Sio kila sehemu muweke siasa na hoja za kipumbavu kama hizi, mnajifanya kujua kila jambo end of the day mwaonekana ka mitaa.hiratu, unajua kinachosababisha marine vessel hasa melii nini?
Kunapokosekana uwiano wa uzito kati ya mzigo wa chini (watertanks) na ule wa juu (abiria na mizigo) hiyo ndo huwa sababu kubwa ya meli kuoverturn hata kama ni mpya.
Maafisa wa meli wanapozidisha mzigo hupunguza maji ya chini ili kudanganya wakaguzi...hiki ndicho kilichotokea hata kwa Mv Bukoba, unapopunguza mzigo wa chii na kuzidisha wa juu nadhani unajua nini kitatokea endapo ukiweka chupa ya dasani yenye maji nusu ndani ya besini na ukafunga kitu kizito juu ya chupa chenye uzito kuzidi hayo maji nusu. Ni Rais aliyewatuma kuover load? hizi kejeri na dhihaka dhidi ya Rais zinatoka wapi?