haha hahaaa. Cha kufanya ni kuwatembelea wafiwa manyumbani tu.
kumbeee " hahaa " Daaahh aibu sana Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…